Endeleeni kukariri kama mlivyofanya jana kwa Senegal, ila hata kwa Usiku huu Gwiji la Morocco nalo linaenda Kung'oka AFCON

Endeleeni kukariri kama mlivyofanya jana kwa Senegal, ila hata kwa Usiku huu Gwiji la Morocco nalo linaenda Kung'oka AFCON

Kwa mtu anayefuatilia mpira kwa kina kama wewe mtaalam GENTAMYCINE upo sahihi. Kile kikosi kimejaaa wachezaji wa mamelodi ambao kila siku wanawapiga waarabu nje ndani. Vile vijamaa ni vifupi, ila vinacheza pasi fupi fupi za haraka mno , na counter attack ndefu za haraka mno. Ila vile vijamaa vinakimbia sio poa dakika zote 90. Halafu vinajua kushikilia bomba.


Swali kwako mtaalam, huwa najiulizaga hao wachezaji wa mamelodi wanatoa wapi stamina ya kukimbia kama mshale mwanzo mpaka mwisho wa mechi?
Mamelod mara ya mwisho kuchukua cafcl ni lini?
 
Huu Uzi Umeanzishwa Baada Ya Kipindi Cha Kwanza Kuisha.
Wala hujakosea tena uko sahihi 100% je, unaweza kunipa sababu Wabashiri wa Kubeti kuweka hadi Kubeti kwa Mechi yoyote ile hata kuanzia Kipindi cha Pili ( baada ya Mapumziko ) na bado ukiupatia huko Mkeka wako unashindwa Malaki na Mamilioni?

Chuki zenu na Wivu wenu dhidi yangu hapa JamiiForums kutokana na Umaarufu na Mvuto wangu wa Kipekee na Uliotukuka ni Baraka Kubwa sana Kwangu.

Yeremia 1:19.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

Cc: SAYVILLE
 
Kwa mtu anayefuatilia mpira kwa kina kama wewe mtaalam GENTAMYCINE upo sahihi. Kile kikosi kimejaaa wachezaji wa mamelodi ambao kila siku wanawapiga waarabu nje ndani. Vile vijamaa ni vifupi, ila vinacheza pasi fupi fupi za haraka mno , na counter attack ndefu za haraka mno. Ila vile vijamaa vinakimbia sio poa dakika zote 90. Halafu vinajua kushikilia bomba.


Swali kwako mtaalam, huwa najiulizaga hao wachezaji wa mamelodi wanatoa wapi stamina ya kukimbia kama mshale mwanzo mpaka mwisho wa mechi?
Mfumo wa Uchezaji wa Mpira wa Afrika Kusini na hata katika Ligi Kuu yao ya PSL unatumika na hata katika Academies zao ni Mpira wa Kasi na Nguvu.

Pia usisahau kuwa sehemu Kubwa ya Afrika Kusini ni Baridi sana hivyo Kisayansi Mtu anayefanya Mazoezi katika Ukanda wa Baridi hulazimika kutumia Nguvu nyingi ili pia kutengeneza Joto la Mwili ili Kulibalansi hali ambayo husaidia kuongeza Kasi ya Mwili kutenda Kazi na hata Mtu Kuwajibika zaidi kuliko wale wanaoishi maeneo ya Joto Kali kama huku Kwetu Afrika Mashariki au kule Sudan.

Hivyo baada ya Vilabu vya Afrika Kusini kujua hilo na Wao Kiufundi wakiwa wanataka Kusajili Wachezaji wa Kimataifa hutumia Vigezo hivi hivi vikubwa Viwili vya kuangalia je, na Wao wanatoka katika nchi zenye Baridi na Ligi zao ni ya matumizi makubwa ya Nguvu na Kasi?

Chunguza hata hao Wachezaji wa Kigeni wa Mamelodi Sundowns FC nchi wanazotoka ni zenye Hali ya Hewa inayofanana na ya Afrika Kusini na Mfumo wa Mpira kama Wao wa Kasi na Nguvu.

Ni haya tu Mkuu wangu. Siku Njema.
 
Mamelod mara ya mwisho kuchukua cafcl ni lini?
Swali lake ni Mamelodi Sundowns FC kuchukua Ubingwa lini au ni kwanini Wachezaji wa Timu hiyo wana Mpira wa Nguvu na Kasi?
 
Endelea kuwaokota. Uzi umeanzishwa saa 8 usiku mpira umeshaisha.
Chuki zenu na Wivu wenu dhidi yangu hapa JamiiForums kutokana na Umaarufu na Mvuto wangu wa Kipekee na Uliotukuka ni Baraka Kubwa sana Kwangu.

Yeremia 1:19.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Mfumo wa Uchezaji wa Mpira wa Afrika Kusini na hata katika Ligi Kuu yao ya PSL unatumika na hata katika Academies zao ni Mpira wa Kasi na Nguvu.

Pia usisahau kuwa sehemu Kubwa ya Afrika Kusini ni Baridi sana hivyo Kisayansi Mtu anayefanya Mazoezi katika Ukanda wa Baridi hulazimika kutumia Nguvu nyingi ili pia kutengeneza Joto la Mwili ili Kulibalansi hali ambayo husaidia kuongeza Kasi ya Mwili kutenda Kazi na hata Mtu Kuwajibika zaidi kuliko wale wanaoishi maeneo ya Joto Kali kama huku Kwetu Afrika Mashariki au kule Sudan.

Hivyo baada ya Vilabu vya Afrika Kusini kujua hilo na Wao Kiufundi wakiwa wanataka Kusajili Wachezaji wa Kimataifa hutumia Vigezo hivi hivi vikubwa Viwili vya kuangalia je, na Wao wanatoka katika nchi zenye Baridi na Ligi zao ni ya matumizi makubwa ya Nguvu na Kasi?

Chunguza hata hao Wachezaji wa Kigeni wa Mamelodi Sundowns FC nchi wanazotoka ni zenye Hali ya Hewa inayofanana na ya Afrika Kusini na Mfumo wa Mpira kama Wao wa Kasi na Nguvu.

Ni haya tu Mkuu wangu. Siku Njema.
Uchambuzi bora kabisaa.
 
Huwa unastahili mara zote kupewa tuzo ya jukwaa hili, utabebaa sanaa. [emoji122][emoji122][emoji122]
HATERS wangu hapa WANAUMIA kweli kweli kwa huu UKWELI wako na KUNIKUBALI Kwako / Kwenu GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" UBARIKIWE na MBARIKIWE nyote. mnaotambua THAMANI yangu ya Kipekee hapa JamiiForums..

Ashukuriwe mno tu Mwenyezi Mungu.

Cc: HATERS Mtani wa Taifa, Ubena Zomozi, Dr Matola PhD, CAPO DELGADO, Omulasil na Wengineo baadhi.
 
Back
Top Bottom