TANZIA Emmanuel Lukumai, Mwenyekiti wa CHADEMA Bagamoyo afariki dunia

Eee bhana eeee !!!
 
Umeandika uongo
 
Rais! mbona watu wameisha!!
 

Attachments

  • IMG_20210221_084044.jpg
    148.6 KB · Views: 1
Poleni jamanii. Kwakweli hata mimi imeniuma kuona kamanda wetu naye anatutoka gaflaaa.
 
dah japo vifo vingi vinatokea watu wanaingiza siasa kumbukeni lazima kila mtu atakufa tu cha ajabu mtu anakufa ana miaka 75+ watu wanashangaa nini wafe vijana ata 20/30 ndipo tuseme corona lakini kwa mtazamo wangu watu walikua wanakufa hivi hivi tokea mwanzo yaan kwa kifupi ukifika miaka kuanzia 60 lazima ujishikilie tu siku yoyote unaweza kata moto hakuna atakae ishi milele na tunajua life ya human kufika miaka 100 labda mungu awe jirani ako..akuna siasa wala kurona tujue sababu za mtu kufa watu wengine wanashinda wanbadilisha damu nje na wengine wanamagonjwa sugu kwa mda mrefu
 
Taarifa ya kwamba ni matatizo ya upumuaji umezitoa wapi ndugu?
 
Alaa.. Kumbe hii changamoto hadi bavicha inawakuta?
 
Tanzania na corona sasa imekuwa siasa na watanzania wanaendelea kupotea kila saa kila siku. Ndugai yeye kajificha.
Bora kujificha kwa Sasa. Anaweza kuwa na underlining conditions..... Hivyo yuko vulnerable!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…