LUCKY BANANA
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 461
- 226
SASA ATOAJE KWA MFANO NA MWANAWAKE WANAHITAJI MATUMIZI HUNA MSHIKO WALA NINI,KAZI KWAKO WABEBE HATA ZEGEHuyo full kulewaaa tuu...
Halafu kwa nini marioo wakiachwaa huwagaa hawaoii[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Huyo sio mario ioa bado hajapata mbadala Wa frolaJamaa ni mario, ndio maana hata flora aliona chakufia nini, akatupa zigo chini. Angekua ni muhangaikaji na maisha kama siye wengine hii ajali ya mapenzi aliyoipata isinge muathiri pakubwa.
Unaongelea 'ukavu' upi labda?..kama ukavu yani kukausha kama hamjui basi flora sio mkavu jina limembeba tu, witnessj kuna wanawake wakavu anakuacha afu anatembea na rafiki ako tena anaforce mbele yako hapo ndo unavurugwa umchukie yupi!!..Kati ya mademu "wakavu " duniani Frola anabeba taji asee..
Jamaa ameshindwa kumove on kabisa, anaazima magari ya watu anapigia picha aonekane kafanikiwa bila frola. Mapenzi kwa kweli ni kitu cha kipekee sana yana nguvu omba Mungu usikutane na situation anayopitia Mbasha kwa sasa unaweza muona sio mwanaume wa kweli ila kwa anayopitia ni kumhurumia tu sio kumcheka.
Sio mchaga wewe ni msukuma wa mwanzaMCHAGA GANI ASIYEJISHUGHULISHA ANTUABISHA IVO
Kwa hali hiyo maji hayatopita, sana sana atakuwa anamuona kwenye maji.Huyu nae kiherehere anywe maji apumzike
Aaah kumbe kajojoUsidanganyike hata siku moja na picha za mtandaoni 99% haziakisi maisha halisi ya mhusika
Mkuu we acha tuu...kuna interview moja juzikati aliifanya ebana daah....Unaongelea 'ukavu' upi labda?..kama ukavu yani kukausha kama hamjui basi flora sio mkavu jina limembeba tu, witnessj kuna wanawake wakavu anakuacha afu anatembea na rafiki ako tena anaforce mbele yako hapo ndo unavurugwa umchukie yupi!!..