Embu tuchat wawili wawili humu

Embu tuchat wawili wawili humu

Kama yupo unaeshibana nae humu iwe mpenz,au rafiki embu mtag muanze kuchat chochote hata mlichofanya Jana usiku ila nas tujifunze,ikiwa mliduu,au biashara au chimbo....

Nianze na hawa Criston Cole na harakati za siri endeleeni kuchat hapa.

Kuhusu Mimi ninao wengi ivo nitatag wengi mno ila naomba nianze na dronedrake
Tulioduu Jana usiku hata ndotoni mje tuone tunaanzia wapi 😂 😂😂
 
Back
Top Bottom