Eminem: Kiumbe ambacho wana hiphop wanaogopa kuwa na bifu naye, rap God

Eminem: Kiumbe ambacho wana hiphop wanaogopa kuwa na bifu naye, rap God

Ukiachia hapo mm ntakupokea kijiti kwa kwenda kuskiliza3 BRENDA'S GOT A BABY & Me And My Girlfriend!

Tupac! Kweli THE sky THE limit!
Sina uhakika kwa hili aisee maana pac kajifia kitambo, kajifia wakati yupo kwenye peak, no one knows peak yake ingedumu kwa muda gani enzi za uhai wake, ni kama vile messi angekufa 2009 au 2011, ama pele angekufa 1963.

Kama vile eminem angekufa 2004/05 hivi tungekosa vingi mnooo.

Kwa mimi pac huwa namuweka mbele zaidi! Katika umri wa miaka 25 alikuwa kaishafanya mabala sijui angekuwa hai mpaka 41 hivi ingekuwaje.

Eminem namkubali tena namuelewa saana! Ila sijawahi fikiria kumshindanisha na pac kwa sababu zangu hapo juu.

Ngoja nikasikilize mockingbird kisha nisikilize untill the end of time, nigonge cleanin’ out my closet kisha nisikilize i aint mad at cha, nipige loose yourself kisha nimsikilize dear mama, nile utamu wa no love, ninogeshe na keap ya head up, niisikilize my name kisha nile utamu wa do for love , nisikilize stan na the real slim shady nimalizie na so many tears, me against the world.


Kwa leo itakuwa inatosha nitakuwa nimesikiliza muziki baada ya mida mrefu mnoo kupita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupac will always the Legend of HipHop/Rap...b4 hujampa msanii yoyote hio nafasi...heb jaribu kulinganisha huyo msaniii ana hits or albam ngapi and for how long...Career ya Tupac ilikua only 5 yrs (1991-1996)...Till Today hakuna msanii wa HipHop aliendika nyimbo nyingi kuliko Tupac...Ht huyo Eminem alienda kuomba right kwa Ms Affeni Shakur(Tupac's mother) ku produce un released songs za The Legend himself...as we speak still kuna Masters za Tupac ambazo hazijawa released...what if huyu mtu angekuepo mpaka saiv?Tupac was multi-talented...Musician & Actor...More movies than Eminen...namkubali Eminem bt he is not near the Legend..kaskilize Hit'Em'Up na killShot ugundue tofauti...Tupac made his name by speaking abt shit wanazokutana nazo black American..Eminem made his name kwa kumdis mamaake..Tupac loved his mother no matter what happen in the past while Eminen did the opposite(while wote walipitia the same shit)...go and listen to Dear Mama or Mamma's Just A Little Girl Vs Cleanin' Out My Closet by Eminem.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni mtazamo wako sababu ukiingia ktk tovuti ya billboard, PAC hatajwi kama mmojawapo wa 10 best rappers of all time. Jionee mwenyewe kwenye link hapo chini
[Best Rappers List | Greatest of All Time | Billboard]
Tupac will always the Legend of HipHop/Rap...b4 hujampa msanii yoyote hio nafasi...heb jaribu kulinganisha huyo msaniii ana hits or albam ngapi and for how long...Career ya Tupac ilikua only 5 yrs (1991-1996)...Till Today hakuna msanii wa HipHop aliendika nyimbo nyingi kuliko Tupac...Ht huyo Eminem alienda kuomba right kwa Ms Affeni Shakur(Tupac's mother) ku produce un released songs za The Legend himself...as we speak still kuna Masters za Tupac ambazo hazijawa released...what if huyu mtu angekuepo mpaka saiv?Tupac was multi-talented...Musician & Actor...More movies than Eminen...namkubali Eminem bt he is not near the Legend..kaskilize Hit'Em'Up na killShot ugundue tofauti...Tupac made his name by speaking abt shit wanazokutana nazo black American..Eminem made his name kwa kumdis mamaake..Tupac loved his mother no matter what happen in the past while Eminen did the opposite(while wote walipitia the same shit)...go and listen to Dear Mama or Mamma's Just A Little Girl Vs Cleanin' Out My Closet by Eminem.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hafadhali wewe umesema huo ni mtazamo wako, kuliko Gobole aliye justify kwamba PAC ndiye legend, wakati kuna ambao hawamkubali kabisa.

Hakuna knachowapa wakat mgumu wadau wa hiphop kama linapokuja swala la “who is best rapper of all time”

Rappers wanatofautiana vtu vng kwenye; uhandishi,michano,midondoko(flows)...kutaja flan ni mkali kwa muda wote inawia vgumu

Eminem ni mkali kuanzia uhandishi,midondoko hadi mitindo huru ktu ambacho baadhi ya rapper nguli kabsa hawawez kabsa au hawapo vzur mfano 2pac though mimi ni shabik mkubwa sana wa Pac

kuna mtu kama common kwangu ndie mwandishi bora kabsa kuwahi kutokea kwenye hiphop, kuna mtu big small(notorious) linapokuja swala la midondoko(flows) hakuna anae thubutu kugusa moto wake (rip)

kama mtoa mada alivyona kwake Em ndiye rapper bora kwa muda wote ofcourse yupo sahihi...kwangu hawa ndo rappers bora kwa muda wote
1.Pac
2.Nas
3.Jay z
4.Em
5.Biggie
ni mtazamo tu, masela msjenge chuki[emoji1]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya Eminem kutoa diss track ya "Kill Shot", MGK alisema hawezi tena kumjibu Eminem.
Pia tangu diss track ya "Kill Shot" itoke, MGK amekuwa sio MGK yuleyule.
Career yake ya music inahitaji muujiza kufufuka.
Don't mess up with Slim Shady yoh.
"Killshot was Actually a movie from 2008 where the main Character is Named Colson,And MGK's real name is Richard Colson,in the movie Colson is eventually gunned down by a Police Marshall",, (EMINEM FACT)
 
Eminem is overrated....
Kuna ma emcee kibao wanamkalisha em....
Watu kama akina cassidy, dizaster,Canibus,EYEDEA(RIP),na wengine kibao.
Nyie ma stan mna mahaba mazito kwa huyo pimbi.
 
Eminem ni mkali,sijui kwa nini simsikilizi sana,najikuta nadata sana na Nas na Kendrick Lamar
 
Back
Top Bottom