Embu tuchat wawili wawili humu

Embu tuchat wawili wawili humu

Hahah

Sasa mbona ile nyingine ya mama wa nyuki ipo active!!!

mzabzab kuna mtu anajifanya bebi wako huku, njoo ukamate hii mtu ukaioneshe vile msomali anavyofia kwenye fiat...
Hapa nimetoka site kushinda na mafundi shida tupu yaani ata muda wa style ya msomalia kafia kwenye fiat siwezi iwaza kabisa. Naenda kulala.
 
Hapa nimetoka site kushinda na mafundi shida tupu yaani ata muda wa style ya msomalia kafia kwenye fiat siwezi iwaza kabisa. Naenda kulala.
Ubahili huo,acha.unashinda site kuwapatia tope wakati we ni boss.... Yaan boss umechoka kuliko vibarua...eti naenda kulala..khaa
 
Back
Top Bottom