monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nyuzi joto naomba unipime 😅Kabisaa,mood yako ya wakati huu inasoma sentigrade ngapi huko kwako....mi ni nyuz joto 39°C
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoo, mie cna hata.Jaman jaman...we unao mbona...mashost wengi humu
Niko tandale hapaKwenu huko ndo inakuwa ivo so unajua tupo mbele SAA 1
Nawee huna wa kuchat nae??Aisee[emoji3064]
TheStoryTimeFacts [emoji310]
Habari [emoji112]
Naitwa Erry Mars ni msimuliaji wa Historia,makala na simulizi
Nathamini sana mchango wako ndugu [emoji120],Naomba support yako nisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE kwenye channel yangu.[emoji120]
Link Bonyeza Hapa[emoji116]
Asante sana [emoji120]
Jirani yako hapa,naomba utoke nikusalimie nikugonge ka night kiss tafadhali.😳tandale IPI,maana Tukuyu kuna tandale pia
Ulichopewa na Mungu kumnyima mwenzio ni dhambiIli unipige cha upenuni....usiku mwema nilale mie.Bye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu unipe sahiv mwayaaa.Sawa kipenz,usiku mwema...tutachat kesho kuhusu masha na mafufu nikupe mkanda mzima mpaka walivyopigana chuma mboga [emoji23] 😉
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo tena bora wewe...ni mpole sana....nampenda