Mdudubitehunter
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 309
- 538
- Thread starter
- #21
Hahahaha haina noma mzeeYaani ukijichanganya hapo kwenye introduction, imekula kwako mazima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha haina noma mzeeYaani ukijichanganya hapo kwenye introduction, imekula kwako mazima.
[emoji3][emoji3][emoji3]+1 282 2992 47381
Ukishampigia , ili aweze kuendelea kukusikiliza mwambie maneno hayo hapo chini
Oyaaaah, Drake Dreezy mzee wa Toronto mwanao wa Code Area 255 Tz East Africa.
Huyo jamaa amashaset standards zake.Jigga ndo hana bei ye anaangalia tu we ni nani na atanufaikaje na hiyo collabo... hata uwe na hela za kutosha kama ngoma yako haina efffect kwake haimbi
Hatari sana mkuu mda sio mrefu utasikia..Future aongeze dau manake sio kwa yale mapafu. Huwa Nikisikia "I WOKE UP IN A NEW BUGATTI" [emoji91] [emoji91]
Kwaniniila hakuna anaetaka collabo nae
We jamaa wewe, hivi unamjua Eminem kweli? Huyo anafanya show wimbo mmoja kuimba anatoza hadi dola laki3Eeh…ana demand kama drake au jcole?
[emoji3][emoji3]Kuonana na mimi tukakaa tukazungumza nachaji elfu moja kwa dakika tano, shubaamitt!!!
Anapata show ngapi na drake anapata show ngap?We jamaa wewe, hivi unamjua Eminem kweli? Huyo anafanya show wimbo mmoja kuimba anatoza hadi dola laki3
Utamuelewaje na wewe ni kizazi cha kina Lil Nas,Tekashi?Ila Eminem amekuzwa Sana kuliko uhalisia,ana flow ya kiwaki Sana kama analazimisha rap afu rap haimpendi.hit song zake za kuhesabika ila ndio hivyo ana kismat.sijawahi kumuelewa huyu mwamba
Anatumia nini?Hatumii auto tune
Nachoro voisiAnatumia nini?
Wewe jamaa itakuwa mgeni na muziki wa USA, Eminem akisema kwa mwaka anafanya show 10 basi ujue zote zinakuwa booked na wadau, sio kwamba anakaa anasubiri show. Eminem yupo level nyingine kabisa, tafuta "WAZUNGU" waliowahi perform BET AWARDS lazima Eminem umkute. Tamasha la magiza lakini walisalute kwa mzungu yuleAnapata show ngapi na drake anapata show ngap?
Watu wanapiga mpunga mkuuDaaah[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]