Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
π...hingera kwake.
Kuna mtu anauliza hana sponsor kwelii?
πππππacha wivu wakoHyo nyumba niliwah kuiona kwenye muvi ya kinaijeria au kaiba ramani
Au walimtupa Jiwe wa baadaeWale mliowahi kutoa mimba siajabu mlitupa nyumba zenu.
Mbona Kiduku Lilo na Zero IQ wamenunua viwanja kupitia komedi zaoSanaa inalipa sana..
Mtoto ukimtumia vizuri anajitafutia ada.. na wewe anakukomboa..
Tazama watoto wa diamond.. ama mai zumo na dogo sele wanavyopiga hela
Pambana na wewe ujenge ya kwako.Wanaigeria ni mafundi wazuri wa nyumba. Yani nyumba imeenyooka n kupendeza.