Eminem: Kiumbe ambacho wana hiphop wanaogopa kuwa na bifu naye, rap God

Eminem: Kiumbe ambacho wana hiphop wanaogopa kuwa na bifu naye, rap God

sio mkali kiivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Eminem ukali wake umepitiliza mzee, kwangu pac alikuwa bora kabla sijamfahamu huyu mwamba, ili nilipoisikia my name is... nikasema huyu mwamba fundi ila nimpe muda baada ya hapo alitoa vitu hadi nikakoma, Pac alikuwa bora ila alikaa kwenye game kwa muda mfupi na kwenye umri mdogo
 
FB_IMG_15870444727612646.jpeg


It's Scars
 
Sometimes huwaga narudia kumtazama mara mbilimbili,najiulizags kwamba huyu mwamba ni mzungu au mweusi,ana punch lines kali sana
 
kuna interview Dre alisema alikua ana jua Eminem ni black kipindi bado hawajaonana walikua wakiwasiliana kwa simu
Eminem habebwi na Rangi Bali Rangi yake inamfanya hao blacks wasimkubali Em kihivyo sababu wanaamini Rap in kwa blacks yaani ndo kitu chao wana bifu la asili ndo man Em hapati anachostahili.
Mi nilimsikiliza Eminem nikiwa neutral bila kujali Rangi nikakubali kweli ni Rap god huyu jamaa..
Amemfanya kitu kibaya sana Jay Z kwenye Renegade kiasi keamba Nas ana appreciate kwenye dis track yake to Jay Z inaitwa Ether anasema....Eminem killed in your own shit.
Kuhusu Em hatutamaliza Leo kumzungumzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nna uhakika hata 2Pac haingizi mguu kwa Eminem[emoji124][emoji124]

Sina uhakika kwa hili aisee maana pac kajifia kitambo, kajifia wakati yupo kwenye peak, no one knows peak yake ingedumu kwa muda gani enzi za uhai wake, ni kama vile messi angekufa 2009 au 2011, ama pele angekufa 1963.

Kama vile eminem angekufa 2004/05 hivi tungekosa vingi mnooo.

Kwa mimi pac huwa namuweka mbele zaidi! Katika umri wa miaka 25 alikuwa kaishafanya mabala sijui angekuwa hai mpaka 41 hivi ingekuwaje.

Eminem namkubali tena namuelewa saana! Ila sijawahi fikiria kumshindanisha na pac kwa sababu zangu hapo juu.

Ngoja nikasikilize mockingbird kisha nisikilize untill the end of time, nigonge cleanin’ out my closet kisha nisikilize i aint mad at cha, nipige loose yourself kisha nimsikilize dear mama, nile utamu wa no love, ninogeshe na keap ya head up, niisikilize my name kisha nile utamu wa do for love , nisikilize stan na the real slim shady nimalizie na so many tears, me against the world.


Kwa leo itakuwa inatosha nitakuwa nimesikiliza muziki baada ya mida mrefu mnoo kupita.
 
Sina uhakika kwa hili aisee maana pac kajifia kitambo, kajifia wakati yupo kwenye peak, no one knows peak yake ingedumu kwa muda gani enzi za uhai wake, ni kama vile messi angekufa 2009 au 2011, ama pele angekufa 1963.

Kama vile eminem angekufa 2004/05 hivi tungekosa vingi mnooo.

Kwa mimi pac huwa namuweka mbele zaidi! Katika umri wa miaka 25 alikuwa kaishafanya mabala sijui angekuwa hai mpaka 41 hivi ingekuwaje.

Eminem namkubali tena namuelewa saana! Ila sijawahi fikiria kumshindanisha na pac kwa sababu zangu hapo juu.

Ngoja nikasikilize mockingbird kisha nisikilize untill the end of time, nigonge cleanin’ out my closet kisha nisikilize i aint mad at cha, nipige loose yourself kisha nimsikilize dear mama, nile utamu wa no love, ninogeshe na keap ya head up, niisikilize my name kisha nile utamu wa do for love , nisikilize stan na the real slim shady nimalizie na so many tears, me against the world.


Kwa leo itakuwa inatosha nitakuwa nimesikiliza muziki baada ya mida mrefu mnoo kupita.
Hakika wewe ni mtu wa Hip Hop.
Pia nimependa hoja yako ulivyoiweka kuhusu kuwashindanisha Em na Pac.
Salute Broh!
 
Huwezi kueleweka na wasiojua mziki. Post yako ni killer kwenye hii thread.


Eminem ana pumzi,verse ndefu na rhythm ndio maana Akirap anakuwa kwenye pattern ileile beat inamfuata baadae.

Lakini huyu Rap cartoon wala sio lyricist.

But I remain a fanatic fan just like "Stan"


Melvine
 
Sina uhakika kwa hili aisee maana pac kajifia kitambo, kajifia wakati yupo kwenye peak, no one knows peak yake ingedumu kwa muda gani enzi za uhai wake, ni kama vile messi angekufa 2009 au 2011, ama pele angekufa 1963.

Kama vile eminem angekufa 2004/05 hivi tungekosa vingi mnooo.

Kwa mimi pac huwa namuweka mbele zaidi! Katika umri wa miaka 25 alikuwa kaishafanya mabala sijui angekuwa hai mpaka 41 hivi ingekuwaje.

Eminem namkubali tena namuelewa saana! Ila sijawahi fikiria kumshindanisha na pac kwa sababu zangu hapo juu.

Ngoja nikasikilize mockingbird kisha nisikilize untill the end of time, nigonge cleanin’ out my closet kisha nisikilize i aint mad at cha, nipige loose yourself kisha nimsikilize dear mama, nile utamu wa no love, ninogeshe na keap ya head up, niisikilize my name kisha nile utamu wa do for love , nisikilize stan na the real slim shady nimalizie na so many tears, me against the world.


Kwa leo itakuwa inatosha nitakuwa nimesikiliza muziki baada ya mida mrefu mnoo kupita.
Sina uhakika kwa hili aisee maana pac kajifia kitambo, kajifia wakati yupo kwenye peak, no one knows peak yake ingedumu kwa muda gani enzi za uhai wake, ni kama vile messi angekufa 2009 au 2011, ama pele angekufa 1963.

Kama vile eminem angekufa 2004/05 hivi tungekosa vingi mnooo.

Kwa mimi pac huwa namuweka mbele zaidi! Katika umri wa miaka 25 alikuwa kaishafanya mabala sijui angekuwa hai mpaka 41 hivi ingekuwaje.

Eminem namkubali tena namuelewa saana! Ila sijawahi fikiria kumshindanisha na pac kwa sababu zangu hapo juu.

Ngoja nikasikilize mockingbird kisha nisikilize untill the end of time, nigonge cleanin’ out my closet kisha nisikilize i aint mad at cha, nipige loose yourself kisha nimsikilize dear mama, nile utamu wa no love, ninogeshe na keap ya head up, niisikilize my name kisha nile utamu wa do for love , nisikilize stan na the real slim shady nimalizie na so many tears, me against the world.


Kwa leo itakuwa inatosha nitakuwa nimesikiliza muziki baada ya mida mrefu mnoo kupita.
Sawa mkuu ila Eminem🙌
 
Eminem ana pumzi,verse ndefu na rhythm ndio maana Akirap anakuwa kwenye pattern ileile beat inamfuata baadae.

Lakini huyu Rap cartoon wala sio lyricist.
Boss, hapo nilipobold ulikuwa na maana gani yaani?
 
You're right, ila Eminem ana upekee kidogo sijui tuseme yupo gifted akiongea ni kama ana Rap yaan mda wote ni full sanaa jaribu kuangalia interview zake huchoki kumsikiliza
Sina uhakika kwa hili aisee maana pac kajifia kitambo, kajifia wakati yupo kwenye peak, no one knows peak yake ingedumu kwa muda gani enzi za uhai wake, ni kama vile messi angekufa 2009 au 2011, ama pele angekufa 1963.

Kama vile eminem angekufa 2004/05 hivi tungekosa vingi mnooo.

Kwa mimi pac huwa namuweka mbele zaidi! Katika umri wa miaka 25 alikuwa kaishafanya mabala sijui angekuwa hai mpaka 41 hivi ingekuwaje.

Eminem namkubali tena namuelewa saana! Ila sijawahi fikiria kumshindanisha na pac kwa sababu zangu hapo juu.

Ngoja nikasikilize mockingbird kisha nisikilize untill the end of time, nigonge cleanin’ out my closet kisha nisikilize i aint mad at cha, nipige loose yourself kisha nimsikilize dear mama, nile utamu wa no love, ninogeshe na keap ya head up, niisikilize my name kisha nile utamu wa do for love , nisikilize stan na the real slim shady nimalizie na so many tears, me against the world.


Kwa leo itakuwa inatosha nitakuwa nimesikiliza muziki baada ya mida mrefu mnoo kupita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1419347
Ndiye king of freestyles zinazomake sense na hajuna anaepinga, unashauriwa kuwa na dictionary pembeni maana nahisi anajua maneno yote, Ole wako!!Ole wako ujitie wenda wazimu uanzishe bifu na hiki kiumbe

Kumdisi eminem ni kama kumuua mbwa wa john wick, eminem na huyu bwana nahisi wana undugu maana wote wanateketeza kwa kalamu.

Yanni eminem kitendo cha kukujibu ukimdisi ni kama anakuchimia kaburi la career yako ujizike mwenyewe.

Huwezi kumdisi mtu ambaye tayari anajidiss, waliocheki 8 mile ya eminem nadhani mshanipata

Kina jarule wallijaribu wakateketea mazima, kina machine gun kelly nao wakunga tela, nick canon nahisi kaanza kutumia madawa maana sijui hata kapata hii confidence wapi.

Japo kina tupaccama notorious big walikuwepo vizuri, ila sidhani kama wamefika hata nusu ya eminem ila tatizo tu labda ni mzungu ndio mana wengi hawamp heshima anayostahili
Ndiyo yule mwenyekiti wa Nanjilinji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina uhakika kwa hili aisee maana pac kajifia kitambo, kajifia wakati yupo kwenye peak, no one knows peak yake ingedumu kwa muda gani enzi za uhai wake, ni kama vile messi angekufa 2009 au 2011, ama pele angekufa 1963.

Kama vile eminem angekufa 2004/05 hivi tungekosa vingi mnooo.

Kwa mimi pac huwa namuweka mbele zaidi! Katika umri wa miaka 25 alikuwa kaishafanya mabala sijui angekuwa hai mpaka 41 hivi ingekuwaje.

Eminem namkubali tena namuelewa saana! Ila sijawahi fikiria kumshindanisha na pac kwa sababu zangu hapo juu.

Ngoja nikasikilize mockingbird kisha nisikilize untill the end of time, nigonge cleanin’ out my closet kisha nisikilize i aint mad at cha, nipige loose yourself kisha nimsikilize dear mama, nile utamu wa no love, ninogeshe na keap ya head up, niisikilize my name kisha nile utamu wa do for love , nisikilize stan na the real slim shady nimalizie na so many tears, me against the world.


Kwa leo itakuwa inatosha nitakuwa nimesikiliza muziki baada ya mida mrefu mnoo kupita.
Kweli mkuu...muda mwingine so lazima kufananisha vitu.
Nakumbuka J Cole alishawahi kuulizwa kati ya Michael Jordan na Kobe Bryant nani mkali was muda wrote kwenye kikapu?
Cole akajibu....Ninachojua Jordan amecheza kwa ubora kwenye kipindi chake pia Kobe amefanya hivyo kwenye kipindi chake ila siwezi sema nani no bora kuliko mwenzie.
Mimi huishi hivyo mfano namkubali Nas pia Jay Z kila mmoja kwa nafasi yake.
 
Back
Top Bottom