End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

Haya mambo yanazungumzwa pembeni pembeni tu.
"
NASA walishasema hakuna kitu siku hiyo,watu wamekoma kupiga makelele.
"
Hakuna cha Sayari Nibiru kuigonga dunia wala nini.
"
Kilichopo ni taarifa za mpango wa dunia kubadilika.Yaani kuuondoa mpango wa zaimani wa kumtegemea Mungu na kuleta mpango mpya wa binadamu kujitegemea mwenyewe.
"
Lakini pia habari hizi haziko wazi,bali kwa wale wanaofuatilia vyama vya siri watakua wanajua habari hizi.
"
Kwa kifupi hakuna kitu kama maafa siku hiyo,ila kama taarifa kutoka vyama vya siri ziko sahihi,mabadiliko yatakayotokea ni ya kimaisha na kiroho zaidi.
"
So,kama ni kujihami ni kujihami kiroho zaidi na sio kimwili.
"
Mambo ya majanga siku hiyo sio kweli kwamba yatatokea.Safisha matendo yako na umrudie Mungu!

Ule utabiri wa Mei 21 mwaka huu uligonga mwamba na bwana yule alisema tena kuwa kama siyo siku ile basi ingelikuwa ni 30 October mwaka huu, nayo ikapita.

Huu utabiri wa sasa nao hatujui kama waweza kuwa kweli au la. Kitu kizuri ni kuwa mtu anatakiwa awe tayari wakati wote. Kuna msemo usemao ulitaka kwenda mbinguni fikiria kuwa dakika chache zijazo hautakuweko duniani.
 
Mie nadhani tujichunguze zaidi wenyewe matendo yetu ndio yataleta mwisho wa dunia.hata ukisoma vitabu takatifu vinauzungumzia mwisho kuwa utakuja kutokana na madhara yatakayotokana na matendo yetu.Mungu yupo kubariki mema yako na kulaani maovu yako.your choice is your destiny.
 
Nobody knows when or how the world will end, though it is speculated that life on earth would not be sustainable after our sun 'goes out' in 4-5 billion.
 
Nostradamus alitabiri mengi na yametokea na aliandika kitabu cha matukio yanayokuja na kuyaweka katika quatrains,kuna maprofesa waliobobea katika quatrains za Nostradamus hadi kutengeneza filamu wakionesha matukio yaliyotokea toka alipokufa miaka hiyo ya 1400 kwa kweli alikuwa futuristic mzuri sana,mimi nimeona mkanda wa matukio aliyoyatabiri,na ulitengenezwa kabla ya matukio ya vita ya Marekani huko Iraq ilipavamia Kuwait sasa cha ajabu ni kuwa matukio yote aliyatabiri kabla hata septemba 11 alishatabiri na maprofesa kuweka katika filamu,na hili la mwisho wa dunia alilitabiri na dalili zinaonekana wazi ila si dec 21 kama wengine wanavyodai,ila kweli alitabiri mwisho wa dunia utasababishwa na vita itakayotokea mashariki ya kati au ya mbali kama alivyoiita na sasa tunaona vita huko Syria NATO wanasogeza vifaa karibu na Syria, Israel na wapalestina wanataka kukalishwa meza moja baada ya Palestina kupewa kiti UN,Korea Kaskazini wanatishia makombora ya masafa marefu tena ya nyuklia Syria inatishia kutumia Nyuklia na mabomu ya sumu,vile vile wachina na urusi wanawapa shavu huku Marekani wakiwapa shavu NATO bado wakitaka kuishambulia Iran kwa dalili hizi vita kamili ikianza basi ujue ndiyo mwisho wa dunia,lakini alimalizia kwa kusema binadamu bado ana uwezo wa kuepusha mwisho wa dunia usitokee katika muda fulani yaani kuchunga hasira zetu na kuahirisha mwisho wa dunia ni kiburi chetu ndiyo kiaiangamiza dunia watakaobaki duniani wataishi kwa amani kwani hakutakuwa na taifa lenye nguvu zaidi ya lingine wote tutakuwa sawa.
 
Those who say this are the one who created or forcing it to happen.Mayan philosophies may be one of the mason mystery for ruling the planet earth.What they do now is to make the people fear and obey rules while their fellow quick persist with the mission.
 
kuna mtu hapo anasema sisi waafrika tunajitisha wajinga ndio tunafikiria mwisho wa dunia ,
ufaransa kuna mlima unaitwa bugarach watu wamejaa huko wakiamini ndio sehemu pekee ambayo haitakubwa na mabalaa ya mwezi huu tarehe 21, ambao wanaamini ndio mwisho. wamekwenda huko toka mwezi uanze na wameweka kambi wakisubiri huo mwisho.
habari ndio hiyo.
na serikali za mitaa za maeneo hayo imeshatangaza kuwa hawataruhusu watu wasio wa sehemu hizo kwenda hapo na kujaza sehemu hiyo ila wazawa wa sehemu hiyo to.
 
Cowards die many times before their
deaths;
The valiant never taste of death but once.
Of all the wonders that I yet have heard.
It seems to me most strange that men
should fear; Seeing that death, a necessary end,
Will come when it will come.
 
Nipeni majibu

Hakuna majibu. Ila kama hii hapa kwenye picha itatokea, Mhhhh !!!!
attachment.php
 

Attachments

  • end of the world 01.jpg
    end of the world 01.jpg
    37.8 KB · Views: 569
Majanga !!!
attachment.php
 

Attachments

  • end of the world 02.jpg
    end of the world 02.jpg
    75.6 KB · Views: 345
hii ni nini wandugu?

Hii ni picha ya kuchora inayoonyesha dunia ikigongwa na kimondo (sayari ndogo) toka anga za juu.
Kama dunia itagongwa na kimondo chenye ukubwa (diameter) wa kilometa moja, basi mlipuko utakaotokea katika mgongano huo unaweza kumaliza kabisa viumbe hai wote duniani.
Kama kimondo chenye ukubwa huo kitaangukia baharini, kutatokea tsumani itakayogharikisha dunia nzima.
Kama kimondo chenye ukubwa huo kitaangukia nchi kavu, kitasababisha mlipuko kama vile mlipuko wa volcano kubwa sana wa moto, vumbi, majivu na joto kali sana. Mlipuko huo utasababisha jua lifunikwe kabisa kwa vumbi na moshi mwingi, na kuwa giza kwa miaka mingi sana. Viumbe hai karibu vyote vitakufa kwa moto, moshi wa sumu, vumbi la sumu, njaa, n.k.
Yaani kwa kifupi ni janga kubwa sana !!!!
 
Hii ni picha ya kuchora inayoonyesha dunia ikigongwa na kimondo (sayari ndogo) toka anga za juu.
Kama dunia itagongwa na kimondo chenye ukubwa (diameter) wa kilometa moja, basi mlipuko utakaotokea katika mgongano huo unaweza kumaliza kabisa viumbe hai wote duniani.
Kama kimondo chenye ukubwa huo kitaangukia baharini, kutatokea tsumani itakayogharikisha dunia nzima.
Kama kimondo chenye ukubwa huo kitaangukia nchi kavu, kitasababisha mlipuko kama vile mlipuko wa volcano kubwa sana wa moto, vumbi, majivu na joto kali sana. Mlipuko huo utasababisha jua lifunikwe kabisa kwa vumbi na moshi mwingi, na kuwa giza kwa miaka mingi sana. Viumbe hai karibu vyote vitakufa kwa moto, moshi wa sumu, vumbi la sumu, njaa, n.k.
Yaani kwa kifupi ni janga kubwa sana !!!!

Yanaweza yakatokea ama yasitokee
 
Kwahiyo tarehe 31 december imehairishwa hakuna kufa tena au bado ipo tunakufa kwa makundi wengine tarehe 21 wengine 31 ngoja nikusanye madeni yangu isije wadaiwa wangu wote wafe tarehe 21
 
Back
Top Bottom