Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
si tumekubaliana tutoe pole tuDuuh aiseee!!,RIP........"kile kilichoitwa uchaguzi mkuu oct 2020"........
Hii changamoto itauwa watu wengi tusipojilinda wenyewe
Pole kwa madhira, endelea kujilinda ili uwalinde na wanao.Mie mwenyewe nilihisi iyo changamoto lkn kwa sasa naona mambo yamekaa sawa, namshukur Mungu
Tanzania na corona sasa imekuwa siasa na watanzania wanaendelea kupotea kila saa kila siku. Ndugai yeye kajificha.View attachment 1708091
Taarifa kutoka Kanda ya Pwani ambayo imetolewa na Katibu wa Kanda hiyo Hemed Ally inaeleza kwamba Mh Lukumai amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na Matatizo ya Upumuaji.
Mh Lukumai alikuwa Mgombea ubunge wa Chadema wa Jimbo la Bagamoyo kwenye kile kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa October 2020.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi , Amina .
PoleniView attachment 1708091
Taarifa kutoka Kanda ya Pwani ambayo imetolewa na Katibu wa Kanda hiyo Hemed Ally inaeleza kwamba Mh Lukumai amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na Matatizo ya Upumuaji.
Mh Lukumai alikuwa Mgombea ubunge wa Chadema wa Jimbo la Bagamoyo kwenye kile kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa October 2020.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi , Amina .
Mh Charles cheziba Naye nikasikia hatunaye tena. Hii corona hii,Poleni
Heh......Cheziba yule msukuma?Mh Charles cheziba Naye nikasikia hatunaye tena. Hii corona hii,