Endeleeni tu kuwaruhusu wake zenu wajiunge na VICOBA na mikopo ya kausha damu

Endeleeni tu kuwaruhusu wake zenu wajiunge na VICOBA na mikopo ya kausha damu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public).

Sasa mikopo ya kausha damu au chupi mkononi ambayo inamtaka arudishe marejesho kila siku ile siku hana cha kurudisha hatamtunuku yule jamaa anayemwachiaga chenji azuie?

Marejesho ya VICOBA ya kila week nayo majanga.

Wanasaliti sana ndoa zao si kwa kupenda ila ni kwa dhiki na baadaye huzoea. Hapo hakuna ndoa tena.
Wife juzi aliniomba akajiunge sacoss nikamjibu hiyo pesa ya kupeleka SACOSS nakuwekea kibubu kizuri cha kisasa na imara tumbukiza humo na mimi nitakusaidia kutumbukiza.

Je, kila wiki utakuwa na pesa ya SACOSS?

Kama huna utawaambia nini?

Nikazima mchezo.

Kwakweli vijana wenye vichenji vya kuzugia kwa sasa ni rahisi kupata tendo la ndoa kwa Wanawake mitaani kwakuwa wengi wana madeni.

Mke wangu kujiunga na mchezo wa fedha labda niwe mlemavu.
 
Anataka saccos kwa sababu hana hela.

Mpe mkeo hela sio kupinga kila kitu.

Vijana tafuteni hela.
Hana hela ya nini?

Wife ni mama wa nyumbani nampa mahitaji yake yote.

Ni kufuata mikumbo ya wenzake tu , labda wakisimuliana mambo ya fefha za vicoba huko salon anaona wanafaidi lakini hawana maisha yoyote ya maana.
 
Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public)...
Wewe wacha mke akaone joto la jiwe jinsi hela inavyopatikana. Akitombwer ndio atakuwa na uchungu wa hela.
Alafu sikiliza wewe, dunia ya sasa mke kutombwer wala sio kitu cha kumaindi. Kawaida tuu ni kuulizana style gani mpya kajifunza huko nje mnaijaribu pamoja
 
Wewe wacha mke akaone joto la jiwe jinsi hela inavyopatikana. Akitombwer ndio atakuwa na uchungu wa hela.
Alafu sikiliza wewe, dunia ya sasa mke kutombwer wala sio kitu cha kumaindi. Kawaida tuu ni kuulizana style gani mpya kajifunza huko nje mnaijaribu pamoja
Ahahah
 
Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public)...
Hata kama hutaki utastukia mwenzako kajiunga na kumbe dhamana kaweka nyumba mnayoishi,si unajua jinsi wanavyodanganyana...
 
Kuna tofauti kati ya:-
SACCOS - Hii inawezesha kuwekeza hisa na mikopo kwa riba nafuu zaidi. Ni endelevu.

VICOBA - Inawezesha pia kuwekeza hisa kwa kila mwezi na mikopo kwa riba nafuu. Inavunjwa kila baada ya muda kulingana na katiba na kuanzishwa upya. (Sio endelevu).

UPATU - Hili ndo janga lenyewe sasa, huu ni mzunguko wa pesa kwa idadi ya watu waliopo kwenye kikundi, kuna kupokea kwa siku, kwa wiki au kwa mwezi, hapa ndo wanawake wengi wasio na kipato cha uhakika hugawanya kodi ya meza na hela ya upatu (Wao huita hela ya mchezo).

SACCOS na VICOBA huendeshwa kwa katiba na huhitajika kusajiliwa kisheria ingawa zilizo nyingi hazisajiliwi. Watu wanasomesha, wanaendeleza biashara na kujenga kwa msaada wa hizi.

Hapo kwenye upatu ndo pa kupigwa pin, hapafai. Ndo hizi tunazozisikia sana mitaani.
 
Hana hela ya nini?
Wife ni mama wa nyumbani nampa mahitaji yake yote.
Ni kufuata mikumbo ya wenzake tu , labda wakisimuliana mambo ya fefha za vicoba huko salon anaona wanafaidi lakini hawana maisha yoyote ya maana.
Sasa huoni kama unachompa hakimtoshi?

Sio kwamba unakwepa kuwajibika?

Tafuteni hela vijana mwanamke anayetimiziwa mahitaji yake yote hata kwa bahati mbaya neno saccos haliwezi toka mdomoni mwake.

Narudia TAFUTA HELA BWANA MDOGO.
 
Anataka saccos kwa sababu hana hela.

Mpe mkeo hela sio kupinga kila kitu.

Vijana tafuteni hela.
Yap mkewe hana hela🤣wanawake wenye hela huwakuti kwenye vikoba,wana mgroup yao wanapeana upatu wa heka ndefu,kuanzia m1 nabkuendelea,na hawezi mwambia mumewe ako kwa upatu 🤣🤣so jamaa amuwezeshe mkewe,na hiyo inaonyesha uwezo wa akili wa mkewe,wanawake wa vikoba upeo wao unajulikana tu🤣🤣🤣🏌️
 
Back
Top Bottom