Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Hakuna jamii isiyokuwa na kanuni. Sema wewe ndo unakuwa hujaelewa kanuni zao, au umezidharau. Mfano lugha kama hiyo unayotumia ya "uncivilized society" ni lugha ya dharau.

Kwa hiyo mpaka hapo unapoteza urari wa kumtathmini Magufuli. Maana jamii aliyokuwa anaiongoza wewe umeidharau. Wewe nenda kwenye jamii unayoiheshimu ndo ukawajadili huko viongozi wao.
Narudia tena Magufuli ni kiongozi mzuri sana ila kwenye jamii ambayo haijastaarabik, lakini ni kiongozi asiyefaa kabisa katika jamii iliyostaarabika. Sijasema kama jamii ya Tanzania ni civilized or uncivilized. Jiongeze.
 
Nini mandate ya BOT?,hiki chombo kitakua muhimu kama kitaendeshwa bila ya urasimu wa serikali, serikali ijiondoe kabisa katika uendeshaji wa BOT, wakiwa huru wapewe jukumu kubwa la kulinda sarafu yetu ili thamani yake against major world currencies iwe kubwa
Bado upeo wako unatia mashaka sana. Tatizo shuleni mlifundishwa 'Colonial Legacy' wakaacha 'Ujamaa Legacy" ndio upeo unadumaa sana.

Hakunaga 'Independent Departments' ktk 'Nchi zenye asili ya Kijamaa kuna kitu inaitwa 'Direct Control of State'.
 
Narudia tena Magufuli ni kiongozi mzuri sana ila kwenye jamii ambayo haijastaarabik, lakini ni kiongozi asiyefaa kabisa katika jamii iliyostaarabika. Sijasema kama jamii ya Tanzania ni civilized or uncivilized. Jiongeze.
Dogo naona hujielewi, maana huelewi hata unachoandika wewe mwenyewe.

Nime-screenshot ulichoandika ili usije ukahariri. Hebu soma tena labda unaweza ukaelewa uliandika nini.

1673157668249.png
 
Gavana wa benk kuu cheo kikubwa sana, gavana ana report kwa Rais apitii wizarani.

Katibu mkuu haingii kwa gavana kivyovyote

Ni sawa na ulinganishe katibu mkuu wa wizara ya ulinzi. Na mkuu wa majeshi CDF nani yupo juu

Ama ulinganishe katibu mkuu wizara wa mambo ya ndani na IGP nani yupo juu ?
Acha kulisha wadau matango pori wewe. Hujui 'system ya nchii inavyofanya kazi wewe'.

Unamchukulia poa PS wewe. Ukiskia 'Maelekezo ya Serikali' ujue Katibu Mkuu kaunguruma.

Katibu Mkuu anatoa maelekezo ya serikali kwa Taasisi zote zilizo nchini ya Wizara yake, sio wateule wote wa Rais wanaripoti kwake direct.

KM wa Defense akishusha mkwaju wa maelekezo anamlima CDF.
 
Bado upeo wako unatia mashaka sana. Tatizo shuleni mlifundishwa 'Colonial Legacy' wakaacha 'Ujamaa Legacy" ndio upeo unadumaa sana.

Hakunaga 'Independent Departments' ktk 'Nchi zenye asili ya Kijamaa kuna kitu inaitwa 'Direct Control of State'.
Sio katika nchi za kijamaa, ni katika nchi zote.

La sivyo utakuwa hauna dola, kama kuna chochote kinachoweza kuwepo ndani ya dola halafu kiwe huru nje ya udhibiti wa dola.

Na duniani hakuna nchi isiyokuwa ya kijamaa. Ncho zote ni za kijamaa. Hata hizo nchi za Magharibi nazo ni za kijamaa ukishaelewa vizuri ujamaa ni nini. Sio ule ujamaa wa kufundishwa kwenye DS.
 
Acha kulisha wadau matango pori wewe. Hujui 'system ya nchii inavyofanya kazi wewe'.

Unamchukulia poa PS wewe. Ukiskia 'Maelekezo ya Serikali' ujue Katibu Mkuu kaunguruma.

Katibu Mkuu anatoa maelekezo ya serikali kwa Taasisi zote zilizo nchini ya Wizara yake, sio wateule wote wa Rais wanaripoti kwake direct.

KM wa Defense akishusha mkwaju wa maelekezo anamlima CDF.
Kinacholetaga shida ni uteule wa Rais. Hawa wateule wa Rais wana kawaida ya kuvimbiana. Mfano Mkurugenzi wa Hospitali ya Muhimbili anamvimbia Waziri wa Afya na Katibu wa Wizara ya Afya kwa sababu na yeye ni mteule wa Rais.

Makatibu Wakuu na Mawaziri hawawezi kuwawajibisha viongozi wakuu wa taasisi zilizo chini ya wizara zao ambao wameteuliwa na Rais.

KM wa Wizara ya Ulinzi hawezi kumuwajibisha CDF.
KM wa Wizara ya Fedha hawezi kumuwajibisha Gavana wa BoT.

Wanachoweza kufanya ni kumchongea tu kwa Rais.

Kutoka kwenye ukatibu mkuu wa wizara ya fedha kwenda kwenye ugavana wa benki kuu ni lateral move. Ugavana wa BoT una maslahi yake makubwa tu pengine hata kushinda ya katibu mkuu wa wizara ya fedha.
 
Sio katika nchi za kijamaa, ni katika nchi zote.

La sivyo utakuwa hauna dola, kama kuna chochote kinachoweza kuwepo ndani ya dola halafu kiwe huru nje ya udhibiti wa dola.

Na duniani hakuna nchi isiyokuwa ya kijamaa. Ncho zote ni za kijamaa. Hata hizo nchi za Magharibi nazo ni za kijamaa ukishaelewa vizuri ujamaa ni nini. Sio ule ujamaa wa kufundishwa kwenye DS.
We nawe hamnazo. Ungekua exposure sawa ningetumia jitihada kukuelewesha.

Mfano States huwezi kukuta Rais anaingilia ishu za FBI au CIA. Kwanini? Hakunaga ule upuuzi wa ujamaa na kujitegemea. Mfano tu Kenya hapo wanajitahidi sana becuz hakukua na upuuzi wa ujamaa
 
We nawe hamnazo. Ungekua exposure sawa ningetumia jitihada kukuelewesha.

Mfano States huwezi kukuta Rais anaingilia ishu za FBI au CIA. Kwanini? Hakunaga ule upuuzi wa ujamaa na kujitegemea. Mfano tu Kenya hapo wanajitahidi sana becuz hakukua na upuuzi wa ujamaa
Ndo nimekwambia "Sio ule ujamaa wa kufundishwa kwenye DS."

Wewe umekremu. Umekremu dhana ya kwamba Marekani ndo dola ya kuigwa. Na umekremu kwamba Kenya ni bora kuliko Tanzania. Ndo maana umekuja na hoja dhaifu ya eti FBI na CIA na Kenya.

Kumbuka ulichoandika mara ya kwanza. Uliandika "Direct control of the state"

Hii hapa nimeipiga picha kabisa usije ukafuta:

1673158426730.png


Sasa unajua state ni nini?

Na unajua "direct control of state" ni nini?

Maana ulichoandika hapo ni pumba tupu. Yaani wewe unadhani "state" ni "Rais".
 
Inaelekea ukiwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dsm ni tiketi ya kupata teuzi za kiserikali.

Kuna kitu tawala zetu kinajenga au kinabomoa?
Chuo kikuu UDSM ni sehemu ya kuandaa viongozi unashshangaa nini?
 
Acha kulisha wadau matango pori wewe. Hujui 'system ya nchii inavyofanya kazi wewe'.

Unamchukulia poa PS wewe. Ukiskia 'Maelekezo ya Serikali' ujue Katibu Mkuu kaunguruma.

Katibu Mkuu anatoa maelekezo ya serikali kwa Taasisi zote zilizo nchini ya Wizara yake, sio wateule wote wa Rais wanaripoti kwake direct.

KM wa Defense akishusha mkwaju wa maelekezo anamlima CDF.

Jiulize huyo katibu mkuu wa wizara ya fedha aliyeteuliwa jana kuwa gavana mpya wa BOT amepanda cheo ama ameshuka cheo?

Makatibu Wakuu hawawezi kuwawajibisha viongozi wakuu wa taasisi zilizo chini ya wizara zao ambao wameteuliwa na Rais.

KM wa Wizara ya Ulinzi hawezi kumuwajibisha CDF.
KM wa Wizara ya Fedha hawezi kumuwajibisha Gavana wa BoT.
 
Dogo naona hujielewi, maana huelewi hata unachoandika wewe mwenyewe.

Nime-screenshot ulichoandika ili usije ukahariri. Hebu soma tena labda unaweza ukaelewa uliandika nini.

View attachment 2472780
Sasa tofauti hapo nini. Mimi nimekukubalia kuwa Magufuli ni kiongozi mzuri lakini nikaongeza ni kwa uncivilized society tu. Given Magufuli alikuwa kiongozi wa Tanzania na alikuwa kiongozi mzuri implied society aliyoiongoza ni uncivilized society. Kwani uncivilized society ni tusi? Sasa sheria zinasema usiibe lakini watu wanaiba, civilization iko wapi hapo? Fanya kazi, watu hawataki kufanya kazi, civilization iko wapi hapo? Msifanye biashara ya mihadarati, watu wanafanya, then civilization iko wapi hapo? Only kwa jamii hiyo (isiyopenda kuishi kwa kugeshimu sheria na kanuni), then Magufuli ni perfect and best president.
 
Umetembea mikoa mingapi au Wilaya ngapi za Tanzania? Kukukumbusha tu size ya Tanzania ni kubwa kuliko combined nchi za Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Population ya Zambia haijafika watu milioni 20, Tanzania ni zaidi ya milioni 60. Mpangilio huu wa mikoa, Wilaya, kata na vijiji huenda ndio unaona nchi yetu haina maeneo yenye vikundi vya uasi na kuhatarisha amani kama unsvyoskia huko Congo, Uganda, Sudani nk. Kweli, Serikali kubwa ni mzigo lakini usifanye conclusion kwa kuangalia upande mmoja tu.

Nakuunga mkono kwa asilimia 100% kulinganisha mfumo wa kiutawala wa zambia na Tanzania ni kosa kubwa, nenda kenya mfano wana mawaziri, magavana, maseneta, Mca, women reps, wabunge, Nyumba kumi, chiefs na kadhalika, sasa kaangalie idadi ya counties na kila county in bunge lake, haya mambo sii kila kitu cha kuiga
 
Pongezi kwake Gavana mpya.
tunamuomba afuatilie utekelezaji wa agizo kwa Mabenki kupunguza Riba kwa wakopaji.
kuna maelekezo yalitolewa na BoT lkn hakuna utekelezaji hadi leo!!!
 
Sasa tofauti hapo nini. Mimi nimekukubalia kuwa Magufuli ni kiongozi mzuri lakini nikaongeza ni kwa uncivilized society tu. Given Magufuli alikuwa kiongozi wa Tanzania na alikuwa kiongozi mzuri implied society aliyoiongoza ni uncivilized society. Kwani uncivilized society ni tusi? Sasa sheria zinasema usiibe lakini watu wanaiba, civilization iko wapi hapo? Fanya kazi, watu hawataki kufanya kazi, civilization iko wapi hapo? Msifanye biashara ya mihadarati, watu wanafanya, then civilization iko wapi hapo? Only kwa jamii hiyo (isiyopenda kuishi kwa kugeshimu sheria na kanuni), then Magufuli ni perfect and best president.
Acha kujikosha, tofauti ipo na inaonekana na wewe umeiona ndo maana umeenda mbali katika kujikosha kwa kujaribu kutoa tafsiri yako ya "civilized society".

Sasa kwa tafsiri yako hiyo ya civilized society, je hiyo civilized society isiyokuwa na wezi, isiyokuwa na wavivu, isiyokuwa na mihadarati, na yenye watu wanaofuata sheria za nchi yao kikamilifu iko nchi gani hapa duniani?
 
Hiyo act naijua, na sio siri iko mtandaoni ukigugo tu unaipata. Sasa mtu "anaanzisha" wakati anaondoka? Hiyo ni sawa na Nyerere kufanya mabadiliko makubwa ya katiba ya Tanzania mwaka 1984 kuingiza Haki za Binadamu maana alijua anaondoka. Na pia ni sawa na Nyerere kutetea kuwa 20% ya watanzania waliosema wanataka vyama vingi wasikilizwe wakati yeye alivipiga marufuku kabisa.

Halafu angalia vizuri hizo tarehe. "Kuanzisha" alikofanya Mwinyi ni kusaini tu hiyo sheria. Lakini ni Mkapa ndiye aliyeanzisha haswa kwa mamlaka kuanza kufanya kazi 1/7/1996 ambapo Mkapa alikuwa ameshashika hatamu.

Zipo sheria ambazo zilisainiwa na Rais lakini hazikutekelezwa. Mfano ni sheria ya kampuni yenye mwanahisa mmoja. Ilisainiwa, lakini mpaka leo haitekelezwi.
Mkuu umekosa hoja mpaka nimehisi aibu.
 
Kweli, wengi magavana waliopita walikuwa ma Dr. na ma Profesa. Historian inakwenda kujirudia. Mnamo mwaka 1989 wakati Gavana Charles Nyirabu anastaafu, Mhe. Mwinyi alimteua Bwana Gilman Rutihinda, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha,kuwa Gavana wa Benki Kuu.

Nadhani mama anazingatia weledi na uzoefu kwenye sekta husika. Kikubwa ni matokeo. PhD sio issue.
Moja kati ya kazi kubwa za BOT ni utafiti, ndio maana imekuwa tradition miaka ya hivi karibuni imekuwa kawaida kuongozwa na mtu ambaye amepita kwenye phd level. Anyways, tumuombe heri na mafanikio
1673165167564.png
 
Back
Top Bottom