Embu tuchat wawili wawili humu

Embu tuchat wawili wawili humu

Watoto sio kigezo cha kuuzuia mazungumzo yetu tena hao ndo watakuwa kichocheo cha wewe kunikubali .

😂na kunila chap! ....afu watoto mbona hawahusiki sana wawili kupendana....ninaeliwa ni mie watoto wanzuiaje mi nawe kuishi pamoja? 😉
 
Umesahau ule msemo wa ukipenda boga penda ua lake To yeye ,
So upendo Kwa wanao ni muhimu ili mizagamuo iwe ya kudumu.
Na singlemom kama mie hapo unakuwa umeniteka.....kila kitu nitaitika abee,kwa bed mpaka katerero itapatikana.....Sikuzote mwanaume anaeweza dumu na ndoa ni yule aliyesimama kiume.
 
So tuanze kuongea kikubwa habari za watoto niachie Mimi we deal na moyo wangu
 
Sawa,ko inatakiwa niufanyaje ili ujue hakipo cha kunishinda kuhudumia mume
Wewe nipende na uniheshimu hiyo ndo kanuni yangu kuu ninapo kuwa katika mahusiano na mtoto WA watu na siku ukinichoka niambie nimekuchoka , mi ruksa kabisaa tena Kwa moyo mweupeee
 
Wewe nipende na uniheshimu hiyo ndo kanuni yangu kuu ninapo kuwa katika mahusiano na mtoto WA watu na siku ukinichoka niambie nimekuchoka , mi ruksa kabisaa tena Kwa moyo mweupeee
😳hujuagi kubembeleza?....sa itakuwaje? Mbona utapoteza wengi wanaokufaa
 
Back
Top Bottom