Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 673
- 865
Acha ujinga.Kama wageni ni weledi kuliko wenyeji Acha watutawale tuu, imagine mbantu mwenzetu alikuwa anatukatia umeme Kwa maksudi tuuu, hata Yusuphu ( mwisraeli) Kwa weledi wake alijikuta ni Waziri mkuu Misri ... Watu wanasema Maghufuli alikuwa mrundi na mkapa alikuwa mtu wa msumbiji, ni mara Mia tu
Mzee marope.Nadhani unaweza kubuni nani katoa hii commentπ. Angalia hii '...kijana kuwa na shukurani'
Unadhani nani katoa hii commentπ€.. ukiacha jina lake la jf
Ukipata jibu nitagHivi Gavana wa BoT na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Nani mkubwa wa cheo?
BoT na Wizara ya Fedha; ipi ni kubwa kuliko nyingine?.Hivi Gavana wa BoT na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Nani mkubwa wa cheo?
Mpumbavu wewe1992???? We jamaa una matatizo ya Akili.
Everything is important. Hao Wamarekani hawajaanza na coding. Hata sisi tutafika tu huko.Means kwako USA ndio kioo chako fair enough, jilinganishe na mambo mengine na USA na nchi yetu, coding n programming ni some muhimu ndani ya USA, sijui hiyo imeitoa wapi
Kimei anaponzwa na ugeni katika siasa hana chawa wala connection tu basi lakini kama rais anataka uchumi uliotukuka amteue huyu ndugu uwaziri wa uchumi na mipango hatojutia uteuzi huo.Will be very big mistake kumtoa Bashe pale Kilimo... Yet I agree with you kuwa na waziri mpya pale fedha, hasa Kimei.. If wishes were horse [emoji206] lakini...
Noti ya kwanza ya 10000 Ilitolewa na BOT mwaka 1995Mpumbavu wewe
Noti 10k ilianza 1992 . Uwe unaficha upumbavu wako madhara ya kuhudhuria madrassa na kuacha shule ndio unayaona sasa
Mzee baba alikuwa na mihemuko yake mkuuHakutakiwa teuliwa maana sasa ameingiza gharama serikalini
Hahahahaha π€£πππ . . Hii ndo jamiiforumsKuna kila dalili Waziri wa Fedha akateuliwa kuwa Waziri wa Kilimo