Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Leo ukiotewa ni kiulanini...Daaa,and today °C inasomeka vibaya kweli
🤣🤣🤣 hapana chezeya sport car ileeeBrand new malizia 🤣🤣
Kitu inanukia harufu ya dukani si mchezo
Achana na mm 🤣🤣🤣🤸♂️I know you are not fine, and I know what you need, but I will pretend I don't know...
Missing you all days...
Nipigieeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapana chezeya sport car ileee
We have to talk 😂
A very serious talk!
Yan akili yangu imejam mpk sio vizuri
😂 sina dk za kupiga umbea jamaniNipigieeeeeee 🤣🤣🤣
Pisi kali kama wewe unakosaje vocha, unashusha brand ujue.😂 sina dk za kupiga umbea jamani
Siharadibii dogie hao kabisa
Wamerudia mchezo wao, 30k haijaja kwenye salio.
Hapa nabembeleza mpk kesho nisikilizie,,
Nina mb kidogo, sms zimejaa, dk kiasi kidogo sio za kupigia umbea 🤣🤣🤣Pisi kali kama wewe unakosaje vocha, unashusha brand ujue.
Hahahaa acc itakua imejaa hiyo ndio maana wanakufanyia hivyo
Hao itakua wanafanya hivyo kwa watu wengi half wale wasiofatilia wanakula hela zaoNina mb kidogo, sms zimejaa, dk kiasi kidogo sio za kupigia umbea 🤣🤣🤣
Kama kawaida salio la efu 30 litoke siharadibii lije voda limekwama hewani..
Acc haina helaaaa bana
Wameanza tu kuwa na mchezo mchafu
Naboreka sana
Sema ndo siwezi foka 7bu staff wao pale karibu wote wananijua 😭
Sina hata nguvu za kufoka
Hao itakua wanafanya hivyo kwa watu wengi half wale wasiofatilia wanakula hela zao
Sana jaman, wanalostisha mamboNi huzuni sana😂😂🤸♂️
Siwezi achana na wewe...Achana na mm 🤣🤣🤣🤸♂️
🫣Siwezi achana na wewe...
Lala mtoto mdogo... Muda wako wa kuamka bado...
Mi nikajua uliupuuzia....au ulidanganya nikaona nami nikae kimya....ila ingefanyika kweli ningekuwa surprised sana
Itakuwa sawa kwa wakati sahihi, Usijali wala usiwe na wasiwasiMi nikajua uliupuuzia....au ulidanganya nikaona nami nikae kimya....ila ingefanyika kweli ningekuwa surprised sana