Elon Musk ni kichomi

Elon anamiliki Twitter anayoitumia atakavyo kufanya propoganda zake na za Trump.
hakuna mwanzo lisilo na mwisho chini ya jua kuna jambo litamkuta pamoja na nguvu aliyonayo. cc. Hitler
 
Mtu atachezea risasi ya ajabu kama ya JFK si muda mrefu
 
USAID ni 0.6% ya budget ambapo ni 40 bilioni dollars wakati Medicaid ambayo ni zaidi ya 2 tillioni dollars ambapo wanasema kuna upigaji wa kufa mtu mbona hajaenda huko?
Research upya takwimu zako utaelewa kwanini Musk kaitwanga USAID sababu kuna waafrika wanachota hizo hela na viongozi wao kisha wanasema za kwao hawasemi zimetolewa na Serikali ya Marekani Kizimkazi moja wapo
 
Research upya takwimu zako utaelewa kwanini Musk kaitwanga USAID sababu kuna waafrika wanachota hizo hela na viongozi wao kisha wanasema za kwao hawasemi zimetolewa na Serikali ya Marekani Kizimkazi moja wapo
Hiyo siyo sababu kabisa.
Wao wanadai pesa zinapigwa huko huko na wao kupitia USAId ndiyo maana ukitazama vyombo vya Marekani wanacheka baadhi ya kiradi ya USAID mfano, dollar milioni 50 za condom gaza
 
Hiyo siyo sababu kabisa.
Wao wanadai pesa zinapigwa huko huko na wao kupitia USAId ndiyo maana ukitazama vyombo vya Marekani wanacheka baadhi ya kiradi ya USAID mfano, dollar milioni 50 za condom gaza
Sijaelewa rudia tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…