Usiku wa kuamkia leo nilikuwa hospital fulani.. Kuna mtumishi wa serikali alilazwa hapo,aliwekewa oxygen..wiki nzima anayo..bahati nzuri anaendelea kupata nafuu.. Usiku akaletwa mzee mwenye hela zake (75+) pumzi imembana..,hamna mashine ya oxygen,zote zipo kwa wagonjwa.. Kimbembe kikaanza,vijana wa mzee wakalazimsha itolewe ya mtumishi(50),ambaye ameanza kupata ahueni.. Dr na nurses wakakomaa hakuna kutoa..wakampa mzee rufaa hosp ya mkoa na mtungi wa oxy,ulikuwa nusu.. Kwa kuwa yule mzee ni maarufu,ikapigwa simu kwa DC...wamekataa kuondoka...... Waliokuwa zamu wameitwa kwa DC ...