Emmanuella ampa mama yake zawadi ya jumba la kifahari

Emmanuella ampa mama yake zawadi ya jumba la kifahari

Uwiii jamani mim ndio kwanza nipo kwenye msingi sijui namaliza lini[emoji2303][emoji2303][emoji2303] na ni mzeee emanuela miaka 10 sijui 15
Ila huwa najitajidi kununua nachoweza kumpa mama angu
Abarikiwe sana na wengine tuige mfano toka kwake
 
Miaka 10 anautajiri kiasi cha kujenga mjengo wa bei kali nasubiri Bongo Movie wa post ya kwao.

Bingo kiingereza kinaturudisha nyuma... bongo movie hawana uwezo wa kupata viewers wengi youtube.. sababu wanaigiza kiswahili watu hawaelewi huko duniani...

Hata joti angekuwa anaigiza kiingereza ingekuwa balaa huko youtube
 
Mkuu..watoto wa Diamond wana vipaji gani?

Ni socialist.. wanahusishwa na maisha ya kuuza sura na kuzingua.. makampuni yanawatumia kutangaza bidhaa zao... tifa ameshapata dili za pesa nyingi tu... na wazazi wao wajanja ndio maana wamewatengenezea page za social media huku wanawarekodi wakifanya vituko na kutumia hizo video kama content na kuingiza pesa... pesa aliyoingiza tifa katika endorsement zake ni zinatosha kabisa kumlipia ada bila mawazo...
 
Ni socialist.. wanahusishwa na maisha ya kuuza sura na kuzingua.. makampuni yanawatumia kutangaza bidhaa zao... tifa ameshapata dili za pesa nyingi tu... na wazazi wao wajanja ndio maana wamewatengenezea page za social media huku wanawarekodi wakifanya vituko na kutumia hizo video kama content na kuingiza pesa... pesa aliyoingiza tifa katika endorsement zake ni zinatosha kabisa kumlipia ada bila mawazo...
Sio kwamba wanatumia fame ya wazazi wao?maana binafsi sijaona vipaji vyeo
 
Bingo kiingereza kinaturudisha nyuma... bongo movie hawana uwezo wa kupata viewers wengi youtube.. sababu wanaigiza kiswahili watu hawaelewi huko duniani...

Hata joti angekuwa anaigiza kiingereza ingekuwa balaa huko youtube
Itabidi wapitie English course kuendana na utandawazi.
 
Bingo kiingereza kinaturudisha nyuma... bongo movie hawana uwezo wa kupata viewers wengi youtube.. sababu wanaigiza kiswahili watu hawaelewi huko duniani...

Hata joti angekuwa anaigiza kiingereza ingekuwa balaa huko youtube

umeongea jambo kubwa sana, hata kina sammo hung na jackie chan English imewasaidia sana ,ilibidi jackie chan akajifunze kiingereza ili kwenda international ,huku kwetu uzarendo unatukwamisha
 
Back
Top Bottom