TANZIA Emmanuel Majura amefariki Dunia

TANZIA Emmanuel Majura amefariki Dunia

Kwa masikitiko makubwa, nawajulisha kwamba ndugu yetu Emmanuel Majura amefariki dunia. Imma alikua mwanafunzi wa mwaka wa pili, akisomea uongozaji wa Filamu Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA), akisomeshwa na GH Foundation.

Kwa wale mnaokumbuka Imma amekua na historia ngumu tangu utoto wake. Inadaiwa Mama yake alipewa mimba na mwanaume ambaye aliikataa. Kwahiyo akamzaa Imma na alipofikisha miezi 6 maisha yakawa magumu sana. Hivyo akaenda kuomba kazi za ndani kwa mzee Majura aliyekua mstaafu wa shirika la reli.

Lakini mama Imma alitoroka na kumuacha Imma kwa mzee huyo akiwa na miezi 6 tu. Mzee Majura alimlea Imma kama mjukuu wake na akamsomesha hadi alipomaliza kidato cha nne. Lakini alipata infection kwenye ngozi ya juu inayofunika ubongo (dura mater) na akaharibika sehemu ya fuvu lake upande wa mbele, akawa anatoka usaha masikioni na puani.

Alifanyiwa operation mbili KCMC bila mafanikio. Lakini watanzania kwa umoja wetu kupitia GH Foundation tulimsaidia akaletwa MOI ambapo alifanyiwa operation 3 ikiwemo ya kuondoa sehemu ya fuvu iliyoharibika na kuwekewa fuvu bandia (bone cement). Imma alipona na akaamua kurudi shule, ambapo alichagua kwenda kusoma Uongozaji wa filamu, Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA).

Imma amefariki jana jumapili huko Bagamoyo na ibada ya mazishi itafanyika kesho jumanne chuoni TASUBA, kisha maziko yatafanyika katika makaburi ya Kikristo Bagamoyo mjini.

Mungu awabariki wote mliopata nafasi ya kugusa maisha ya Imma alipokua hai. Katika umri mdogo wa miaka 23 amepitia magumu mengi. Kwa bahati mbaya amekufa bila kuwajua ndugu zake wa damu, lakini angalau Mungu alituinua sisi kuwa ndugu zake. Kwaheri mdogo wangu Imma, tutaonana tena ng'ambo ya mto 😭😭
Credit: Malisa G.J
View attachment 3173474
Mungu ni mwema kila wakat ,na tunapaswa kushukuru Kwa kila jambo
 
Kwa masikitiko makubwa, nawajulisha kwamba ndugu yetu Emmanuel Majura amefariki dunia. Imma alikua mwanafunzi wa mwaka wa pili, akisomea uongozaji wa Filamu Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA), akisomeshwa na GH Foundation.

Kwa wale mnaokumbuka Imma amekua na historia ngumu tangu utoto wake. Inadaiwa Mama yake alipewa mimba na mwanaume ambaye aliikataa. Kwahiyo akamzaa Imma na alipofikisha miezi 6 maisha yakawa magumu sana. Hivyo akaenda kuomba kazi za ndani kwa mzee Majura aliyekua mstaafu wa shirika la reli.

Lakini mama Imma alitoroka na kumuacha Imma kwa mzee huyo akiwa na miezi 6 tu. Mzee Majura alimlea Imma kama mjukuu wake na akamsomesha hadi alipomaliza kidato cha nne. Lakini alipata infection kwenye ngozi ya juu inayofunika ubongo (dura mater) na akaharibika sehemu ya fuvu lake upande wa mbele, akawa anatoka usaha masikioni na puani.

Alifanyiwa operation mbili KCMC bila mafanikio. Lakini watanzania kwa umoja wetu kupitia GH Foundation tulimsaidia akaletwa MOI ambapo alifanyiwa operation 3 ikiwemo ya kuondoa sehemu ya fuvu iliyoharibika na kuwekewa fuvu bandia (bone cement). Imma alipona na akaamua kurudi shule, ambapo alichagua kwenda kusoma Uongozaji wa filamu, Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA).

Imma amefariki jana jumapili huko Bagamoyo na ibada ya mazishi itafanyika kesho jumanne chuoni TASUBA, kisha maziko yatafanyika katika makaburi ya Kikristo Bagamoyo mjini.

Mungu awabariki wote mliopata nafasi ya kugusa maisha ya Imma alipokua hai. Katika umri mdogo wa miaka 23 amepitia magumu mengi. Kwa bahati mbaya amekufa bila kuwajua ndugu zake wa damu, lakini angalau Mungu alituinua sisi kuwa ndugu zake. Kwaheri mdogo wangu Imma, tutaonana tena ng'ambo ya mto 😭😭
Credit: Malisa G.J
View attachment 3173474
Apumzike kwa amani
 
Kwa masikitiko makubwa, nawajulisha kwamba ndugu yetu Emmanuel Majura amefariki dunia. Imma alikua mwanafunzi wa mwaka wa pili, akisomea uongozaji wa Filamu Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA), akisomeshwa na GH Foundation.

Kwa wale mnaokumbuka Imma amekua na historia ngumu tangu utoto wake. Inadaiwa Mama yake alipewa mimba na mwanaume ambaye aliikataa. Kwahiyo akamzaa Imma na alipofikisha miezi 6 maisha yakawa magumu sana. Hivyo akaenda kuomba kazi za ndani kwa mzee Majura aliyekua mstaafu wa shirika la reli.

Lakini mama Imma alitoroka na kumuacha Imma kwa mzee huyo akiwa na miezi 6 tu. Mzee Majura alimlea Imma kama mjukuu wake na akamsomesha hadi alipomaliza kidato cha nne. Lakini alipata infection kwenye ngozi ya juu inayofunika ubongo (dura mater) na akaharibika sehemu ya fuvu lake upande wa mbele, akawa anatoka usaha masikioni na puani.

Alifanyiwa operation mbili KCMC bila mafanikio. Lakini watanzania kwa umoja wetu kupitia GH Foundation tulimsaidia akaletwa MOI ambapo alifanyiwa operation 3 ikiwemo ya kuondoa sehemu ya fuvu iliyoharibika na kuwekewa fuvu bandia (bone cement). Imma alipona na akaamua kurudi shule, ambapo alichagua kwenda kusoma Uongozaji wa filamu, Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA).

Imma amefariki jana jumapili huko Bagamoyo na ibada ya mazishi itafanyika kesho jumanne chuoni TASUBA, kisha maziko yatafanyika katika makaburi ya Kikristo Bagamoyo mjini.

Mungu awabariki wote mliopata nafasi ya kugusa maisha ya Imma alipokua hai. Katika umri mdogo wa miaka 23 amepitia magumu mengi. Kwa bahati mbaya amekufa bila kuwajua ndugu zake wa damu, lakini angalau Mungu alituinua sisi kuwa ndugu zake. Kwaheri mdogo wangu Imma, tutaonana tena ng'ambo ya mto 😭😭
Credit: Malisa G.J
View attachment 3173474

RIEP Emmanuel. Ulikuja bila kutaka na unaondoka bila kutaka. Sijui huyo Mama kama yuko hai anajisikiaje kumkimbia mtoto wa miezi sita.
Lazima alikuwa gaidi fulani anayestahili kukaa Guantamo bay
 
Kwa masikitiko makubwa, nawajulisha kwamba ndugu yetu Emmanuel Majura amefariki dunia. Imma alikua mwanafunzi wa mwaka wa pili, akisomea uongozaji wa Filamu Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA), akisomeshwa na GH Foundation.

Kwa wale mnaokumbuka Imma amekua na historia ngumu tangu utoto wake. Inadaiwa Mama yake alipewa mimba na mwanaume ambaye aliikataa. Kwahiyo akamzaa Imma na alipofikisha miezi 6 maisha yakawa magumu sana. Hivyo akaenda kuomba kazi za ndani kwa mzee Majura aliyekua mstaafu wa shirika la reli.

Lakini mama Imma alitoroka na kumuacha Imma kwa mzee huyo akiwa na miezi 6 tu. Mzee Majura alimlea Imma kama mjukuu wake na akamsomesha hadi alipomaliza kidato cha nne. Lakini alipata infection kwenye ngozi ya juu inayofunika ubongo (dura mater) na akaharibika sehemu ya fuvu lake upande wa mbele, akawa anatoka usaha masikioni na puani.

Alifanyiwa operation mbili KCMC bila mafanikio. Lakini watanzania kwa umoja wetu kupitia GH Foundation tulimsaidia akaletwa MOI ambapo alifanyiwa operation 3 ikiwemo ya kuondoa sehemu ya fuvu iliyoharibika na kuwekewa fuvu bandia (bone cement). Imma alipona na akaamua kurudi shule, ambapo alichagua kwenda kusoma Uongozaji wa filamu, Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA).

Imma amefariki jana jumapili huko Bagamoyo na ibada ya mazishi itafanyika kesho jumanne chuoni TASUBA, kisha maziko yatafanyika katika makaburi ya Kikristo Bagamoyo mjini.

Mungu awabariki wote mliopata nafasi ya kugusa maisha ya Imma alipokua hai. Katika umri mdogo wa miaka 23 amepitia magumu mengi. Kwa bahati mbaya amekufa bila kuwajua ndugu zake wa damu, lakini angalau Mungu alituinua sisi kuwa ndugu zake. Kwaheri mdogo wangu Imma, tutaonana tena ng'ambo ya mto 😭😭
Credit: Malisa G.J
View attachment 3173474
DUnia tunapita. Apumzike kwa amani ya bwana sote kwake tutarejea
 
Ni muhimu kuwa na utaratibu wa kujitathimini sana maisha yetu ili tusiwe tunakufuru na kujiona sisi ni victims wa ugumu wa maisha na matatizo yake na kumbe tuna bahati na fursa kibao za kuishi maisha ya furaha kama tukiridhika na maisha anayotupa muumba.
Huyu kijana kama sio kukataliwa sijui tuite kitu gani sasa hiki. Imagine baba yako mzazi anakukataa na haujazaliwa,mama yako mzazi anakuacha na watu wasio kujua ila wanachagua kujitolea kukulea kama damu yao. Ila bado hata baada ya watu hawa kukukubali na kukupenda shetani bado hajakubali akaamua akupe ugonjwa ambao anajua utakutesa na kukutenga na upendo wa watu hawa ambao wamejitolea kukupa familia na upendo ambao wazazi wako walishindwa.

Hii imekaaje wajameni? Mimi kwa upande wangu tukiitazama kiimani naona nguvu ya giza ilimuandama sana huyu mwanetu. Shetani huwa anajua wateule wa MUNGU hata kabla hawajazaliwa na ndio maana huanza vita yake hata kabla hata ya mteule mimba yake haijatungwa sababu mteule m'moja akifanikiwa kwake Shetani ni pigo kubwa sana kwa himaya yake ya kuzimu.

Hebu jiulize why baba akimbie mtoto ambaye alimtengeneza mwenyewe?

Sawa tufanye baba hana uchungu wa mwana kumshinda mama, ila MAMA MZAZI wa mtoto ambaye ndie kamleta,sio kaachiwa,kamleta yeye hapa duniani kwa uzao wake leo anamkimbia mtoto na kumuacha na watu baki ambao si damu yake.

Bado haijatosha baada ya kupata makazi mapya still shetani hajakubali akaona amfuate na kumtia maradhi ambayo yatamdhoofu na mkum'maliza.

Najua wengi hatujui namna shetani anafanya kazi zake. Kujua ni ngumu sana kwa akili ya kawaida unatakiwa kuwa na akili zaidi ya kawaida kumuelewa shetani na mitego/vikwazo vyake anavyokuwekea.

Usione watu wana maisha ya amani na utulivu na yasiyo na vikwazo ukadhani shetani hawaoni. Anawaona ila anapata shida kuwaingilia sababu ya ukaribu waliojiwekea na MUNGU.

Ndugu zangu,tujiweke karibu na MUNGU upo salama pengine kwasababu ya maombi ya bibi yako aliyomuomba MUNGU kumlindia kizazi chake kuanzia yeye hadi uzao wasaba. Baraka kidogo zisikufanye ubweteke ukaacha kuzungumza na MUNGU ukaendesha maisha kwa kanuni zako.

Usijiweke karibu na MUNGU kwasababu unahisi unakaribia kufa, kufa mapema sio mpango wa MUNGU hata siku moja. Jiweke na MUNGU kwasababu unataka ulinzi wakati ukiishi huu ulimwengu uliozungukwa na mipango ya shetani kila sehemu kuharibu baraka za watu.

Ukisimama na MUNGU sio tu wewe utakuwa salama ila hata wale wanaokuzunguka na hata utakao waleta kupitia uzao wako watakuwa chini ya ulinzi wake.

MUNGU aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi na ampe tena njia nyingine salama ya kurudi ulimwengu huu kuja kuifanya kazi yake aliyotumiwa kuja kuifanya awali katika mazingira salama na upendo bila mashambulizi ya shetani kumzunguka.
 
Kwa masikitiko makubwa, nawajulisha kwamba ndugu yetu Emmanuel Majura amefariki dunia. Imma alikua mwanafunzi wa mwaka wa pili, akisomea uongozaji wa Filamu Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA), akisomeshwa na GH Foundation.

Kwa wale mnaokumbuka Imma amekua na historia ngumu tangu utoto wake. Inadaiwa Mama yake alipewa mimba na mwanaume ambaye aliikataa. Kwahiyo akamzaa Imma na alipofikisha miezi 6 maisha yakawa magumu sana. Hivyo akaenda kuomba kazi za ndani kwa mzee Majura aliyekua mstaafu wa shirika la reli.

Lakini mama Imma alitoroka na kumuacha Imma kwa mzee huyo akiwa na miezi 6 tu. Mzee Majura alimlea Imma kama mjukuu wake na akamsomesha hadi alipomaliza kidato cha nne. Lakini alipata infection kwenye ngozi ya juu inayofunika ubongo (dura mater) na akaharibika sehemu ya fuvu lake upande wa mbele, akawa anatoka usaha masikioni na puani.

Alifanyiwa operation mbili KCMC bila mafanikio. Lakini watanzania kwa umoja wetu kupitia GH Foundation tulimsaidia akaletwa MOI ambapo alifanyiwa operation 3 ikiwemo ya kuondoa sehemu ya fuvu iliyoharibika na kuwekewa fuvu bandia (bone cement). Imma alipona na akaamua kurudi shule, ambapo alichagua kwenda kusoma Uongozaji wa filamu, Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA).

Imma amefariki jana jumapili huko Bagamoyo na ibada ya mazishi itafanyika kesho jumanne chuoni TASUBA, kisha maziko yatafanyika katika makaburi ya Kikristo Bagamoyo mjini.

Mungu awabariki wote mliopata nafasi ya kugusa maisha ya Imma alipokua hai. Katika umri mdogo wa miaka 23 amepitia magumu mengi. Kwa bahati mbaya amekufa bila kuwajua ndugu zake wa damu, lakini angalau Mungu alituinua sisi kuwa ndugu zake. Kwaheri mdogo wangu Imma, tutaonana tena ng'ambo ya mto 😭😭
Credit: Malisa G.J
View attachment 3173474
apumzike kwa aman
 
Japo sometimes naweza kulaumu Ila huwa naiepuka kufuru kwa sababu dunia ni nzito sana kwa baadhi ya watu. Mungu ampumzishe maana sijui ilikuwa ngumu kwake kwa kiwango gani na matumaini gani alikuwa nayo.


Rest in peace 🙏🏽
 
RIEP Emmanuel. Ulikuja bila kutaka na unaondoka bila kutaka. Sijui huyo Mama kama yuko hai anajisikiaje kumkimbia mtoto wa miezi sita.
Lazima alikuwa gaidi fulani anayestahili kukaa Guantamo bay
 
Ni muhimu kuwa na utaratibu wa kujitathimini sana maisha yetu ili tusiwe tunakufuru na kujiona sisi ni victims wa ugumu wa maisha na matatizo yake na kumbe tuna bahati na fursa kibao za kuishi maisha ya furaha kama tukiridhika na maisha anayotupa muumba.
Huyu kijana kama sio kukataliwa sijui tuite kitu gani sasa hiki. Imagine baba yako mzazi anakukataa na haujazaliwa,mama yako mzazi anakuacha na watu wasio kujua ila wanachagua kujitolea kukulea kama damu yao. Ila bado hata baada ya watu hawa kukukubali na kukupenda shetani bado hajakubali akaamua akupe ugonjwa ambao anajua utakutesa na kukutenga na upendo wa watu hawa ambao wamejitolea kukupa familia na upendo ambao wazazi wako walishindwa.

Hii imekaaje wajameni? Mimi kwa upande wangu tukiitazama kiimani naona nguvu ya giza ilimuandama sana huyu mwanetu. Shetani huwa anajua wateule wa MUNGU hata kabla hawajazaliwa na ndio maana huanza vita yake hata kabla hata ya mteule mimba yake haijatungwa sababu mteule m'moja akifanikiwa kwake Shetani ni pigo kubwa sana kwa himaya yake ya kuzimu.

Hebu jiulize why baba akimbie mtoto ambaye alimtengeneza mwenyewe?

Sawa tufanye baba hana uchungu wa mwana kumshinda mama, ila MAMA MZAZI wa mtoto ambaye ndie kamleta,sio kaachiwa,kamleta yeye hapa duniani kwa uzao wake leo anamkimbia mtoto na kumuacha na watu baki ambao si damu yake.

Bado haijatosha baada ya kupata makazi mapya still shetani hajakubali akaona amfuate na kumtia maradhi ambayo yatamdhoofu na mkum'maliza.

Najua wengi hatujui namna shetani anafanya kazi zake. Kujua ni ngumu sana kwa akili ya kawaida unatakiwa kuwa na akili zaidi ya kawaida kumuelewa shetani na mitego/vikwazo vyake anavyokuwekea.

Usione watu wana maisha ya amani na utulivu na yasiyo na vikwazo ukadhani shetani hawaoni. Anawaona ila anapata shida kuwaingilia sababu ya ukaribu waliojiwekea na MUNGU.

Ndugu zangu,tujiweke karibu na MUNGU upo salama pengine kwasababu ya maombi ya bibi yako aliyomuomba MUNGU kumlindia kizazi chake kuanzia yeye hadi uzao wasaba. Baraka kidogo zisikufanye ubweteke ukaacha kuzungumza na MUNGU ukaendesha maisha kwa kanuni zako.

Usijiweke karibu na MUNGU kwasababu unahisi unakaribia kufa, kufa mapema sio mpango wa MUNGU hata siku moja. Jiweke na MUNGU kwasababu unataka ulinzi wakati ukiishi huu ulimwengu uliozungukwa na mipango ya shetani kila sehemu kuharibu baraka za watu.

Ukisimama na MUNGU sio tu wewe utakuwa salama ila hata wale wanaokuzunguka na hata utakao waleta kupitia uzao wako watakuwa chini ya ulinzi wake.

MUNGU aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi na ampe tena njia nyingine salama ya kurudi ulimwengu huu kuja kuifanya kazi yake aliyotumiwa kuja kuifanya awali katika mazingira salama na upendo bila mashambulizi ya shetani kumzunguka.
 
Wakuu,
Tusitungishe mimba kama hatuna uhakika kwa kutoa sapoti ya malezi. Inahuzunisha mtoto anakuja duniani bila ridhaa yake na kula vumbi kali ila wazazi wapo tu.
 
Kwa masikitiko makubwa, nawajulisha kwamba ndugu yetu Emmanuel Majura amefariki dunia. Imma alikua mwanafunzi wa mwaka wa pili, akisomea uongozaji wa Filamu Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA), akisomeshwa na GH Foundation.

Kwa wale mnaokumbuka Imma amekua na historia ngumu tangu utoto wake. Inadaiwa Mama yake alipewa mimba na mwanaume ambaye aliikataa. Kwahiyo akamzaa Imma na alipofikisha miezi 6 maisha yakawa magumu sana. Hivyo akaenda kuomba kazi za ndani kwa mzee Majura aliyekua mstaafu wa shirika la reli.

Lakini mama Imma alitoroka na kumuacha Imma kwa mzee huyo akiwa na miezi 6 tu. Mzee Majura alimlea Imma kama mjukuu wake na akamsomesha hadi alipomaliza kidato cha nne. Lakini alipata infection kwenye ngozi ya juu inayofunika ubongo (dura mater) na akaharibika sehemu ya fuvu lake upande wa mbele, akawa anatoka usaha masikioni na puani.

Alifanyiwa operation mbili KCMC bila mafanikio. Lakini watanzania kwa umoja wetu kupitia GH Foundation tulimsaidia akaletwa MOI ambapo alifanyiwa operation 3 ikiwemo ya kuondoa sehemu ya fuvu iliyoharibika na kuwekewa fuvu bandia (bone cement). Imma alipona na akaamua kurudi shule, ambapo alichagua kwenda kusoma Uongozaji wa filamu, Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA).

Imma amefariki jana jumapili huko Bagamoyo na ibada ya mazishi itafanyika kesho jumanne chuoni TASUBA, kisha maziko yatafanyika katika makaburi ya Kikristo Bagamoyo mjini.

Mungu awabariki wote mliopata nafasi ya kugusa maisha ya Imma alipokua hai. Katika umri mdogo wa miaka 23 amepitia magumu mengi. Kwa bahati mbaya amekufa bila kuwajua ndugu zake wa damu, lakini angalau Mungu alituinua sisi kuwa ndugu zake. Kwaheri mdogo wangu Imma, tutaonana tena ng'ambo ya mto 😭😭
Credit: Malisa G.J
View attachment 3173474
Apumzike Kwa amani na Mungu awabariki wale wote mliojitolea kumsaidia naamini Mungu atawalipa
 
Kwa masikitiko makubwa, nawajulisha kwamba ndugu yetu Emmanuel Majura amefariki dunia. Imma alikua mwanafunzi wa mwaka wa pili, akisomea uongozaji wa Filamu Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA), akisomeshwa na GH Foundation.

Kwa wale mnaokumbuka Imma amekua na historia ngumu tangu utoto wake. Inadaiwa Mama yake alipewa mimba na mwanaume ambaye aliikataa. Kwahiyo akamzaa Imma na alipofikisha miezi 6 maisha yakawa magumu sana. Hivyo akaenda kuomba kazi za ndani kwa mzee Majura aliyekua mstaafu wa shirika la reli.

Lakini mama Imma alitoroka na kumuacha Imma kwa mzee huyo akiwa na miezi 6 tu. Mzee Majura alimlea Imma kama mjukuu wake na akamsomesha hadi alipomaliza kidato cha nne. Lakini alipata infection kwenye ngozi ya juu inayofunika ubongo (dura mater) na akaharibika sehemu ya fuvu lake upande wa mbele, akawa anatoka usaha masikioni na puani.

Alifanyiwa operation mbili KCMC bila mafanikio. Lakini watanzania kwa umoja wetu kupitia GH Foundation tulimsaidia akaletwa MOI ambapo alifanyiwa operation 3 ikiwemo ya kuondoa sehemu ya fuvu iliyoharibika na kuwekewa fuvu bandia (bone cement). Imma alipona na akaamua kurudi shule, ambapo alichagua kwenda kusoma Uongozaji wa filamu, Taasisi ya sanaa Bagamoyo (TASUBA).

Imma amefariki jana jumapili huko Bagamoyo na ibada ya mazishi itafanyika kesho jumanne chuoni TASUBA, kisha maziko yatafanyika katika makaburi ya Kikristo Bagamoyo mjini.

Mungu awabariki wote mliopata nafasi ya kugusa maisha ya Imma alipokua hai. Katika umri mdogo wa miaka 23 amepitia magumu mengi. Kwa bahati mbaya amekufa bila kuwajua ndugu zake wa damu, lakini angalau Mungu alituinua sisi kuwa ndugu zake. Kwaheri mdogo wangu Imma, tutaonana tena ng'ambo ya mto 😭😭
Credit: Malisa G.J
View attachment 3173474
Apumzike kwa amani
 
Back
Top Bottom