Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali FA. Simba watadondokea moja kwa moja kombe la shirikisho Afrika

Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali FA. Simba watadondokea moja kwa moja kombe la shirikisho Afrika

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali ya kombe la FA moja kwa moja club ya Simba haitoshiriki kombe la club bingwa Afrika bali watashiriki kombe la shirikisho barani Afrika.

Utaratibu uliopo, Mshindi wa Ligi kuu pekee na mshindi wa FA cup ndiyo wanaopata tiketi ya kushiriki club bingwa moja kwa moja.Endapo mshindi wa Ligi kuu ndiye mshindi wa FA cup basi mshindi wa pili wa Ligi kuu huchukuliwa.Hivyo endapo Yanga atashinda fainali ya FA cup atakuwa mshindi wa Ligi kuu pamoja na FA cup hivyo kumfanya mshindi wa pili wa Ligi kuu ambaye ni Simba sc kushiriki CAFCL. Endapo Azam Fc watashinda FA cup basi yeye pamoja na mshindi wa Ligi kuu pekee ndiyo watakaoshiriki CAFCL

20230611_200352.jpg
 
Swadaktaa na Hali ilivyo moja kwa moja makolo yanaangulia shirikisho msimu ujao. Sababu yanga haichukulii fainali hii siriaz sana kama azam. Kumbuka azam wako on fire refer to last match kamtundika mtu za kutosha tu.wakati yanga bado wako kwenye mood ya kushangilia ushindi wa ligi kuu.
 
Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali ya kombe la FA moja kwa moja club ya Simba haitoshiriki kombe la club bingwa Afrika bali watashiriki kombe la shirikisho barani Afrika.
Utaratibu uliopo, Mshindi wa Ligi kuu pekee na mshindi wa FA cup ndiyo wanaopata tiketi ya kushiriki club bingwa moja kwa moja.Endapo mshindi wa Ligi kuu ndiye mshindi wa FA cup basi mshindi wa pili wa Ligi kuu huchukuliwa.Hivyo endapo Yanga atashinda fainali ya FA cup atakuwa mshindi wa Ligi kuu pamoja na FA cup hivyo kumfanya mshindi wa pili wa Ligi kuu ambaye ni Simba sc kushiriki CAFCL.Endapo Azam Fc watashinda FA cup basi yeye pamoja na mshindi wa Ligi kuu pekee ndiyo watakaoshiriki CAFCL
Kombe la Azam federation cup (kombe la shirikisho) yameanzishwa kwaajili ya timu kushiriki Caf confederation cup. Kigezo pekee cha kucheza klabu bingwa ni kuwa nafasi za juu kwenye ligi kuu ( nafasi ya kwanza, au ya pili kutegemea na association rank ya inch husika)
 
Weka kanuni za TFF tuone Kama zinaswihi la sivyo Umeandika kichura chura mkuu.
 
Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali ya kombe la FA moja kwa moja club ya Simba haitoshiriki kombe la club bingwa Afrika bali watashiriki kombe la shirikisho barani Afrika.
Utaratibu uliopo, Mshindi wa Ligi kuu pekee na mshindi wa FA cup ndiyo wanaopata tiketi ya kushiriki club bingwa moja kwa moja.Endapo mshindi wa Ligi kuu ndiye mshindi wa FA cup basi mshindi wa pili wa Ligi kuu huchukuliwa.Hivyo endapo Yanga atashinda fainali ya FA cup atakuwa mshindi wa Ligi kuu pamoja na FA cup hivyo kumfanya mshindi wa pili wa Ligi kuu ambaye ni Simba sc kushiriki CAFCL.Endapo Azam Fc watashinda FA cup basi yeye pamoja na mshindi wa Ligi kuu pekee ndiyo watakaoshiriki CAFCL

View attachment 2654236
Nyie ndio mnasababisha wenye akili tuonakane watatu tu!!!
 
Kombe la Azam federation cup (kombe la shirikisho) yameanzishwa kwaajili ya timu kushiriki Caf confederation cup. Kigezo pekee cha kucheza klabu bingwa ni kuwa nafasi za juu kwenye ligi kuu ( nafasi ya kwanza, au ya pili kutegemea na association rank ya inch husika)
Hawa watu ni kama wameshindikana kutumia akili. Tumejitahidi sana lakini wapi
 
Back
Top Bottom