Katika hili hakuna ushenzi wowote ule.Wazungu ambao walileta dini ndio hao hao wanaoleta ushenzi mwingine Africa. Hawa jamaa ni washenzi kila angle
Majibu yako yanaendana na hiyo avatarHizi ni story tu za mtaani hakuna kitu kama hicho.
Huu ni uzushi kama uzushi mwingine.
Wewe umewaona wapi?Sijafurahishwa kabisa, ni ushenzi huo kwamba wanawake hawapo?
Umewahi watumia mkuu?Hawana ladha hao wala siwez kuwa na hisia.sababu mapenz n hisia
Unaijua Africa kuanzia hapo??Kumbe historia hujasoma mkuu, agents of colonialism in Africa walikuwa watu gani hasa???
Kwakweli sijuiHivi yeye anaishi na robot
Unadetije na robot kwanza kwa hapa Tanzania nafikiria Serikali isiruhusu huo ushetani likipata hitilafu unapigwa shoti mpaka unakomaa uzinziAiiiiiiii naona mkijizima data na kujiliwaza kuwa mmepona majukumu?
Robots wakawazalie na watoto, ila najua wanaume wa ukweli wanao mcha Mungu watabaki na sisi.
Na liwe linaweza kuinamaWatutengenezee yale yenye mizigo mikubwa ya kibantu tunayopenda watu wa Africa. Yaani ayajazejaze nyama huku nyuma maana sisi ndio tunapendaga hiyo.
Kwenu kuna wanaume tu? Kwamba hukutoka kwenye uchi wa mwanamke mpaka uulize umewaona wapi mbona swali lako halina logicWewe umewaona wapi?
Naijua historia kuanzia kwenuUnaijua Africa kuanzia hapo??
Kwani wewe huwa unamsumbua mkeo ama mchepuko? Unapiga vizinga?Wa hapa hapa duniani si kila mwanamke ni msumbufu hata wanaume tunasumbua...
Hawaongei ongei ovyo. Wanacheka, kulia, kuimba na kutoa migugumio tu. Full aibu aibu hasa ukiwashika nyou nyouWasisahau kuweka big trakoo Kwa sisi wa huku tunapendaga sana mizigo,ila vipi viwango vya kuongea?wasiwe wanaongea sana itakuwa safi.
Fulsa kama Fulsa. Unawapangishia na vyumba kabisa. Unatengeneza Uwanja wako mdogo wa Fisi[emoji23]Nitanunua mingi ya kukodisha
Kumbuka nishati ya umeme inaweza kubadilika na kuwa nishati ya JotoMdoli hauna lile joto linalokufanywa umwage mpaka ubongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio maana Elon Musk na jopo zima la wanafizikia watatumia muda wote kuchunguza kama kuna hitilafu ndogo ndogo zitakazojitokeza ili wazisawazisheUnadetije na robot kwanza kwa hapa Tanzania nafikiria Serikali isiruhusu huo ushetani likipata hitilafu unapigwa shoti mpaka unakomaa uzinzi