TANZIA Emmanuel Majura amefariki Dunia

R.I.P kijana.Jamani huyo mama yake ana roho ngumu mtoto uliembeba tumboni miezi tisa unamtelekeza.Inaumiza Sana ameishi Bila kujua ndugu zake WA damu.
Undugu wa damu wakati mwingine ni ujinga! Unaoishi nao karibu ndio ndugu zako hao!
 
Sihuzuniki na misiba Tena Kwa maana najua ni njia ya lazima Kila binadamu kupita
Hata sie tuliobaki tutapita huko.
Babu mmoja wa mika 90 alikuwa anasema hivi hivi kama wewe. Tena yeye alikuwa anaongezea na kibwagizo cha ''nimeona mengi ya dunia, niko tayari muda wowote, wala msilie''. Siku moja dume la ng'ombe likakata kamba na kuanza kufukuza watu..... alikuwa wa kwanza kutimua mbio utadhani ni Usain Bolt! Alipoulizwa vipi tena si ulisema uko tayari muda wowote? Alibaki kucheka tu...
 
Simjui ni nani ila apumzike kwa amani!

Inasikitisha sana mtoto analetwa duniani halafu anatelekezwa kabisa na wazazi wake.

Hakuna mtoto anayejileta mwenyewe hapa duniani.

Inatia simanzi sana.

Pole zake huyo dogo kwa yote aliyoyapitia.
Hauyajui ya wawili.Nyamaza.
 
Dah, Mungu amlaze mahala pema peponi
 
imenihuzunisha na kuniumiza sana historia yake fupi ya maisha.
 
R.I.P kijana.Jamani huyo mama yake ana roho ngumu mtoto uliembeba tumboni miezi tisa unamtelekeza.Inaumiza Sana ameishi Bila kujua ndugu zake WA damu.
RIP kijana mwendo umeumaliza. Mama yake anaroho ya Huruma na Hofu ya Mungu ndo mana katafuta mahali salama pa kumwacha(kwa Majura)kuliko wale wanao zaa na kumtupa mtoto jalalani au chooni.
 
Nini kime muua huyu kijana elimu ya nyota inahusu hasa ukisoma history yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…