monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Hii nyuzi joto naomba unipime πKabisaa,mood yako ya wakati huu inasoma sentigrade ngapi huko kwako....mi ni nyuz joto 39Β°C
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoo, mie cna hata.Jaman jaman...we unao mbona...mashost wengi humu
Niko tandale hapaKwenu huko ndo inakuwa ivo so unajua tupo mbele SAA 1
Nawee huna wa kuchat nae??Aisee[emoji3064]
Onho,Saudi tenaπ³TheStoryTimeFacts [emoji310]
Habari [emoji112]
Naitwa Erry Mars ni msimuliaji wa Historia,makala na simulizi
Nathamini sana mchango wako ndugu [emoji120],Naomba support yako nisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE kwenye channel yangu.[emoji120]
Link Bonyeza Hapa[emoji116]
Asante sana [emoji120]
Jirani yako hapa,naomba utoke nikusalimie nikugonge ka night kiss tafadhali.π³tandale IPI,maana Tukuyu kuna tandale pia
Ulichopewa na Mungu kumnyima mwenzio ni dhambiIli unipige cha upenuni....usiku mwema nilale mie.Bye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu unipe sahiv mwayaaa.Sawa kipenz,usiku mwema...tutachat kesho kuhusu masha na mafufu nikupe mkanda mzima mpaka walivyopigana chuma mboga [emoji23] π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo tena bora wewe...ni mpole sana....nampenda