Emmanuel Mbasha na Flora Mbasha wapatana

chongchung

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
13,277
Reaction score
40,924
Stori: WAANDISHI WETU

 
chongchung

Hii ni tamithiliya, au riwaya, sihitaji kutangaza mambo ya ndani kwenye media, au magazeti.
 
Last edited by a moderator:
Wenye ndoa hebu changieni hili......

Swali huko kwenye vikao Frola alikubali Kuwa ile Kesi ya Kubaka ilikuwa Feki? na hiyo kesi itafutwa au? Maana hapo ndipo penye kizungumkuti ! Hivi huyo mwanaume anajisikiaje baada ya kumegewa kisha watu wakasafisha nyumba yote sasa wanajidai kupatana
 
chongchung

Hii ni tamithiliya, au riwaya, sihitaji kutangaza mambo ya ndani kwenye media, au magazeti.

Kwa kweli hili jambo la kwenda kuleta kiringi cha mapaparazi na kuja kuwaonesha namna mnavyoishi ndani me halinibariki kabisa yan.
 
Sasa Mbasha Na Flora Wamerudiana, Mlotaka Waachane Sasa Mnaaibika. Bibi Na Bwana Wakigombana,waache Wenyewe Wataelewana, Ukileta Ujuaji Unaaibika Pakubwa,poleni Na Muache Majungu Na Uzush
 
Sasa Mbasha Na Flora Wamerudiana, Mlotaka Waachane Sasa Mnaaibika. Bibi Na Bwana Wakigombana,waache Wenyewe Wataelewana, Ukileta Ujuaji Unaaibika Pakubwa,poleni Na Muache Majungu Na Uzush

We si miongoni mwa wanaoshabikia mbasha afungwe? Si ulikuwa unashabikia kuwa mbasha ajibu tuhuma kama kabaka au hajabaka?? Wewe si ndo kibaraka wa gwajima wewe!!!.sasa huoni kuwa hii thread yako inakuhusu mwenyewe moja kwa moja....mana wewe na mungu mtu wako gwajima, mnapenda mbasha afungwe.
 
huu unaitwa uhayawani, hapa jf kuna member aliyempeleka mbasha jela?
 
Sasa Mbasha Na Flora Wamerudiana, Mlotaka Waachane Sasa Mnaaibika. Bibi Na Bwana Wakigombana,waache Wenyewe Wataelewana, Ukileta Ujuaji Unaaibika Pakubwa,poleni Na Muache Majungu Na Uzush

Waaibike thrice
 

hukuwa na ufahamu wa kumweleewa

ya rohoni waachie wa rohoni

ndoa imerudi kingine
 
hukuwa na ufahamu wa kumweleewa

ya rohoni waachie wa rohoni

ndoa imerudi kingine

Alicho kiandika kikowaz kabisaa.....fuatilia coments zake kwenye the bold utajua kuwa nae ni miongoni mwa mashabiki walikuwa wanapenda ndoa ivunjike
 
Hakuna kitu hapo

Gwajima kaamua kuyanyamazisha na dogo kabinywa ndude tu, mikandamizo inaendelea kama kawa
 
Sasa Mbasha Na Flora Wamerudiana, Mlotaka Waachane Sasa Mnaaibika. Bibi Na Bwana Wakigombana,waache Wenyewe Wataelewana, Ukileta Ujuaji Unaaibika Pakubwa,poleni Na Muache Majungu Na Uzush

Majungu na umbea hatuachi ndo kazi yetu na kuaibika kwenye umbea ni kama ajali tu
 
Sasa Mbasha Na Flora Wamerudiana, Mlotaka Waachane Sasa Mnaaibika. Bibi Na Bwana Wakigombana,waache Wenyewe Wataelewana, Ukileta Ujuaji Unaaibika Pakubwa,poleni Na Muache Majungu Na Uzush

Acha hizo : Majungu yapi? na Uzushi upi? Kuna Mtu aliwatuma wautangazie Umma migogoro yao ? Frola alichepuka kwa Raha zake kamaliza kiu sasa analudi kwake baada ya kumsweka Mbasha Jela kwa kutengenezea Kesi Feki , vipi sasa Kesi itafutwa Kimagumashi? au kesi watazuga unaendelea kisha baadae wadai Hakuna ushahidi?maana Bongo kila kitu kinawezekana ! Hata staili ya kuchepuka Pia Frola kabadili toka analogia sasa atakuwa Digtal ,mchungaji yupo kumbuka na kiu bado kipo, Tunawaomba hao Frola na Mme wake Wakigombana wasiwatangazie watu Michepuko Yao kisha waje na Maneno eti kuna Majungu na Uzushi ! Watambue Kuwa kila Mtu ana shida zake huku majumbani lakini wengi wanakomaa wenyewe mpaka wanamaliza . Ukumbike Pia jukwaa la JF limefanya kazi kubwa Kumrekebisha Frola hadi akajiludi wewe Mbasha huna budi kuwashukulu wana JF kwa kukurejeshea Tunda lako.
 
huu unaitwa uhayawani, hapa jf kuna member aliyempeleka mbasha jela?

Huyo SAM LOVE kachemsha kweli ! Kasahau Kuwa wana JF ndio wamemrejesha Frola kwake baada ya kumkosoa saana kadhalika kufichua Uovu wake sanjari na Historia yake ndipo Frola akazinduka toka Michepukoni na Kurejea kwao , Vipi Mbasha na Frola wamepima Ukimwi? Najua watu watasema hayo ni Yao Binafsi , lakini kumbuka walitutangazia shida zao na sisi tunawajibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…