Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Fuatilia vizuri nini kilitokea. Kulitokana na externally pushed move ya currency devaluation kupitia the then called "washington consensus" ikiwa ni policy mojawapo ya kuhuisha uchumi uliokuwa umekufa kabisa. Of course, sera hii haikuleta matokeo tarajiwa kutokana na industrial nature na hali ya uzalishaji iliyokuwepo kwa kipindi hicho.
Akili za kuambiwa inatakiwa uchanganye na za kwako. Washington consensus inatuhusu nini sisi wenye makao makuu Dar es Salaam na Dodoma?
 
Kumbe ni debunked conspiracy theories tu kuhuwahusi Wayahudi na Rothschild tu unazungumzia, nilifikiri una kitu cha maana.
Hao nimewataja kama wawakilishi tu. Tazama hiyo video upate madini.
 
Mtuwekeepo cv zao basi..tujue pia wa kanda ya ziwa ni wangapi kwenye hizi teuzi za huyu ajuza.
Mpuuzi wenu aliwafanya muamini nchi ni ya kanda ya ziwa tu,wanaoteuliwa ni watanzania kwa sifa zao ni kwa asili yao!!mkitaka wa kanda ya ziwa subirini Mpina awe rais
 
Mama nasikia ana unasaba na Ali Hassan Mwinyi. Kwa hiyo inaelekea huko ndo anakoazima akili.

Ila wakati wa AHM ndo sarafu ya Tanzania ilishushwa kutoka Tshs. 100/- kuwa ndo noti kubwa kuliko zote mpaka kufikia Tshs. 10,000/- kuwa ndo noti kubwa kuliko zote.

Kwa hiyo mama tusije tukashangaa akiiporomosha sarafu yetu na kuja kutuacha na manoti yenye sifuri nyingi zaidi.
Noti ya 10,000 imeanza kutumika wakati wa MKAPA.
 
Akili za kuambiwa inatakiwa uchanganye na za kwako. Washington consensus inatuhusu nini sisi wenye makao makuu Dar es Salaam na Dodoma?
Hizo zilikuwa ni "MUST DO" policies zilizozaa kilichoitwa structural adjustment program (SAP). Nadhani hii SAP itakuwa ulisomeshwa kidogo hata kama ulisoma HKL!

Sina hakika kama ulikuwepo, lakini kuanzia mwanzo I mwa 1980s, uchumi wetu uko collapse kabisa kiasi kula mboga bila chumvi ni jambo la kawaida, hakukuwa na sabuni zaidi ya kutumia tunda za mti wa mharita, nguo ni yale mashuka meupe, na mahindi ya msaada ya njano yaliingizwa nchini kuokoa maisha. Ndipo wenye akili walikaa huko Bretton woods, Washington na kuja na hiyo SAP. Sasa kusema sie wa Dodoma, Washington inatuhusu nini ni kama kutoitendea haki akili yako.
 
Hizi teuzi zinaweza kukupa chuki dhidi ya watawala..Keki ya taifa ni kwa ajili ya wachache mno.
Vumilia keki sio ugali (sio tusi) namaanisha hamuwezi kula wote keki mkashiba wote hivyo lazima wachache wale keki ili walio wengi mpate ugali wenu na mshibe.
 
nyinyi ndio wazee wa vi memo mchague huyo muondoe huyu, mnatuharibia nchi
 
Noti ya 10,000 imeanza kutumika wakati wa MKAPA.
Hawa watu wanaishi kwa hearsay za mitaani na hawana mpango wa kujishughulisha na ukweli. Ni jamii ya akili za mwendazake ambapo anaweza kumchukia mtu bila sababu halisi, almuradi ameaminishwa hivyo.
 
mpaka wachaguliwe dada zake au ndugu zake ndio ajue kala keki ya taifa
 
Hizo zilikuwa ni "MUST DO" policies zilizozaa kilichoitwa structural adjustment program (SAP). Nadhani hii SAP itakuwa ulisomeshwa kidogo hata kama ulisoma HKL!

Sina hakika kama ulikuwepo, lakini kuanzia mwanzo I mwa 1980s, uchumi wetu uko collapse kabisa kiasi kula mboga bila chumvi ni jambo la kawaida, hakukuwa na sabuni zaidi ya kutumia tunda za mti wa mharita, nguo ni yale mashuka meupe, na mahindi ya msaada ya njano yaliingizwa nchini kuokoa maisha. Ndipo wenye akili walikaa huko Bretton woods, Washington na kuja na hiyo SAP. Sasa kusema sie wa Dodoma, Washington inatuhusu nini ni kama kutoitendea haki akili yako.
Wewe ndo unaonekana ulisoma HKL. Watu wa HKL wanaabudu sana wazungu, maana hawajui hata ndege inapaaje. Kwao kila kitu cha mzungu ni uchawi wa kuabudiwa.

Changamoto za kiuchumi haimaanishi kuwa ndo utafute kitonga cha kufuata unachoambiwa na watu wambao ukitumia akili ndogo tu unajua kabisa hawakufagilii kabisa.

Changamoto za kiuchumi kuna nchi ambazo zimepitia na zimetoboa kwa ujanja wao wenyewe.

Mzungu hana urafiki na watu ambao sio wazungu. Urafiki wake na watu wa aina hiyo ni endapo watu hao wanakubali kuwa watwana wake tu.
 
Uwaache wenyewe bila usimamizi ili money laundry ishike hatamu.

Hizi nchi zetu huwezi kucha taasis km BOT ijiachie utavuna mabua.
Mkuu bila ya kuwa tayari kufanya maamuzi magumu nchi haitasogea mbele, huwezi kuishi kwa mazoea na uoga, ni wakati wa kufanya maamuzi magumu ikiwa ni pamoja kupunguza ukubwa wa serikali, tunahitaji wabunge wachache, mikoa na wilaya chache, fedha itakayookolewa utumike kusukuma services delivers kwa watanzania, mtanzania anahitaji maisha bora SIO nchi kuwa na mikoa mingi!,we just need 10 to 15 ,majirani zetu wote hawazidi mikoa 20!,tembelea Zambia 🇿🇲 sasa au soma zaidi kinachofanyika pale, wanafanya maamuzi magumu ya kimaendeleo
 
Wewe ndo unaonekana ulisoma HKL. Watu wa HKL wanaabudu sana wazungu, maana hawajui hata ndege inapaaje. Kwao kila kitu cha mzungu ni uchawi wa kuabudiwa.

Changamoto za kiuchumi haimaanishi kuwa ndo utafute kitonga cha kufuata unachoambiwa na watu wambao ukitumia akili ndogo tu unajua kabisa hawakufagilii kabisa.

Changamoto za kiuchumi kuna nchi ambazo zimepitia na zimetoboa kwa ujanja wao wenyewe.

Mzungu hana urafiki na watu ambao sio wazungu. Urafiki wake na watu wa aina hiyo ni endapo watu hao wanakubali kuwa watwana wake tu.
Unataka kusema nini?
 
Acha urongo. Mwinyi alikuwa hakusanyi kodi mpaka Nyerere alimchamba kwa suala hilo la kutokukusanya kodi.

TRA alianzisha Mkapa.

Enzi za Mwinyi kulikuwa na idara ya mapato tu katika wizara ya fedha.

Mwinyi ndo aliivuruga hii nchi. Hata katika suala muhimu sana la mipangomiji ilivurugika wakati wa Mwinyi ndo jiji la Dar likaanza kujengwa holelaholela na kuvurugika kama unavyoliona leo. Kulinyoosha tena liwe kama mji wa watu wenye akili ni ngumu sana kwa sasa.
Si afadhali watu waliaza kujenga kipindi.hicho.kwa hiyo inamaanisha watu ndio walipata pesa za kujenga.ukweli usemwe nyerere alichoweza ni kututafutia Uhuru tu uchumi aliharibu sana
 
luoga ni mwanasheria ...then akawa gavana ila magu..ktk vitu ambavyo sikumwelewaga ni huu uteuzi..but alisema jamaa ni mtaaramu wa Sheria za Kodi.. taxation laws...but sidhani Kama alifaa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom