Huu ni mwaka 2020 na sio mwaka 1995. Vijijini wanamjua Lissu vizuri mno na huko ndipo ambapo lissu atapata ushindi wa tsunami kabisa. Maana ccm hamjawapelekea milioni 50 wanakijiji, uchaguzi wa serikali za mitaa CCM waliuharibu, majimbo mengine watu wamelazimisha kupita bila kupingwa, barabara mbovu,pia watu wanakunywa maji kama matope na wakulima wamedhurumiwa malipo yao, sukari bei imepanda.Huku kwetu vijijini huyo mgombea wa CDM hawamjui hata kifogo. Zaidi ya 95% huku kwetu wanamkubali sana JPM. Suala la Corona limempa heshima kubwa sana JPM.
Naamini ushindi wa mwaka huu kwa JPM utakuwa ni Kimbunga. Hata CDM wenyewe kwa upande wa Rais wamesema watampa kura JPM.
Mimi, wewe na Watanzania wote tunampa kura za 100% Lissu. Usiwe na wasiwasi juu ya hilo.Wewe na Nani, Kura yako ni moja tu kumbuka ππ
Jeunamaanisha hata wakishinda hamu wapi nchi ...rejea maneno yako haya bado hatujapata upinzani wa watu wenye akili timam ambao tunaweza sema tujaribu kuwapa nchi huoni hiyo ndio sababu ya chadema kuamini wao hushinda kila chaguzi ila tu maamuzi yenu na siyo ya wapiga kura ndio huwatoa ktk ushindi....π
Kwako binafsi labda lakini hakuna kijiji chenye wajinga wengi wa kumchagua Dikteta muonevu mnyanyasaji wa wapinzani wa kuwabambikia kesi na uonevu mwingineo mwingiHuku kwetu vijijini huyo mgombea wa CDM hawamjui hata kifogo. Zaidi ya 95% huku kwetu wanamkubali sana JPM. Suala la Corona limempa heshima kubwa sana JPM.
Naamini ushindi wa mwaka huu kwa JPM utakuwa ni Kimbunga. Hata CDM wenyewe kwa upande wa Rais wamesema watampa kura JPM.
Angalia kampeni za chadema kaskazini kuanzia kesho na zitakaporudi dar ndio utajuwa kwanini wanajiaminiBado sana mkuu, bado hatujapata upinzani wa watu wenye akili timam ambao tunaweza sema tujaribu kuwapa nchi.
Na CCM wengi waliojiandikisha wanaitikadi kama za wajumbe wanampango wa kumpigia lissuCCM itashinda sabab mashabiki wengi wa Cdm hawajajiandkisha kwenye daftar la wapga kura
Wewe na Nani, Kura yako ni moja tu kumbuka ππ
Hapo ukiulizwa corona ni nini utatoka nduki upitilize hata kizimba cha mlango wako alafu bado unabweka tuuHuku kwetu vijijini huyo mgombea wa CDM hawamjui hata kifogo. Zaidi ya 95% huku kwetu wanamkubali sana JPM. Suala la Corona limempa heshima kubwa sana JPM.
Naamini ushindi wa mwaka huu kwa JPM utakuwa ni Kimbunga. Hata CDM wenyewe kwa upande wa Rais wamesema watampa kura JPM.
Ni kigezo cha uvutaji bangi nyingi Na kupost uzushi mitandaoni hivyo kujiaminisha yasiyo ya kweliMoja kwa moja hojani,
Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?...
Bangi zinakuelekeza hivyo!! Asante vuta nyingiView attachment 1583851
Wapiga kura wa CCM wakielekea samora
CCM inakatisha masomo wanafunzi na kuwavalisha hayo majezi ya kijani
Umenena yaliyonyooka msitari.Ukweli lazima usemwe, CHADEMA wana asilimia chache sana za kuibuka na ushindi kwenye kinyang'anyiro hiki.
Wakati wa uboreshaji wa daftari la wapiga kura CCM ilikuwa ipo kwenye mkakati mkali was kuhakikisha wanachama wake wanajiandikisha au wanarekebisha taarifa zao kwenye daftari hilo...