Emmanuel Nchimbi atalipa kisasi

Emmanuel Nchimbi atalipa kisasi

Usimbeze mtu kwakua kesho anaweza kua boss wako.



Nadhan kwa mwenye Akili timamu, kauli hii ya Makonda itamtia Maarifa !!.

2025, Rais sio Samia.
Namshauri bi tozo asikomalie vitu ambavyo vimemshinda, aridhike na na hii miaka kumi aliyotawala ksb hata uwezo wake umekuwa mdogo sana, itawapa waarabu na mafisadi wabobezi waitie inchi mifukoni mwao.
 
Inaelekea humjui Emanuel Nchimbi.Alikuwa anatumia haki yake ya kidemokrasia.

Haya mengine ni speculation tu isiyokuwa na uzito wowote. Yaani unamjua Nchimbi kuliko CCM? Katika watu wanaoijua CCM vizuri ni Nchimbi ameanza nayo tokea akiwa chipukizi. Hizo ni assumptions za fisi kungojea mkono udondoke.

Muhimu IQ….
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siyo kosa lako Suzy, inaelekea kiongozi mzuri kwako ni yule anaekubali kila kitu kinachopendekezwa na mwenye mamlaka hata kama ni cha kijinga.

Uchaguzi wa 2015 Kikwete alikuwa na mgombea wake mfukoni. Akina Nchimbi kama waNEC hawakumtaka. Wewe ulitakaje kwa mfano.

Wewe unataka katibu mkuu atakaemtii Makonda? Unachekesha, inaonekana wewe ni Sukuma gang
Hili nalo neno !
Mwalimu alisemaga wanatakiwa vijana waasi watakao wahoji viongozi wao sio kukubali kila kitu hata kama hakiko sawa. !!
 
Paulo Makonda anaondoka, Nchimbi amesema anapenda mijadala na watu wenye akili, sasa Makonda hana akili.

And, indeed, Makonda will be ousted unceremoniously.

Alikataa pema pa Chongolo, sasa kaletewa mwamba.

Kijana makonda moto wa kuotea mbali nchimbi nampa miezi 6. Hadi mwaka na atakuwa hana mvuto kabisa kisiasa atashuka sana. Na ataondilewa. Mapema san
 
Kijana makonda moto wa kuotea mbali nchimbi nampa miezi 6. Hadi mwaka na atakuwa hana mvuto kabisa kisiasa atashuka sana. Na ataondilewa. Mapema san
Makonda hana chama chake, chama ni CCM, Mtendaji Mkuu ni Nchimbi, na ndio accounting officer, na ameshika ajenda ya chama, lazima akae ndani ya mfumo
 
Sijuhi Watanzania tumerogwa na nani? Jambazi akiwaibia mnamuona ana akili sababu ana pesa kuliko nyie? Tueleze vyanzo vya hicho kipato chake, au kwa akili yako unadhani mshahara unaweza kumfanya mtu awe tajiri?
Wewe usipo kuwa na akili ya kuwekeza utaona kila mtu mwizi
 
Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!

Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!

Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la muda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.

Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya chama kama ilivyo kawaida yake.
Atafinywa tu akiIeta upuuzi, huyo ni system na anaifahamu vizuri sana system.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Huna hoja yoyote ya msingi. Suala la kumgomea Kikwete na maamuzi yake ya mfukoni limenifanya nimheshimu hadi leo japo simkubali, lazima mtu uwe na msimamo sio kuburuzwa.

Ule mchakato ulikuwa batili, kama Mwenyekiti alikuwa na majina yake mfukoni kwanini aliitisha uchaguzi?
Katibu mpya ni loyal, nadhani ndio maana kapewa nafasi kwa kuwa anaweza kuaminika.
Nifah una hoja nzuri
 
Ndio unatakiwa utoe pendekezo lako sasa nani anafaa, huna lazima ya kukubali kuwa Mwinyi.

We unadhani mafisadi ya kisukuma yaliyo kwenye system, wafanyakazi wa serikali na vigogo wa CCM waliokuwa wananufaika na vitega uchumi vya CCM yalikuwa na hamu na Magufuli wakati wa uongozi wake sikia tu hadithi za JF na sukuma gang (ni propaganda mfu). Embu kutana na wasukuma wa aina hiyo chuki yao kwa Magufuli wakimsimulia huyo ChoiceVariable ana afadhali.

Watu wanaangalia nani anawafaa kwa maslahi yao, hakuna emotions huko serikalini.

Sasa wewe endelea kutaka kuona watu fulani hswafai sababu ya nafasi za awali za baba zao, au mahala walipotoka; badala ya kuangalia maslahi yako.
Nimekuuliza huyo mwinyi atafanya nn jipyaaa? Au una maslahi nae?

Hatutakiiiiii utawala wa kurithishanaaa, wapo wengi wa kushika dola na sio huyo mwinyi wako.
 
Paulo Makonda anaondoka, Nchimbi amesema anapenda mijadala na watu wenye akili, sasa Makonda hana akili.

And, indeed, Makonda will be ousted unceremoniously.

Alikataa pema pa Chongolo, sasa kaletewa mwamba.
Makonda mzee baba nilidude moja hivi hataeee...
Asipokaa sawa Nchimbi nae atarudi Songea kula Magimbi
 
Wewe ndiye una matatizo ya kiakili .lakini kila mtanzania mwenye akili Timamu anatambua uwezo mkubwa wa kiakili na kiuongozi alionao mheshimiwa Makonda na mchango mkubwa katika Taifa letu. Ni Makonda alipokuwa RC Dar es salaam tuliona namna alivyoleta matokeo chanya na mabadiliko makubwa ya kiutendaji na huduma bora kwa wakazi wa jiji la Dar.hata Ndani ya UVCCM na chama kwa ujumla Mh Makonda amekuwa na mchango mkubwa sana na wakati wote amekipigania na kukitetea chama kwa nguvu zake zote. Ndio maana kwa kutambua uwezo wake mkubwa na ushawishi alio nao katika taifa letu ndio maana Mh Rais wetu na mwenyekiti wetu Mh Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan aliamua amrejeshe uongozini ili aje afanye kazi ya kukijenga na kukiimarisha chama .

Wewe huoni hadi CHADEMA wakisikia jina lake wanapata presha na kupoteza ufahamu?
Bwana Makonda hapa umejipakulia minyama mingi sana mkuu
 
Wewe ndiye una matatizo ya kiakili .lakini kila mtanzania mwenye akili Timamu anatambua uwezo mkubwa wa kiakili na kiuongozi alionao mheshimiwa Makonda na mchango mkubwa katika Taifa letu. Ni Makonda alipokuwa RC Dar es salaam tuliona namna alivyoleta matokeo chanya na mabadiliko makubwa ya kiutendaji na huduma bora kwa wakazi wa jiji la Dar.hata Ndani ya UVCCM na chama kwa ujumla Mh Makonda amekuwa na mchango mkubwa sana na wakati wote amekipigania na kukitetea chama kwa nguvu zake zote. Ndio maana kwa kutambua uwezo wake mkubwa na ushawishi alio nao katika taifa letu ndio maana Mh Rais wetu na mwenyekiti wetu Mh Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan aliamua amrejeshe uongozini ili aje afanye kazi ya kukijenga na kukiimarisha chama .

Wewe huoni hadi CHADEMA wakisikia jina lake wanapata presha na kupoteza ufahamu?
Labda chadema ya kongo
 
Inaelekea humjui Emanuel Nchimbi.Alikuwa anatumia haki yake ya kidemokrasia.

Haya mengine ni speculation tu isiyokuwa na uzito wowote. Yaani unamjua Nchimbi kuliko CCM? Katika watu wanaoijua CCM vizuri ni Nchimbi ameanza nayo tokea akiwa chipukizi. Hizo ni assumptions za fisi kungojea mkono udondoke.
Wale wakongwe wa siasa za nchi wanamkumbuka Kolimba. Baba wa taifa alibaini kuwa jamaa ni radical, akadhani kuwa kumuondoa kutoka kuwa katibu wa vyama vya wafanyakazi aje awe Katibu mkuu wa chama Kungemlainisha asihoji yale aliyoyaona yana ukakasi. Mwisho wa siku ndie aliye tamka kuwa kijani haina muelekeo, akaishia kuvuta ...... Akarestishwa in peace
 
Nimekuuliza huyo mwinyi atafanya nn jipyaaa? Au una maslahi nae?

Hatutakiiiiii utawala wa kurithishanaaa, wapo wengi wa kushika dola na sio huyo mwinyi wako.
Mmeshaambiwa itachapishwa fomu moja tu !
Biashara imeisha !
Ngoja tuone mwenye ubavu wa kuchapisha fomu zaidi ya moja !!
 
Mmeshaambiwa itachapishwa fomu moja tu !
Biashara imeisha !
Ngoja tuone mwenye ubavu wa kuchapisha fomu zaidi ya moja !!
Hawa wavimba macho wao hawana hata mgombe bado wapo busy na ku comment kuhusu mgombea wa CCM. Forum ni moja tu itachapishwa.Nyie mgombea wenu nani?
 
Uzuri wale wanaotarajiwa kuguswa na kisasi bado wako na kumbukumbu za matendo yao na wako alert vibaya mno. Haitakuwa rahisi hivyo na simshauri aanze na angle ya kisasi.
 
Back
Top Bottom