Trimmer
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 2,443
- 4,007
Basi mwenyewe nawekaga kwenye wallet laki halafu jumatatu najikuta na alf 30,, emergency fund kibongobongo ni bima ya afya tu,, mengine tusidanganyane ingawa ni muhimu sana hii kitu,,Mkuu, Emergency Fund ni muhimu kuwekwa kwende acc ambayo itakua easily accessed lakini sio ya matumizi yako ya kawaida.
Unaweza ijaza mara moja au ukawa unaijaza kila baada ya mda (maybe monthly) kutokana na ukubwa wa majukumu yako, mazingira au maana ya emergency kwako. Mfano emergency fund ya mtu ukiwa na familia (lets say mke na watoto) inatofautiana na akiwa mwenyewe.
N.B. Emergency Fund inahitaji discipline sana kuitunza ila ni muhimu sana kuwa nayo. Wengi hua wanajikopesha emergency fund na hawarudishi 😅