Bojo iwe kaisiki, obalekisi?Mwenewe!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bojo iwe kaisiki, obalekisi?Mwenewe!!!
Ikengya na Beyarura
Ingekuwa Busara kwa aliyepost thread hii akajenga hoja kwa Administrator wa site ili kama ataona kuna haja awaanzishie Room for Haya language.
Vingenevyo naweza kusema mambo mawili:
1.Misemo kama misemo sio kitu kibaye kwenye jamii, hivyo ilitakiwa ukishaandikwa kihaya utafsiriwe ama kiswahili au chingereza ili watu wapate maana yake, pengine misemo hiyo inaweza kuwa na maana ya msingi tu katika maisha yetu ya kitanzania na kidunia ya kila siku. Lakini kuacha bila tafsiri ni matumizi mabaya ya muda wetu sisi wana JF tusiojua lugha husika. Naona reply yangu hii iwe onyo kwako mwandishi kwamba tupo kufundishana na kueleweshana hapa na sio kupotezeana muda.
2.kwa kupost kitu kama hiki katika jamii ambayo hujaiandaa maana yake ni kutufundisha na kutukumbusha kwamba pamoja na nguvu nyingi alizotumia muasisi wa taifa hili kupiga vita ukabila bado kwa nyinyi wahaya safari bado ndefu. Sana sana wazo jingine pengine ni namna ya kujaribu ku tress how many hayas are there on the JF room, mimi sio msemaji wa forum lakini nina hakika forum hii haikuandaliwa kwa hilo.
Myself i am trying to be out of the habit like yours, once i managed take your part you will also be the same.
BE GOOD MAN!
Akanyasi kalakusiga amazi onya niketenja
in fact mimi muenyeuwe hii misemo naisikia tu kwanza cjazaliwa keijijini bukoba hata na likizo tukifunga shule huwa naenda marekani kwa aunt so misemo hiyo munanitesa tu in fact kwa kueli....
Wakimbizi utawajua tuu. Lugha ni sehemu ya utamaduni. Waache watani zangu waburudike, kama vipi na wewe anzisha kikwenu nikuungie, mimi najua lugha zote za bongo kasoro Lugha ya Aden Rage tu
omuli JF - BUKOBA FOOTBALL CLUB
1-SOA--goalkeeper
2-mjasirimali--captain
3-ngonzi--treasurer
4-Elnino--- ogu alaba omulogi we team
5
6
7
8
9
10
11
mikanda ya chuma chuma....
Ekyawe kyawe kijunda nokala!
Nanye wanshekya oti Tinaelewa ekigambo nekimo lurimi lwankaa bojo?Tinaelewa Ekigambo Nekimo