Kuna msemo unaosema Nyani haoni nyuma kwake.
Mutuambie basi nani bora zaidi leo.
Sidhani kama sasa swala ni nani apendekezwe kuwa Raisi swala la msingi la sasa ni kujua mahitaji ya Tanzania ni nini na tunahitaji raisi wa aina gani ambaye atatuvusha katika mkanganyiko tulionao. Kwakuwa raisi tunaye aliyechaguliwa kwa asilimi 80% - naheshimu sana kura za wananchi. Lakini ushindi huo unakuja na wajibu, hasa nyakati kama hizi. Nivyema tufikirie huyu raisi afanye nini, maana tunamlipa mshahara kuongoza hii nchi ati! NGuvu kazi ya watu inapungua kwa kukimbia kusoma magazeti, na taarifa za habari, bila mwongozo. Anapaswa kuongoza.
I can never rule out Kikwete hafai, ama atashindwa au kushinda 2010! Both of them, akishinda ama kushidwa it is a problem if he has not sort out the current mess of corruption.
Being honest, for me I might consider Kikwete, if he can show leadership on the currently crisis, because I dont judge people on how bad they fail, rather how strong they can raise. So, I am assuming currently he is in deep thinking about how to lead this nation, and when he comes out - (which he should do soon) he tells us with no hesitation what his mission on the remaining term and in his mission indeed he should show how is going to close this mess o corruption.
If I was him, and in one way or another I am involved with corruption weather as an individual, political mission or my party, I will call the crew and said the following, it is apparently we can no longer run this country for our personal benefits, the citizens are conscious and want me to do something about it. We can only serve our interest if we are saving the interest of nation, of which we have done poorly recently. If the country is in panic model, it is not good for anybody not for me, not for you.
My position, I want to rule this country for the next term, and here we must agree to put our interest on rest and lets agree on benefit we have accumulated thus far. Dowans equipments cannot be purchased by government - vitataifishwa, court cases of ufisadi will be finalized, and the energy question will be addressed once and for all.