Endeleeni tu kuwaruhusu wake zenu wajiunge na VICOBA na mikopo ya kausha damu

Endeleeni tu kuwaruhusu wake zenu wajiunge na VICOBA na mikopo ya kausha damu

Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public)...
Shukuru Mungu kakuomba ruhusa lakini wengine hawaombi wanakurupuka na kuwaleta nyumbani waje watathmini na kupewa mkopo halafu hata unavyotumika wewe huelewi matokeo yake ni kupata taarifa baadae wakati wanakuja beba vitu vya ndani, mkuu toa pole talaka nyingi zimetembea au wapo pamoja kila mtu na chumba chake hii mikopo ni janga la familia [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hakuna mwanamme wa kumuelewa mwanamke,wanawake hawaelewi ni kipi wanakitaka kwa mwanamme na katika mahusiano.

Ukimununulia gari,yeye hilo gari atalitumia kwenda kwa hawala kugongwa,utamfungulia duka ,wateja watamla bure na ataanza kuhonga mtaji wako.

Mimi naona sana,kuna jamaa yangu kapanga kwa jamaa ,mke wa baba wa nyumba anajirengesha kwa jamaa yangu,ukiangalia baba wa nyumba kamfungulia mke duka kubwa tu na la maana.

Achana na wanawake mkuu,kumlinda mwanamke ni sawa na kulinda bahari watu wasivue,lazima ataliwa tu.
 
Shukuru Mungu kakuomba ruhusa lakini wengine hawaombi wanakurupuka na kuwaleta nyumbani waje watathmini na kupewa mkopo halafu hata unavyotumika wewe huelewi matokeo yake ni kupata taarifa baadae wakati wanakuja beba vitu vya ndani, mkuu toa pole talaka nyingi zimetembea au wapo pamoja kila mtu na chumba chake hii mikopo ni janga la familia [emoji24][emoji24][emoji24]
QmmmmQe
Afisa mmoja alikuja kushtuka nyumba imewekwa tangazo la mnada.
Wanawake nyoko
 
Bado nakataa kuwa Wanawake wote wanaocheza VIKOBA ni Wahuni

Mimi nawafahamu wengi tu wamama waliotulia kwenye ndoa zao na kwa kupitia vikoba wamejenga, wanasomesha Watoto na wanaendesha biashara kubwa tu

Hiyo ni Coincidence tu

Jambo baya likikutokea wewe binafsi haimaanishi kuwa na Wengine inawakuta hivyo

Hapa JF kuna tabia ya kugeneralise mambo
 
Bado nakataa kuwa Wanawake wote wanaocheza VIKOBA ni Wahuni

Mimi nawafahamu wengi tu wamama waliotulia kwenye ndoa zao na kwa kupitia vikoba wamejenga, wanasomesha Watoto na wanaendesha biashara kubwa tu

Hiyo ni Coincidence tu

Jambo baya likikutokea wewe binafsi haimaanishi kuwa na Wengine inawakuta hivyo

Hapa JF kuna tabia ya kugeneralise mambo
Hivi unadhani wenye tabia za kugawa nyuchi hawavai shungi?
Hawasomeshi?
Hawajaolewa?
Wengine mpaka Church wana vyeo kabisa
 
Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public).

Sasa mikopo ya kausha damu au chupi mkononi ambayo inamtaka arudishe marejesho kila siku ile siku hana cha kurudisha hatamtunuku yule jamaa anayemwachiaga chenji azuie?

Marejesho ya VICOBA ya kila week nayo majanga.

Wanasaliti sana ndoa zao si kwa kupenda ila ni kwa dhiki na baadaye huzoea. Hapo hakuna ndoa tena.
Wife juzi aliniomba akajiunge sacoss nikamjibu hiyo pesa ya kupeleka SACOSS nakuwekea kibubu kizuri cha kisasa na imara tumbukiza humo na mimi nitakusaidia kutumbukiza.

Je, kila wiki utakuwa na pesa ya SACOSS?

Kama huna utawaambia nini?

Nikazima mchezo.

Kwakweli vijana wenye vichenji vya kuzugia kwa sasa ni rahisi kupata tendo la ndoa kwa Wanawake mitaani kwakuwa wengi wana madeni.

Mke wangu kujiunga na mchezo wa fedha labda niwe mlemavu.
Kuku wanaofungiwa ndani,siku wakitoka nje ndo wanaoongoza kwa kuliwa na vicheche,
na kwa sababu ni wengi mfugaji siyo rahisi kugundua kwamba kuku kachukuliwa
mpaka atakapokuta manyoya vichaka vya karibu na kwake.
Moyo wa mwanadamu ni kichaka kikubwa.
 
Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public).

Sasa mikopo ya kausha damu au chupi mkononi ambayo inamtaka arudishe marejesho kila siku ile siku hana cha kurudisha hatamtunuku yule jamaa anayemwachiaga chenji azuie?

Marejesho ya VICOBA ya kila week nayo majanga.

Wanasaliti sana ndoa zao si kwa kupenda ila ni kwa dhiki na baadaye huzoea. Hapo hakuna ndoa tena.
Wife juzi aliniomba akajiunge sacoss nikamjibu hiyo pesa ya kupeleka SACOSS nakuwekea kibubu kizuri cha kisasa na imara tumbukiza humo na mimi nitakusaidia kutumbukiza.

Je, kila wiki utakuwa na pesa ya SACOSS?

Kama huna utawaambia nini?

Nikazima mchezo.

Kwakweli vijana wenye vichenji vya kuzugia kwa sasa ni rahisi kupata tendo la ndoa kwa Wanawake mitaani kwakuwa wengi wana madeni.

Mke wangu kujiunga na mchezo wa fedha labda niwe mlemavu.
muwekee tu. akishafikisha ya kutosha kuanzisha biashara ataanza na huko atakutana na wafanyabiashara/suppliers wenye pesa kuliko wewe. Atagongwa na atakudharau mpaka utashangaa....wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Akishatoka level moja akaingia nyingine, ni lazima amdharau mume wake!
 
Back
Top Bottom