Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji2] [emoji3] , braza umesinzia?Shida ya kuoa mzungu na kuishi nae nchini mwake.
Wana haki na upendeleo wa Kingese sana...!
Kivipi...! Kwa nini...![emoji15] [emoji15][emoji1] [emoji2] [emoji3] , braza umesinzia?
Bro' we ukipata Toto ya kizungu unaiacha...Ulimbukeni wa kuoa wazungu kana kwamba huko walikotoka hakuna wanawake
Nani ana ukimwiukimwi nouma
Adebayor!!!!!!!!!!Huyo ni adebayor auu
UKIMWI Europe wala si ugonjwa wa kutisha labda asifuate maelekezo tu.ukimwi nouma
hii siku eboue alipga mpira mwingi sana![]()
Kwa msiojua, huyo ndo ebou
Tokea apate hio taarifa amekuwa akijifungia ndani mnyonge tu hadi alitaka kujiua ,.UKIMWI Europe wala si ugonjwa wa kutisha labda asifuate maelekezo tu.
EboueNani ana ukimwi
Mwanamke mweupe dhidi ya mwanaume mweusi katika mahakama ya weupe !ina maana mke wake kapewa kitu?.....mi najua mkiachana mali zinagawanywa nusu kwa nusu