TANZIA Emmanuel Lukumai, Mwenyekiti wa CHADEMA Bagamoyo afariki dunia

TANZIA Emmanuel Lukumai, Mwenyekiti wa CHADEMA Bagamoyo afariki dunia

Usiku wa kuamkia leo nilikuwa hospital fulani.. Kuna mtumishi wa serikali alilazwa hapo,aliwekewa oxygen..wiki nzima anayo..bahati nzuri anaendelea kupata nafuu.. Usiku akaletwa mzee mwenye hela zake (75+) pumzi imembana..,hamna mashine ya oxygen,zote zipo kwa wagonjwa.. Kimbembe kikaanza,vijana wa mzee wakalazimsha itolewe ya mtumishi(50),ambaye ameanza kupata ahueni.. Dr na nurses wakakomaa hakuna kutoa..wakampa mzee rufaa hosp ya mkoa na mtungi wa oxy,ulikuwa nusu.. Kwa kuwa yule mzee ni maarufu,ikapigwa simu kwa DC...wamekataa kuondoka...... Waliokuwa zamu wameitwa kwa DC ...
Eee bhana eeee !!!
 
Covid19 imekuja kutufundisha kitu flani Kama Watanzania.
Wachumia siasa wachache, mwanzo walifkri kuwa Corona ikiingia Tanzania Basi itadhuru CCM au watu wa serikali tu, wakasahau kuwa Corona Ni janga la yeyote na halibagui chama Wala dini Wala kabila..

Acha Tuendelee kupata fundisho mpaka pale unafik utakapotupungua.
Umeandika uongo
 
View attachment 1708091

Taarifa kutoka Kanda ya Pwani ambayo imetolewa na Katibu wa Kanda hiyo Hemed Ally inaeleza kwamba Mh Lukumai amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na Matatizo ya Upumuaji.

Mh Lukumai alikuwa Mgombea ubunge wa Chadema wa Jimbo la Bagamoyo kwenye kile kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa October 2020.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi, Amina.
Rais! mbona watu wameisha!!
 

Attachments

  • IMG_20210221_084044.jpg
    IMG_20210221_084044.jpg
    148.6 KB · Views: 1
View attachment 1708091

Taarifa kutoka Kanda ya Pwani ambayo imetolewa na Katibu wa Kanda hiyo Hemed Ally inaeleza kwamba Mh Lukumai amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na Matatizo ya Upumuaji.

Mh Lukumai alikuwa Mgombea ubunge wa Chadema wa Jimbo la Bagamoyo kwenye kile kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa October 2020.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi, Amina.
Poleni jamanii. Kwakweli hata mimi imeniuma kuona kamanda wetu naye anatutoka gaflaaa.
 
dah japo vifo vingi vinatokea watu wanaingiza siasa kumbukeni lazima kila mtu atakufa tu cha ajabu mtu anakufa ana miaka 75+ watu wanashangaa nini wafe vijana ata 20/30 ndipo tuseme corona lakini kwa mtazamo wangu watu walikua wanakufa hivi hivi tokea mwanzo yaan kwa kifupi ukifika miaka kuanzia 60 lazima ujishikilie tu siku yoyote unaweza kata moto hakuna atakae ishi milele na tunajua life ya human kufika miaka 100 labda mungu awe jirani ako..akuna siasa wala kurona tujue sababu za mtu kufa watu wengine wanashinda wanbadilisha damu nje na wengine wanamagonjwa sugu kwa mda mrefu
 
View attachment 1708091

Taarifa kutoka Kanda ya Pwani ambayo imetolewa na Katibu wa Kanda hiyo Hemed Ally inaeleza kwamba Mh Lukumai amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na Matatizo ya Upumuaji.

Mh Lukumai alikuwa Mgombea ubunge wa Chadema wa Jimbo la Bagamoyo kwenye kile kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa October 2020.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi, Amina.
Taarifa ya kwamba ni matatizo ya upumuaji umezitoa wapi ndugu?
 
Alaa.. Kumbe hii changamoto hadi bavicha inawakuta?
 
Tanzania na corona sasa imekuwa siasa na watanzania wanaendelea kupotea kila saa kila siku. Ndugai yeye kajificha.
Bora kujificha kwa Sasa. Anaweza kuwa na underlining conditions..... Hivyo yuko vulnerable!!
 
Back
Top Bottom