Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Umezidi kuwachangaza VICHWA PANZI!Ndio atacheza kwasababu amesajiliwa ndani ya msimu wa dirisha kubwa
Angekuwa amesajiliwa kipindi cha dirisha dogo asingecheza, kutokana na kwamba Yanga walishawasilisha jina lake CAF.
Yaani wanalidharau hata wao!Kombe mlilopewa medali hamlitaki tena jamani.
Amfibia hawana akili si wa kubishana nao ni wa kuwa hurumia tuUmeitoaa wapiii hii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama Rs Berkane alishinda kombe la shirikisho msimu uliopita na msimu huu kacheza shirikisho CAF .Je! CAF na Azam federetion ni ipi yenye hadhiinaonesha jinsi gani huna akili. Tanzania inapeleka timu nne kimataifa kwa sababu ipo ndani ya ligi bora 12 Africa, hivyo timu mbili shirikisho, mbili champions league. Huyo azam hata akishinda mwisho wake ni shirikisho tu. Top 2 ya ligi ina nguvu kuliko Fa-Cup kwenye qualifications.
sielewi hata mantiiki ya swali lako, maana washindi wa hayo makombe wanaenda shirikisho, unless wawe nafasi za kuingia club bingwa. sasa jijibu.Kama Rs Berkane alishinda kombe la shirikisho msimu uliopita na msimu huu kacheza shirikisho CAF .Je! CAF na Azam federetion ni ipi yenye hadhi
TFF hawana kanuni had wakae vikaoWeka kanuni za TFF tuone Kama zinaswihi la sivyo Umeandika kichura chura mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiiAmfibia hawana akili si wa kubishana nao ni wa kuwa hurumia tu
LETA HIYO SHERIA MPYA HAPAKwa mujibu wa utaratibu mpya wanaoshiriki CAF ni mshindi wa Ligi kuu na FA Cup, Hapo Yanga akipigwa Simba hawana chao CAFCL
Mzee, fatilia mambo mengine mpira hujui..Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali ya kombe la FA moja kwa moja club ya Simba haitoshiriki kombe la club bingwa Afrika bali watashiriki kombe la shirikisho barani Afrika.
Utaratibu uliopo, Mshindi wa Ligi kuu pekee na mshindi wa FA cup ndiyo wanaopata tiketi ya kushiriki club bingwa moja kwa moja.Endapo mshindi wa Ligi kuu ndiye mshindi wa FA cup basi mshindi wa pili wa Ligi kuu huchukuliwa.Hivyo endapo Yanga atashinda fainali ya FA cup atakuwa mshindi wa Ligi kuu pamoja na FA cup hivyo kumfanya mshindi wa pili wa Ligi kuu ambaye ni Simba sc kushiriki CAFCL. Endapo Azam Fc watashinda FA cup basi yeye pamoja na mshindi wa Ligi kuu pekee ndiyo watakaoshiriki CAFCL
View attachment 2654236
Uto wamejaa vilaza..Halafu ukute mleta hoja ni mtu kabisa anategemewa na familia yake..!
Ale chuma hikoinaonesha jinsi gani huna akili. Tanzania inapeleka timu nne kimataifa kwa sababu ipo ndani ya ligi bora 12 Africa, hivyo timu mbili shirikisho, mbili champions league. Huyo azam hata akishinda mwisho wake ni shirikisho tu. Top 2 ya ligi ina nguvu kuliko Fa-Cup kwenye qualifications.