Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali FA. Simba watadondokea moja kwa moja kombe la shirikisho Afrika

Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali FA. Simba watadondokea moja kwa moja kombe la shirikisho Afrika

Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali ya kombe la FA moja kwa moja club ya Simba haitoshiriki kombe la club bingwa Afrika bali watashiriki kombe la shirikisho barani Afrika.
Utaratibu uliopo, Mshindi wa Ligi kuu pekee na mshindi wa FA cup ndiyo wanaopata tiketi ya kushiriki club bingwa moja kwa moja.Endapo mshindi wa Ligi kuu ndiye mshindi wa FA cup basi mshindi wa pili wa Ligi kuu huchukuliwa.Hivyo endapo Yanga atashinda fainali ya FA cup atakuwa mshindi wa Ligi kuu pamoja na FA cup hivyo kumfanya mshindi wa pili wa Ligi kuu ambaye ni Simba sc kushiriki CAFCL.Endapo Azam Fc watashinda FA cup basi yeye pamoja na mshindi wa Ligi kuu pekee ndiyo watakaoshiriki CAFCL

View attachment 2654236
Chura anaruka ruka chura ×2
 
"Kama ikitokea Yanga SC bingwa wa aza fedaration nafasi yake inabidi apewe nafasi ya tatu kwakuwa nafasi ya kwanza na pili wanaenda CAF CHAMPION.

Kusema kwamba nafasi ya tatu ni Azam FC lakini kwa nafasi yate tunapeleka team 4 na azam yeye tayari anasifa ya kwenda SHIRIKISHO hiyo nafasi inaapewa timu ya nne ambayo ni Singida BS

Kama Azam FC anakuwa bingwa ataenda kama bingwa wa kombe la AZAM FEDERATION alafu nafasi ya ligi inachukuliwa na Singida Big Stars

KLABU BINGWA
YANGA [emoji736]
SIMBA[emoji736]

SHIRIKISHO
AZAM [emoji736]
SINGIDA[emoji736]

Pasi kujali matokeo ya Azam na Yanga.
 
Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali ya kombe la FA moja kwa moja club ya Simba haitoshiriki kombe la club bingwa Afrika bali watashiriki kombe la shirikisho barani Afrika.
Utaratibu uliopo, Mshindi wa Ligi kuu pekee na mshindi wa FA cup ndiyo wanaopata tiketi ya kushiriki club bingwa moja kwa moja.Endapo mshindi wa Ligi kuu ndiye mshindi wa FA cup basi mshindi wa pili wa Ligi kuu huchukuliwa.Hivyo endapo Yanga atashinda fainali ya FA cup atakuwa mshindi wa Ligi kuu pamoja na FA cup hivyo kumfanya mshindi wa pili wa Ligi kuu ambaye ni Simba sc kushiriki CAFCL.Endapo Azam Fc watashinda FA cup basi yeye pamoja na mshindi wa Ligi kuu pekee ndiyo watakaoshiriki CAFCL

View attachment 2654236
Naomba kesho timu yangu bingwa wa nchi afungwe makusudi tu na Azamu ili hawa makolo wakacheze kombe walilokuwa wanatubeza eti kombe la washindwa huku wao wakiishia robo robo kila mwaka
 
"Kama ikitokea Yanga SC bingwa wa aza fedaration nafasi yake inabidi apewe nafasi ya tatu kwakuwa nafasi ya kwanza na pili wanaenda CAF CHAMPION.

Kusema kwamba nafasi ya tatu ni Azam FC lakini kwa nafasi yate tunapeleka team 4 na azam yeye tayari anasifa ya kwenda SHIRIKISHO hiyo nafasi inaapewa timu ya nne ambayo ni Singida BS

Kama Azam FC anakuwa bingwa ataenda kama bingwa wa kombe la AZAM FEDERATION alafu nafasi ya ligi inachukuliwa na Singida Big Stars

KLABU BINGWA
YANGA [emoji736]
SIMBA[emoji736]

SHIRIKISHO
AZAM [emoji736]
SINGIDA[emoji736]

Pasi kujali matokeo ya Azam na Yanga.
Unarukaruka tu
 
Naomba kesho timu yangu bingwa wa nchi afungwe makusudi tu na Azamu ili hawa makolo wakacheze kombe walilokuwa wanatubeza eti kombe la washindwa huku wao wakiishia robo robo kila mwaka
Muwe mnafatilia mpira jamani, kombe la azam halitoi mshiriki wa CL.
 
Wana UTOPOLO kama kawaida ni KUJAZA serve za Jamii forum bila Huruma na kudhihirisha Ujuha WENU.

Nani amewaroga????
Mbona Nyuzi zeni ni UPUMBAFU MTUPU.

FICHA UJINGA.

AVATOR YAKO HAIFANANI NA UPUUUUZIIII WAKO.
 

Attachments

  • FB_IMG_1682646137959.jpg
    FB_IMG_1682646137959.jpg
    11 KB · Views: 3
Yani kwa ubongo wake anafikiria kuwa linapokuja swala la timu ipi ishiriki Club Bingwa na timu ipi ianzie shirikisho basi ye anajua jambo hilo huamuliwa na sheria za nchi husika
Ni sheria za wapi zinaamua?
 
Mashabiki wa Yanga ni bora wangeuzwa pamoja na BANDARI
 
Back
Top Bottom