Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasoro ya Dr Natu akiwa naibu gavana pale B.O.T ilikua nini mpaka magufuli amuondoe?Magufuli hakua mjinga kumtoa Dada Natu mwamba pale BOT ...... Leo anarudi Tena kama mlipaji mkuu wa serikali ..... Mama anaupiga mwingi
Kubaya ndo sehemu gani?Bado Kassim Majaliwa subirini ngojeni baraza la mawaziri livunjwe naye atemwe ila Samia anatupeleka pabaya japo mnashangilia kila teuzi zikifanyika. Hivi hao mgambo wapo tuu wakiangalia haya??
TawireKuna kila dalili Waziri wa Fedha akateuliwa kuwa Waziri wa Kilimo
Kwani Natu alifanya nini mpaka akaondolewa na Magufuli?.... tuwe objective zaidi... Maana nnachokiona unataka kusema kwamba Magufuli kama alimuondoa mtu basi hafai...Magufuli hakua mjinga kumtoa Dada Natu mwamba pale BOT ...... Leo anarudi Tena kama mlipaji mkuu wa serikali ..... Mama anaupiga mwingi
Huyo dada Dr.natu mwamba namjua akiwa udsm yupo vizuri sana upstairs alisomea uchumi uingereza mtoto wa wakili maarufu mzee saidi el maamry alikua pia mwenyekiti wa baraza la michezo Tanzania BMT.Inaelekea ukiwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dsm ni tiketi ya kupata teuzi za kiserikali.
Kuna kitu tawala zetu kinajenga au kinabomoa?
Wiki ijayo waziri wa fedha na nishani.
Naomba niishie hapo
Aiseeee [emoji15] [emoji15]Mimi nadhani katibu mkuu. Unakumbuka mtoto wa dada alivyokuwa powerful na hela zetu? Hadi alimvalisha yule jamaa jezi ya Chelsea na kumning'iniza nakusingizia kajinyonga.
Ulisoma correlation kwenye pure mathematics?MMesi wapi na wali kwenye ishu za BOT
Mkuu nakusalimu.Hata kwenye Harusi keki huwa hamli wote, keki ya taifa ni ndogo sana kijana, kuwa na shukrani.
Sarafu haiwezi kuwa kubwa kwa umahili wa central bank yeyote duniani,Nini mandate ya BOT?,hiki chombo kitakua muhimu kama kitaendeshwa bila ya urasimu wa serikali, serikali ijiondoe kabisa katika uendeshaji wa BOT, wakiwa huru wapewe jukumu kubwa la kulinda sarafu yetu ili thamani yake against major world currencies iwe kubwa
Hao wengine waliopita walikuwa na faida kwako?Huyo Gavana ahakikishe sisi wananchi mifuko yetu inajaa pesa tunaweza hudumia familia zetu.
Sio kusaini tu hela zetu.
Otherwise hicho cheo itakua kwa faida yake na familia yake.
Mifano mizuri ya kuelimisha.Gavana wa benk kuu cheo kikubwa sana, gavana ana report kwa Rais apitii wizarani.
Katibu mkuu haingii kwa gavana kivyovyote
Ni sawa na ulinganishe katibu mkuu wa wizara ya ulinzi. Na mkuu wa majeshi CDF nani yupo juu
Ama ulinganishe katibu mkuu wizara wa mambo ya ndani na IGP nani yupo juu ?
Kweli, wengi magavana waliopita walikuwa ma Dr. na ma Profesa. Historian inakwenda kujirudia. Mnamo mwaka 1989 wakati Gavana Charles Nyirabu anastaafu, Mhe. Mwinyi alimteua Bwana Gilman Rutihinda, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha,kuwa Gavana wa Benki Kuu.
Nadhani mama anazingatia weledi na uzoefu kwenye sekta husika. Kikubwa ni matokeo. PhD sio issue.
Hi Jack, what's up?Mifano mizuri ya kuelimisha.
Naomba hapo kwenye “katibu mkuu wa wizara”, badilisha weka waziri.
Sio lazima iwr hivyo ndio maana hutenguliwa. Hassan Katanga aliteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi, lakini ametumbuliwa na kupelekwa kuwa baloziKama unajua uwezo wa mtu kwenye kazi X ni rahisi kujua atakavyo perform kwenye kazi Y... Unadhani Messi kupangwa kikosi cha world cup ilitokana na nini kama siyo his past performance?
Wat up Countrywide pussy.Hi Jack, what's up?
I miss ur boobsWat up Countrywide pussy.