Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Nini mandate ya BOT?,hiki chombo kitakua muhimu kama kitaendeshwa bila ya urasimu wa serikali, serikali ijiondoe kabisa katika uendeshaji wa BOT, wakiwa huru wapewe jukumu kubwa la kulinda sarafu yetu ili thamani yake against major world currencies iwe kubwa
Subiri Chadema "kama" wakiingia madarakani ndio uwaambie wafanye hivyo. Kwa Serikali ya CCM ambayo ni makini haiwezi kufanya hivyo.
 
Acha kujikosha, tofauti ipo na inaonekana na wewe umeiona ndo maana umeenda mbali katika kujikosha kwa kujaribu kutoa tafsiri yako ya "civilized society".

Sasa kwa tafsiri yako hiyo ya civilized society, je hiyo civilized society isiyokuwa na wezi, isiyokuwa na wavivu, isiyokuwa na mihadarati, na yenye watu wanaofuata sheria za nchi yao kikamilifu iko nchi gani hapa duniani?
Qatar
 
Hali ya kisiasa duniani ilipelekea sana uchumi kuyumba, pia Nyerere aliharibu sana uchumu, akamwachia zigo la Misumari mzee wa watu, ndio akapambana kuanzishwa kwa TRA na Mashirika mengine muhimu kabla ya Mkapa kuja kuyajengea uwezo
Mfia dini
 
Acha urongo. Mwinyi alikuwa hakusanyi kodi mpaka Nyerere alimchamba kwa suala hilo la kutokukusanya kodi.

TRA alianzisha Mkapa.

Enzi za Mwinyi kulikuwa na idara ya mapato tu katika wizara ya fedha.

Mwinyi ndo aliivuruga hii nchi. Hata katika suala muhimu sana la mipangomiji ilivurugika wakati wa Mwinyi ndo jiji la Dar likaanza kujengwa holelaholela na kuvurugika kama unavyoliona leo. Kulinyoosha tena liwe kama mji wa watu wenye akili ni ngumu sana kwa sasa.
Humu kwa sasa limeibuka kundi la wafia dini, huyo ni mmoja wao
 
Kumbe wewe ni bwa mdogo chaubishi, halafu unatutukana wakubwa zako.

Elfu kumi ya kwanza ni hii hapa dogo, angalia sura hiyo kama unaijua:

View attachment 2472643

Halafu Mkapa aliposhika hatamu ndo akaleta busara nzuri ya kuachana na utamaduni wa kuuza sura kwenye noti akaleta elfu kumi ya twiga:

View attachment 2472645

Kama umewahi kumsikia mtu anayeitwa Mr. Bluu ubluu wake ulikuwa ni kwa yeye kujifananisha na hizi noti za mwanzoni za elfu kumi (yaani kwamba yeye ndo alikuwa anajiona yuko juu kama Tshs. elfu kumi.)
Huyo ni mfia dini, Wala usimshangae. Hajui hata noti ya 10000 kama ilianza 1992. Anasema ilianza wakati wa mkapa, ili mradi tu akwambie mwinyi alikua bora kuliko mkapa.

Huwa sijui Wana akili za aina gani
 
Huyo ni mfia dini, Wala usimshangae. Hajui hata noti ya 10000 kama ilianza 1992. Anasema ilianza wakati wa mkapa, ili mradi tu akwambie mwinyi alikua bora kuliko mkapa.

Huwa sijui Wana akili za aina gani
1992???? We jamaa una matatizo ya Akili.
 
Moja kati ya kazi kubwa za BOT ni utafiti, ndio maana imekuwa tradition miaka ya hivi karibuni imekuwa kawaida kuongozwa na mtu ambaye amepita kwenye phd level. Anyways, tumuombe heri na mafanikioView attachment 2472957
huyu gavani ameteuliwa kwa mapenzi ya Makamu wa rais, siamini kama ana vigezo zaidi kuweza kuhudumu kama Governor.
 
Mtuwekeepo cv zao basi..tujue pia wa kanda ya ziwa ni wangapi kwenye hizi teuzi za huyu mama

Kateuliwa nani

Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba ameteuliwa kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT

Wasifu wa Gavana / Governor Emmanuel M. Tutuba / Biography / CV :

2019
Assistant Commissioner for Budget
- Expenditure tracking and performance monitoring (Ministry of Finance and Planning)
  • 1999-2001 : masters of business administration in corporate management MBA Corp MGT Mzumbe
  • 1996-1999 : advanced Diploma in Economic Planning- ADEP (IDM Mzumbe)
  • 1992-1994 : Advanced Secondary Education - Milambo secondary school
Source : www.parliament.go.ke files : Report of the Auditor - General on African Institute for Capacity Development AICAD - Office of the Auditor General

03 February 2020


Katibu Tawala wa mkoa RAS
  • Rais John Magufuli amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza leo tarehe 3 February 2020 Ikulu ya Dar es Salaam


Mjumbe wa Bodi ya REA

  • Mr. Emmanuel Mpawe Tutuba - Rural Energy Board Director Rural Electrification Authority REA
Kamishna Tume ya Madini
  • Emmanuel M. Tutuba commissioner Mining Commission
Katibu Mkuu wizara ya fedha
  • Rais Samia Hassan leo tarehe 6 April 2021 amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa katibu mkuu wizara ya Fedha na Mipango
source : afdbgroup Annual Meetings 2022: Governor Statement, Tanzania 19 July 2022


Gavana wa Benki Kuu BOT
  • Leo tarehe 7 January 2023 Rais Samia Hassan amteua Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT
 
Nini mandate ya BOT?,hiki chombo kitakua muhimu kama kitaendeshwa bila ya urasimu wa serikali, serikali ijiondoe kabisa katika uendeshaji wa BOT, wakiwa huru wapewe jukumu kubwa la kulinda sarafu yetu ili thamani yake against major world currencies iwe kubwa
Una wazo ya kihanarakati ila ni sawa ni stahiki yako.
 
Una wazo ya kihanarakati ila ni sawa ni stahiki yako.
No hard feelings kutoka kwenye quote yako, hili ni tatizo la kielimu kwa nchi yetu, politicians walikuja na UPE, then wakawa motivate mzaane kwa wingi then sekondari za kayumba, matokeo yake ndio hii generation yenye ufikiri butu, matokeo yake itakua ni families zile zile zitakazo Pata a lion share ya pie ya taifa, welcome huku lingusenguse ujionee a real life ya mtanzania wa lower class
 
Subiri Chadema "kama" wakiingia madarakani ndio uwaambie wafanye hivyo. Kwa Serikali ya CCM ambayo ni makini haiwezi kufanya hivyo.
60yrs ya utawala wa ccm hadi leo unapigana na viajira uchwara, wenzetu wapo kwenye programming &coding sisi bado unafundishwa kukariri lini Dr.David Livingstone aliingia lini Tanganyika!
 
Hizi teuzi zinaweza kukupa chuki dhidi ya watawala..Keki ya taifa ni kwa ajili ya wachache mno.
Huyo Mwamba Tangu Enzi Ya Jiwe Ameserereka Na Vyeo Mpaka Sasa Anakwenda Kileleni Kabisa Akingoja Mmaa Anywe Tu
 
Bado upeo wako unatia mashaka sana. Tatizo shuleni mlifundishwa 'Colonial Legacy' wakaacha 'Ujamaa Legacy" ndio upeo unadumaa sana.

Hakunaga 'Independent Departments' ktk 'Nchi zenye asili ya Kijamaa kuna kitu inaitwa 'Direct Control of State'.
Pls name me one socialist country iliyofanikuwa kuinua uchumi wa nchi yake,60yrs ya utawala wa ccm nyumba yenu haina physical address, huna hata life book means nchi ni choo, unaingia na kutoka unavyotaka
 
No hard feelings kutoka kwenye quote yako, hili ni tatizo la kielimu kwa nchi yetu, politicians walikuja na UPE, then wakawa motivate mzaane kwa wingi then sekondari za kayumba, matokeo yake ndio hii generation yenye ufikiri butu, matokeo yake itakua ni families zile zile zitakazo Pata a lion share ya pie ya taifa, welcome huku lingusenguse ujionee a real life ya mtanzania wa lower class
It is ok, but are you suggesting that lack of functional independence of BOT arises from the background of the manner of the appointment of its governor? And further that if the governor could be appointed by the bishops and the sheikhs, it will automatically strengthen our "weak" currency? Real?
 
Uwaache wenyewe bila usimamizi ili money laundry ishike hatamu.

Hizi nchi zetu huwezi kucha taasis km BOT ijiachie utavuna mabua.
What
It is ok, but are you suggesting that lack of functional independence of BOT arises from the background of the manner of the appointment of its governor? And further that if the governor could be appointed by the bishops and the sheikhs, it will automatically strengthen our "weak" currency? Real?
Totally u got me wrong, pls always try to read to understood, Board of Directors of BOT will be the one to recommend few names to President to pick the Governor, who will be running the BOT (keep in mind Government will hold a major shareholder ,51%)
 
Back
Top Bottom