Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Kweli, wengi magavana waliopita walikuwa ma Dr. na ma Profesa. Historian inakwenda kujirudia. Mnamo mwaka 1989 wakati Gavana Charles Nyirabu anastaafu, Mhe. Mwinyi alimteua Bwana Gilman Rutihinda, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha,kuwa Gavana wa Benki Kuu.

Nadhani mama anazingatia weledi na uzoefu kwenye sekta husika. Kikubwa ni matokeo. PhD sio issue.
Mama nasikia ana unasaba na Ali Hassan Mwinyi. Kwa hiyo inaelekea huko ndo anakoazima akili.

Ila wakati wa AHM ndo sarafu ya Tanzania ilishushwa kutoka Tshs. 100/- kuwa ndo noti kubwa kuliko zote mpaka kufikia Tshs. 10,000/- kuwa ndo noti kubwa kuliko zote.

Kwa hiyo mama tusije tukashangaa akiiporomosha sarafu yetu na kuja kutuacha na manoti yenye sifuri nyingi zaidi.
 
Hali ya kisiasa duniani ilipelekea sana uchumi kuyumba, pia Nyerere aliharibu sana uchumu, akamwachia zigo la Misumari mzee wa watu, ndio akapambana kuanzishwa kwa TRA na Mashirika mengine muhimu kabla ya Mkapa kuja kuyajengea uwezo
Acha urongo. Mwinyi alikuwa hakusanyi kodi mpaka Nyerere alimchamba kwa suala hilo la kutokukusanya kodi.

TRA alianzisha Mkapa.

Enzi za Mwinyi kulikuwa na idara ya mapato tu katika wizara ya fedha.

Mwinyi ndo aliivuruga hii nchi. Hata katika suala muhimu sana la mipangomiji ilivurugika wakati wa Mwinyi ndo jiji la Dar likaanza kujengwa holelaholela na kuvurugika kama unavyoliona leo. Kulinyoosha tena liwe kama mji wa watu wenye akili ni ngumu sana kwa sasa.
 
Mtaje mwanahisa mmoja au wawili tu wa Federal Reserve Bank ya Marekani.
Anzia hapa kwanza upate elimu pana



Halafu baada ya hapo gugo utawaona wanahisa ambao ni benki binafsi za Marekani. Humo ndo makontawa wenyewe (wayahudi akina Rothschild) wamejificha.

Na japokuwa FRB wanajitetea kwamba hawana wamiliki, lakini ndo taasisi pekee "federal" ambayo haichukui fungu la bajeti kutoka Bungeni. Inajiendesha yenyewe na inalipa gawio la 6% kwa wanahisa wake.
 
Acha urongo. Mwinyi alikuwa hakusanyi kodi mpaka Nyerere alimchamba kwa suala hilo la kutokukusanya kodi.

TRA alianzisha Mkapa.

Enzi za Mwinyi kulikuwa na idara ya mapato tu katika wizara ya fedha.

Mwinyi ndo aliivuruga hii nchi. Hata katika suala muhimu sana la mipangomiji ilivurugika wakati wa Mwinyi ndo jiji la Dar likaanza kujengwa holelaholela na kuvurugika kama unavyoliona leo. Kulinyoosha tena liwe kama mji wa watu wenye akili ni ngumu sana kwa sasa.
Sibishani na WAPUMBAVU mimi.
Screenshot_20230108-072711_Chrome.jpg
 
Nini mandate ya BOT?,hiki chombo kitakua muhimu kama kitaendeshwa bila ya urasimu wa serikali, serikali ijiondoe kabisa katika uendeshaji wa BOT, wakiwa huru wapewe jukumu kubwa la kulinda sarafu yetu ili thamani yake against major world currencies iwe kubwa
Uwaache wenyewe bila usimamizi ili money laundry ishike hatamu.

Hizi nchi zetu huwezi kucha taasis km BOT ijiachie utavuna mabua.
 
Sibishani na WAPUMBAVU mimi.
View attachment 2472598
Hiyo act naijua, na sio siri iko mtandaoni ukigugo tu unaipata. Sasa mtu "anaanzisha" wakati anaondoka? Hiyo ni sawa na Nyerere kufanya mabadiliko makubwa ya katiba ya Tanzania mwaka 1984 kuingiza Haki za Binadamu maana alijua anaondoka. Na pia ni sawa na Nyerere kutetea kuwa 20% ya watanzania waliosema wanataka vyama vingi wasikilizwe wakati yeye alivipiga marufuku kabisa.

Halafu angalia vizuri hizo tarehe. "Kuanzisha" alikofanya Mwinyi ni kusaini tu hiyo sheria. Lakini ni Mkapa ndiye aliyeanzisha haswa kwa mamlaka kuanza kufanya kazi 1/7/1996 ambapo Mkapa alikuwa ameshashika hatamu.

Zipo sheria ambazo zilisainiwa na Rais lakini hazikutekelezwa. Mfano ni sheria ya kampuni yenye mwanahisa mmoja. Ilisainiwa, lakini mpaka leo haitekelezwi.
 
Inaelekea ukiwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dsm ni tiketi ya kupata teuzi za kiserikali.

Kuna kitu tawala zetu kinajenga au kinabomoa?
Hiko ndio chuo kikogwe hivi vingine ni vya juzi tu.
Na udsm wataalam wapo wengi huko kwingine tukiteuwa watu wanalalamika tunawaondoa wataalam wao wachache.
 
Magufuli hakua mjinga kumtoa Dada Natu mwamba pale BOT ...... Leo anarudi Tena kama mlipaji mkuu wa serikali ..... Mama anaupiga mwingi
Ila mkuu kwani magufuli ndio Nani kwamba yeye akimtoa kwenye nafasi kwamba huyo mtu ni mbaya acha mawazo mgando hayo.magufuli huyohuyo alimfukuza ubalozi kidata na kumvua hadhi mbona alimrudisha tena akamfukuza uwaziri mwigulu kwa kumsimanga Sana lakini baada ya muda akamteua tena.
 
Mama nasikia ana unasaba na Ali Hassan Mwinyi. Kwa hiyo inaelekea huko ndo anakoazima akili.

Ila wakati wa AHM ndo sarafu ya Tanzania ilishushwa kutoka Tshs. 100/- kuwa ndo noti kubwa kuliko zote mpaka kufikia Tshs. 10,000/- kuwa ndo noti kubwa kuliko zote.

Kwa hiyo mama tusije tukashangaa akiiporomosha sarafu yetu na kuja kutuacha na manoti yenye sifuri nyingi zaidi.
Fuatilia vizuri nini kilitokea. Kulitokana na externally pushed move ya currency devaluation kupitia the then called "washington consensus" ikiwa ni policy mojawapo ya kuhuisha uchumi uliokuwa umekufa kabisa. Of course, sera hii haikuleta matokeo tarajiwa kutokana na industrial nature na hali ya uzalishaji iliyokuwepo kwa kipindi hicho.
 
Hiyo act naijua, na sio siri iko mtandaoni ukigugo tu unaipata. Sasa mtu "anaanzisha" wakati anaondoka? Hiyo ni sawa na Nyerere kufanya mabadiliko makubwa ya katiba ya Tanzania mwaka 1984 kuingiza Haki za Binadamu maana alijua anaondoka. Na pia ni sawa na Nyerere kutetea kuwa 20% ya watanzania waliosema wanataka vyama vingi wasikilizwe wakati yeye alivipiga marufuku kabisa.

Halafu angalia vizuri hizo tarehe. "Kuanzisha" alikofanya Mwinyi ni kusaini tu hiyo sheria. Lakini ni Mkapa ndiye aliyeanzisha haswa kwa mamlaka kuanza kufanya kazi 1/7/1996 ambapo Mkapa alikuwa ameshashika hatamu.

Zipo sheria ambazo zilisainiwa na Rais lakini hazikutekelezwa. Mfano ni sheria ya kampuni yenye mwanahisa mmoja. Ilisainiwa, lakini mpaka leo haitekelezwi.
We ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Huyo mhadhiri wa UDSM hana practical experience atazingua sana
 
Bado Kassim Majaliwa subirini ngojeni baraza la mawaziri livunjwe naye atemwe ila Samia anatupeleka pabaya japo mnashangilia kila teuzi zikifanyika. Hivi hao mgambo wapo tuu wakiangalia haya??
Binadamu bwana
 
Kumbe ni debunked conspiracy theories tu kuhuwahusi Wayahudi na Rothschild tu unazungumzia, nilifikiri una kitu cha maana.
Anzia hapa kwanza upate elimu pana



Halafu baada ya hapo gugo utawaona wanahisa ambao ni benki binafsi za Marekani. Humo ndo makontawa wenyewe (wayahudi akina Rothschild) wamejificha.

Na japokuwa FRB wanajitetea kwamba hawana wamiliki, lakini ndo taasisi pekee "federal" ambayo haichukui fungu la bajeti kutoka Bungeni. Inajiendesha yenyewe na inalipa gawio la 6% kwa wanahisa wake.
 
Back
Top Bottom