Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Ewaah umemaliza🙏tafuta hela mkuu.Sasa huoni kama unachompa hakimtoshi?
Sio kwamba unakwepa kuwajibika?
Tafuteni hela vijana mwanamke anayetimiziwa mahitaji yake yote hata kwa bahati mbaya neno saccos haliwezi toka mdomoni mwake.
Narudia TAFUTA HELA BWANA MDOGO.
Shukuru Mungu kakuomba ruhusa lakini wengine hawaombi wanakurupuka na kuwaleta nyumbani waje watathmini na kupewa mkopo halafu hata unavyotumika wewe huelewi matokeo yake ni kupata taarifa baadae wakati wanakuja beba vitu vya ndani, mkuu toa pole talaka nyingi zimetembea au wapo pamoja kila mtu na chumba chake hii mikopo ni janga la familia [emoji24][emoji24][emoji24]Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public)...
Jf unaweza kufa kwa pressureSema bro leo ndo anakuomba ruhusa? Mbn kajiunga miezi mitatu imepita mwezi wa kwanza nlikuwa namsaidia sema nlimshikisha sana ukuta mkeo😁😁😁 nlikimbia baada ya kuzoea mikao yake
QmmmmQeShukuru Mungu kakuomba ruhusa lakini wengine hawaombi wanakurupuka na kuwaleta nyumbani waje watathmini na kupewa mkopo halafu hata unavyotumika wewe huelewi matokeo yake ni kupata taarifa baadae wakati wanakuja beba vitu vya ndani, mkuu toa pole talaka nyingi zimetembea au wapo pamoja kila mtu na chumba chake hii mikopo ni janga la familia [emoji24][emoji24][emoji24]
Me yupi aliwahi kumridhisha Ke kwa kila kitu tangu dunia iumbwe?Anataka saccos kwa sababu hana hela.
Mpe mkeo hela sio kupinga kila kitu.
Vijana tafuteni hela.
😁😁😁😁😁Jf unaweza kufa kwa pressure
Ahahah
Hivi unadhani wenye tabia za kugawa nyuchi hawavai shungi?Bado nakataa kuwa Wanawake wote wanaocheza VIKOBA ni Wahuni
Mimi nawafahamu wengi tu wamama waliotulia kwenye ndoa zao na kwa kupitia vikoba wamejenga, wanasomesha Watoto na wanaendesha biashara kubwa tu
Hiyo ni Coincidence tu
Jambo baya likikutokea wewe binafsi haimaanishi kuwa na Wengine inawakuta hivyo
Hapa JF kuna tabia ya kugeneralise mambo
Kuku wanaofungiwa ndani,siku wakitoka nje ndo wanaoongoza kwa kuliwa na vicheche,Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public).
Sasa mikopo ya kausha damu au chupi mkononi ambayo inamtaka arudishe marejesho kila siku ile siku hana cha kurudisha hatamtunuku yule jamaa anayemwachiaga chenji azuie?
Marejesho ya VICOBA ya kila week nayo majanga.
Wanasaliti sana ndoa zao si kwa kupenda ila ni kwa dhiki na baadaye huzoea. Hapo hakuna ndoa tena.
Wife juzi aliniomba akajiunge sacoss nikamjibu hiyo pesa ya kupeleka SACOSS nakuwekea kibubu kizuri cha kisasa na imara tumbukiza humo na mimi nitakusaidia kutumbukiza.
Je, kila wiki utakuwa na pesa ya SACOSS?
Kama huna utawaambia nini?
Nikazima mchezo.
Kwakweli vijana wenye vichenji vya kuzugia kwa sasa ni rahisi kupata tendo la ndoa kwa Wanawake mitaani kwakuwa wengi wana madeni.
Mke wangu kujiunga na mchezo wa fedha labda niwe mlemavu.
Na mafuta kwa mbali sana!Tunasikia case nyungi tu, mume anaacha 10,15 su 20 huku mahitaji muhimu yote yapo ndani lakini jioni mume anakutana na ugali dagaa plus maharage. Pesa kachezea mchezo
Ni kweli wapo kabisa, Mimi ninachopinga ni kuamini kuwa Wanawake wote waliopo kwny Vikoba ni WahuniHivi unadhani wenye tabia za kugawa nyuchi hawavai shungi?
Hawasomeshi?
Hawajaolewa?
Wengine mpaka Church wana vyeo kabisa
muwekee tu. akishafikisha ya kutosha kuanzisha biashara ataanza na huko atakutana na wafanyabiashara/suppliers wenye pesa kuliko wewe. Atagongwa na atakudharau mpaka utashangaa....wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Akishatoka level moja akaingia nyingine, ni lazima amdharau mume wake!Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public).
Sasa mikopo ya kausha damu au chupi mkononi ambayo inamtaka arudishe marejesho kila siku ile siku hana cha kurudisha hatamtunuku yule jamaa anayemwachiaga chenji azuie?
Marejesho ya VICOBA ya kila week nayo majanga.
Wanasaliti sana ndoa zao si kwa kupenda ila ni kwa dhiki na baadaye huzoea. Hapo hakuna ndoa tena.
Wife juzi aliniomba akajiunge sacoss nikamjibu hiyo pesa ya kupeleka SACOSS nakuwekea kibubu kizuri cha kisasa na imara tumbukiza humo na mimi nitakusaidia kutumbukiza.
Je, kila wiki utakuwa na pesa ya SACOSS?
Kama huna utawaambia nini?
Nikazima mchezo.
Kwakweli vijana wenye vichenji vya kuzugia kwa sasa ni rahisi kupata tendo la ndoa kwa Wanawake mitaani kwakuwa wengi wana madeni.
Mke wangu kujiunga na mchezo wa fedha labda niwe mlemavu.
Pole sana, ukaliwa kichwaNikiwa chuo nilikopa efl 50 nikaweka PC dell Inspiron core i7 jamaa aliitamani Ile PC akapandisha riba Hadi nikashindwa kulipa😀😀😀
Jamaa alichukua pc😀😀 mpaka Leo ni adui yangu mkubwa sijamsahau😀😀Pole sana, ukaliwa kichwa
Ila hakufanya poa, core i7 sio poa aisee.Jamaa alichukua pc😀😀 mpaka Leo ni adui yangu mkubwa sijamsahau😀😀