Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Uwe jioni njema!Hapana nishatoka mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe jioni njema!Hapana nishatoka mkuu
mtag vizuri😂sant anne
AsanteUwe jioni njema!
Hebu nisaidie [emoji848]mtag vizuri[emoji23]
Hapa nimetoka site kushinda na mafundi shida tupu yaani ata muda wa style ya msomalia kafia kwenye fiat siwezi iwaza kabisa. Naenda kulala.Hahah
Sasa mbona ile nyingine ya mama wa nyuki ipo active!!!
mzabzab kuna mtu anajifanya bebi wako huku, njoo ukamate hii mtu ukaioneshe vile msomali anavyofia kwenye fiat...
Ubahili huo,acha.unashinda site kuwapatia tope wakati we ni boss.... Yaan boss umechoka kuliko vibarua...eti naenda kulala..khaaHapa nimetoka site kushinda na mafundi shida tupu yaani ata muda wa style ya msomalia kafia kwenye fiat siwezi iwaza kabisa. Naenda kulala.
aiseenijibu vibaya bas
ndo kuomba ujibiwe vibaya ? doh 😂Leo nimeshinda mahakamani natamani kurudi kwa style ingine😂
Unapenda dialogue eehTuchat wote,au huna rafiki hata wa kuzugia humu( nijibu vibaya bas ili tulumbane kwa muda mrefu ndo tayari tunakuwa tumechat Mkuu)
Natamani vita na MTU leo😡
Yameisha?Acha nichome mahindi hapa huenda kuna wanunuzi.