Elon Musk ni kichomi

Elon Musk ni kichomi

Elon anamiliki Twitter anayoitumia atakavyo kufanya propoganda zake na za Trump.
hakuna mwanzo lisilo na mwisho chini ya jua kuna jambo litamkuta pamoja na nguvu aliyonayo. cc. Hitler
 
MEANWHILE IN DAR ES SALAAM!
1739005999102.png
 
View attachment 3228914

Jamaa kaanza kuajiri wahuni wa mitaani kwenye kazi ya kupekua taarifa nyeti za serikali na walipa kodi wa AMERICA! 🤣

Miongoni mwa wahuni alioajiri Musk kwenye kitengo chake cha kudhibiti utendaji swafi wa serikali, aka DOGE, ni 'hacker' mmoja mwenye umri wa miaka 19, kwa jina Edward Coristine anayetambulika zaidi kwa jina lake la kihuni mitandaoni la 'BIG BALLS'!

Wakubwa hawajafurahishwa kabisa, hasa FBI, PENTAGON na CIA, kupekuliwa taarifa zao na wahuni wa mitaani akina 'BIG BALLS' na wenzie wengi! 🤣

USA KUMOTO!

View: https://youtu.be/R1w6k5yitUU

View: https://youtu.be/sRtyM24MPls

Mtu atachezea risasi ya ajabu kama ya JFK si muda mrefu
 
USAID ni 0.6% ya budget ambapo ni 40 bilioni dollars wakati Medicaid ambayo ni zaidi ya 2 tillioni dollars ambapo wanasema kuna upigaji wa kufa mtu mbona hajaenda huko?
Research upya takwimu zako utaelewa kwanini Musk kaitwanga USAID sababu kuna waafrika wanachota hizo hela na viongozi wao kisha wanasema za kwao hawasemi zimetolewa na Serikali ya Marekani Kizimkazi moja wapo
 
Research upya takwimu zako utaelewa kwanini Musk kaitwanga USAID sababu kuna waafrika wanachota hizo hela na viongozi wao kisha wanasema za kwao hawasemi zimetolewa na Serikali ya Marekani Kizimkazi moja wapo
Hiyo siyo sababu kabisa.
Wao wanadai pesa zinapigwa huko huko na wao kupitia USAId ndiyo maana ukitazama vyombo vya Marekani wanacheka baadhi ya kiradi ya USAID mfano, dollar milioni 50 za condom gaza
 
Hiyo siyo sababu kabisa.
Wao wanadai pesa zinapigwa huko huko na wao kupitia USAId ndiyo maana ukitazama vyombo vya Marekani wanacheka baadhi ya kiradi ya USAID mfano, dollar milioni 50 za condom gaza
Sijaelewa rudia tena
 
Back
Top Bottom