Embu tuchat wawili wawili humu

Embu tuchat wawili wawili humu

😂 sina dk za kupiga umbea jamani
Siharadibii dogie hao kabisa
Wamerudia mchezo wao, 30k haijaja kwenye salio.

Hapa nabembeleza mpk kesho nisikilizie,,
Pisi kali kama wewe unakosaje vocha, unashusha brand ujue.

Hahahaa acc itakua imejaa hiyo ndio maana wanakufanyia hivyo
 
Pisi kali kama wewe unakosaje vocha, unashusha brand ujue.

Hahahaa acc itakua imejaa hiyo ndio maana wanakufanyia hivyo
Nina mb kidogo, sms zimejaa, dk kiasi kidogo sio za kupigia umbea 🤣🤣🤣

Kama kawaida salio la efu 30 litoke siharadibii lije voda limekwama hewani..

Acc haina helaaaa bana
Wameanza tu kuwa na mchezo mchafu
Naboreka sana
Sema ndo siwezi foka 7bu staff wao pale karibu wote wananijua 😭
Sina hata nguvu za kufoka
 
Nina mb kidogo, sms zimejaa, dk kiasi kidogo sio za kupigia umbea 🤣🤣🤣

Kama kawaida salio la efu 30 litoke siharadibii lije voda limekwama hewani..

Acc haina helaaaa bana
Wameanza tu kuwa na mchezo mchafu
Naboreka sana
Sema ndo siwezi foka 7bu staff wao pale karibu wote wananijua 😭
Sina hata nguvu za kufoka
Hao itakua wanafanya hivyo kwa watu wengi half wale wasiofatilia wanakula hela zao
 
Asante aisee watu wana muda wa kuanzisha thread..
Haya na wewe Lovelovie njoo tuchat sasa 😂 😂 😂
Halafu Miss To yeye bado sijausahu ule mchakato wetu sema tu ndio hivyo kila kitu ni process tu..
Mi nikajua uliupuuzia....au ulidanganya nikaona nami nikae kimya....ila ingefanyika kweli ningekuwa surprised sana
 
Back
Top Bottom