Omukuru
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 242
- 39
Nirizani terekitaa kumbe shifwaru!
Tanzania Uganda War, near Mtukula.
The mother of "imbecils" (like you) is always pregnant!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nirizani terekitaa kumbe shifwaru!
Tanzania Uganda War, near Mtukula.
Iwe olimurwaile tolige!!!!! Aho IWE WARWANA NA MUKAZI WAWE NYOKOZALA YARUGAHA???????????
Mziriye ukabile uko wapi hapa kama si wewe unataka kuuleta!
Acheni ukabila jamani sisi wote ni watz na baba yetu wa taifa ameshayazika inakuaje mara wahaya ,mara wasukuma ,au tungependa mod aweke jukwaa la makabila humu ndani mana duh hadi mantiki ya utani na joke inapotea ,unasoma thread haieleweki ,inawezekana ni joke nzuri bt kwa wale ambao si wahaya mnatunyima utamu
hey can't u see there,hapo huoni kuwa unataka wanaojua na kuelewa kihaya ndo wasome au hadi mie mmakonde naweza elewa hyo thread yenu,lugha ya taifa ni kiswahili na kama ukitumia kingereza afadhali kidogo ,we hushangai all of topics huwa zaandikwa either kiswahili /english ,sasa nyie na kihaya tuitaje?hebu utusaidie tuite kwa jina lipi kama si ukabila au u-mkoa.nawasilisha jamvini
Hapa ndipo watu wenye mawazo finyu huwa mnaniboa, post zimekaa mahali stahiki "utani" na kichwa kinajieleza kabisa kuwa ni "misemo ya kihaya" Hiyo ingekufanya ufurahi kujua baadhi ya misemo ya makabila ya wenzio; uliza maana utaelezwa, kuliko kuanza lawama za ohoo ukabila, mara ohoo u-mkoa nk. Jamii ya kitazania inajengwa na watu wa makabila mbalimbali. Kila mtu humu ndani ana kabila lake, japo si wote wanajua lugha za makabila yao. Kama hii topic haikufurahishi zipo nyingine hamia huko. Zile zinazowahusu wote zimeandikwa kwa lugha ya wote.
Ekyawe kyawe kijunda nokala!
thats why mi mpemba niliachana nayo mapema thread hii coz ingenima uhuru wa kuelewa kinachoongelewa. Naweka kiswahili changu, post inayofuata kihaya. Sijuwi ingekuwaje, au ndo kuielewa misemo ya kihaya? Basi sisi ni mageneus maana hata huyo talent kwa kuisikia siku 1 tu ni vigumu kuikamata. But ol in all haitakiwi kuwa serious sana ktk jukwaa hili, si umesikia nzry? Lkn kiukweli mambo mengine yanaboa...Acheni ukabila jamani sisi wote ni watz na baba yetu wa taifa ameshayazika inakuaje mara wahaya ,mara wasukuma ,au tungependa mod aweke jukwaa la makabila humu ndani mana duh hadi mantiki ya utani na joke inapotea ,unasoma thread haieleweki ,inawezekana ni joke nzuri bt kwa wale ambao si wahaya mnatunyima utamu
Acheni ukabila jamani sisi wote ni watz na baba yetu wa taifa ameshayazika inakuaje mara wahaya ,mara wasukuma ,au tungependa mod aweke jukwaa la makabila humu ndani mana duh hadi mantiki ya utani na joke inapotea ,unasoma thread haieleweki ,inawezekana ni joke nzuri bt kwa wale ambao si wahaya mnatunyima utamu