JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Yeye hana shida, mwenye shida ni yule anayetaka collabo. By the way mwenye shida kweli kweli ya collabo hawezi shindwa mu_approach.ila hakuna anaetaka collabo nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye hana shida, mwenye shida ni yule anayetaka collabo. By the way mwenye shida kweli kweli ya collabo hawezi shindwa mu_approach.ila hakuna anaetaka collabo nae
Kila msanii ana prime time yake unless uwe mshamba flani kwenye hii industry. Umeshawahi waza Juma Nature anapata shows ngapi hivi sasa!? Au Usher Raymond anapata shows ngapi hivi sassa?Anapata show ngapi na drake anapata show ngap?
Na kweli. Usiongeze neno.Utamuelewaje na wewe ni kizazi cha kina Lil Nas,Tekashi?
Jigga Yuko mbali sana kwenye Akili ya biashara kuliko wote hao japo Hana fixed price.Jigga ndo hana bei ye anaangalia tu we ni nani na atanufaikaje na hiyo collabo... hata uwe na hela za kutosha kama ngoma yako haina efffect kwake haimbi
Yaani kanichekesha maana Ile monckingbird ni bonge la songUtamuelewaje na wewe ni kizazi cha kina Lil Nas,Tekashi?
Cleaning my closet na sing for the moment jamaa hii ngoma wanaitumia sana ata kwenye kufanya motvation za waruka na pikipiki.Yaani kanichekesha maana Ile monckingbird ni bonge la song
Hawa watoto bwana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sema hujawahi muelewa Ila kusema hitsong za kuhesabika nakataa, unamlinganisha na nani mwenye hitsong nyingi?Ila Eminem amekuzwa Sana kuliko uhalisia,ana flow ya kiwaki Sana kama analazimisha rap afu rap haimpendi.hit song zake za kuhesabika ila ndio hivyo ana kismat.sijawahi kumuelewa huyu mwamba
Future whatMajarida mbalimbali nchini Marekani yameorodhesha rapper 10 ambao wanachaji kiasi kikubwa sana cha pesa kwa ajili ya kumshirikisha kwenye wimbo wako wowote ule.
Katika orodha hiyo mkongwe Marshall Bruce Mathers III alimaarufu kama Eminem kwenye umri wa miaka 50 amewafunika vijana wengi sana kwenye suala la kuchaji kiasi cha pesa ili umshirikishe kwenye wimbo wako.
Eminem anachaji dola milioni 3 sawa na Tsh 7,020,000,000/= yaani bilioni saba huku akifuatiwa na Drake ambaye anachaji kiasi cha dola milioni 1 ambazo ni sawa Tsh 2340000000/= yaani bilioni 2.34.
Katika orodha hiyo rapper ambaye wengi hawakutarajia ni J Cole ambaye anachaji dola 2,000 kwa neno moja kwenye wimbo wako ambayo ni sawa na Tsh 4,680,000/= yaani milioni nne na laki sita za Kitanzania kila neno kwenye wimbo wako inategemeana na maneno mangapi.
Katika orodha hiyo wengi wame-comment wakishauri Future anatakiuwa kuongeza malipo yake huku wakisema kuwa dola laki mbili na nusu ambazo ni sawa nna T sh 585,000,000/= yaani zaidi ya milioni mia tano sio saizi yake.
Unahisi kwa Tanzania msanii gani anaongoza kutoza kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya collabo??
Credit: Bongo5View attachment 2550616
Hujui mziki au we mtoto wa juzi katiIla Eminem amekuzwa Sana kuliko uhalisia,ana flow ya kiwaki Sana kama analazimisha rap afu rap haimpendi.hit song zake za kuhesabika ila ndio hivyo ana kismat.sijawahi kumuelewa huyu mwamba
Mkuu umevuka mipaka.Ila Eminem amekuzwa Sana kuliko uhalisia,ana flow ya kiwaki Sana kama analazimisha rap afu rap haimpendi.hit song zake za kuhesabika ila ndio hivyo ana kismat.sijawahi kumuelewa huyu mwamba
Wa juzi huyu tutamuonea tuCleaning my closet na sing for the moment jamaa hii ngoma wanaitumia sana ata kwenye kufanya motvation za waruka na pikipiki.
Daaaah!!! Eminem?Ila Eminem amekuzwa Sana kuliko uhalisia,ana flow ya kiwaki Sana kama analazimisha rap afu rap haimpendi.hit song zake za kuhesabika ila ndio hivyo ana kismat.sijawahi kumuelewa huyu mwamba
Uzungu una mbebaa, hana lolote kwan sijawahi muelewa mie.Ila Eminem amekuzwa Sana kuliko uhalisia,ana flow ya kiwaki Sana kama analazimisha rap afu rap haimpendi.hit song zake za kuhesabika ila ndio hivyo ana kismat.sijawahi kumuelewa huyu mwamba
Sawa.Achaneni na mambo ya Dunia vijana ni siku za mwisho hizi tubuni.