I believe in me na mpaka mwanamke kanimbia nimekuchoka basi ujue kakuchoka kweli,😳hujuagi kubembeleza?....sa itakuwaje? Mbona utapoteza wengi wanaokufaa
JOANNA Wanguu pekee yanguu njoooKama yupo unaeshibana nae humu iwe mpenz,au rafiki embu mtag muanze kuchat chochote hata mlichofanya Jana usiku ila nas tujifunze,ikiwa mliduu,au biashara au chimbo.
Nianze na hawa Criston Cole na harakati za siri endeleeni kuchat hapa.
Kuhusu Mimi ninao wengi ivo nitatag wengi mno ila naomba nianze na dronedrake
Shida yenu nyinyi Wanawake hamridhikagi hata MTU umbembeleze vipi,care kama zote,matunzo ndo usiseme ,kitandani ndo kama vile umemfikisha bado Tu kuna siku atakuumiza.😳hujuagi kubembeleza?....sa itakuwaje? Mbona utapoteza wengi wanaokufaa
Katika kundi la wanawake kuna wanaocheat na kuna waliotulia hata kama mwanaume ana madhaifu yapi.Mwanamke umtunze akucheat? Sidhani kama yupo....sidhani
Ukibahatika unakuwa umebahatika na ukikosea unakuwa umekosea.Mnavyoangaika nyie kupata MTU sahihi ndivyo tuangaikavyo pia.Mungu atusaidieKatika kundi la wanawake kuna wanaocheat na kuna waliotulia hata kama mwanaume ana madhaifu yapi.
Ila kuna hao SASA Yani wao nati za uvumilivu zilishafunguka.
Hao ndio Mimi nawasemea,
Ila wale wavumilivu mi wala hata sina baya NAO.
Seems uliwahi kuumizwa that's why wewe ni singo Maza si but,Ukibahatika unakuwa umebahatika na ukikosea unakuwa umekosea.Mnavyoangaika nyie kupata MTU sahihi ndivyo tuangaikavyo pia.Mungu atusaidie
So kwakua umeshaamini hivyo basi naamini pia Mungu atakutimizia hitajio la moyo wako,Yeah,nipo taratiiibu....Mungu atanipa tu mkuu😉
Mbadirike tu muwe kama mabibi zetu maana hii dunia imekuwa jau sanaNdo tulivyo tufanyeje sasa?
Mwisho wako wa kutongozwa ni siku ukifa. Na ukiingizwa mochware, itategemea tu akili ya mochware atendanti..!! Kama ulimchomolea wakati wa uhai, anaweza afanye yakeKwanini unanisumbua, mwenzako niko kule natongozwa bana
NImefika mamboz
Hebu acha bana mambo ya kifo ohoo. Halafu unajua nina msiba wa Bibi tunazika kesho Kibaha. Umenikumbusha yule Albino wa Mawenzi Hospital, walikuwa wanasema akiipenda maiti analala nayo.Mwisho wako wa kutingozwa ni siku ukifa. Na ukiingizwa mochware, itategemea tu akili ya mochware atendanti..!! Kama ulimchomolea wakati wa uhai, anaweza afanye yake
Ukute iti lina msamwanda wa maana..!!Hebu acha bana mambo ya kifo ohoo. Halafu unajua nina msiba wa Bibi tunazika kesho Kibaha. Umenikumbusha yule Albino wa Mawenzi Hospital, walikuwa wanasema akiipenda maiti analala nayo.
Hatuwezi kubadilika.Mbadirike tu muwe kama mabibi zetu maana hii dunia imekuwa jau sana
Ulikuja Kaskazini ukanikosa?Hahaha
Yupo lakini? Maana baada ya akina dronedrake kufululiza na threads za OGOPA KASKAZINI sijamuona Depal online.
Tuanzishage nyuzi za THAMINISHA KASKAZINI au unasemaje?🤣
Shikamoo Mr.Depal uu wapi malkia wa nguvu
Sawa mkuuJaribu kumtag..ivo hatojua kama umemwita