Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Ukiachia hapo mm ntakupokea kijiti kwa kwenda kuskiliza3 BRENDA'S GOT A BABY & Me And My Girlfriend!
Tupac! Kweli THE sky THE limit!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupac! Kweli THE sky THE limit!
Sina uhakika kwa hili aisee maana pac kajifia kitambo, kajifia wakati yupo kwenye peak, no one knows peak yake ingedumu kwa muda gani enzi za uhai wake, ni kama vile messi angekufa 2009 au 2011, ama pele angekufa 1963.
Kama vile eminem angekufa 2004/05 hivi tungekosa vingi mnooo.
Kwa mimi pac huwa namuweka mbele zaidi! Katika umri wa miaka 25 alikuwa kaishafanya mabala sijui angekuwa hai mpaka 41 hivi ingekuwaje.
Eminem namkubali tena namuelewa saana! Ila sijawahi fikiria kumshindanisha na pac kwa sababu zangu hapo juu.
Ngoja nikasikilize mockingbird kisha nisikilize untill the end of time, nigonge cleanin’ out my closet kisha nisikilize i aint mad at cha, nipige loose yourself kisha nimsikilize dear mama, nile utamu wa no love, ninogeshe na keap ya head up, niisikilize my name kisha nile utamu wa do for love , nisikilize stan na the real slim shady nimalizie na so many tears, me against the world.
Kwa leo itakuwa inatosha nitakuwa nimesikiliza muziki baada ya mida mrefu mnoo kupita.
Sent using Jamii Forums mobile app