Nzuri ni ile ya kupima oil,kunawa then kupiga bao rahaaaaaa kabisa mpaka mtu anajisahau anavunja kitu alichokalia kwa utamu wa hilo bao.
Mimi sijatapeliwa, ila nahisi wapo waliotapeliwa...Funguka,harambee ya nini?We kama umetapeliwa Shauri yako.Hatuna ujinga wa kuhonga marefa tungekua nao Kuna haja gani ya kuzunguka whatsApp kupitisha bakuli.Sasa hivi tuna hela si mchezo ndugu..
manina wewe na BMT Manji anawauma kinoma mi nasema akodi tuuu kwani mpaka sasa haijakodishwa mi shabiki napata nini na asipo kodisha napata nini
faida ya ushabiki ni timu ishinde kama atafanya hayo maboresho wampe tuuuuuuuu
Kuna haja kubwa ya Yanga kukaa na kujitafakari na Yusuf Manji. Ulaghai anaoufanya ni wa kiwango cha lami au phd kabisa.
Tuseme ukweli. Ni mafanikio gani Manji kayaleta Yanga? Ohh msimu uliopita imeifunga Simba mara Mbili. Moja ya mafanikio makubwa. Mengine ni kupanda ndege kwenye kushiriki makombe mawili baran afrika.
Nachelea tutasikia yanga wamepewa na coco beach wajenge hotel.
Sasa hapo we unatakaje man?????Kuna haja kubwa ya Yanga kukaa na kujitafakari na Yusuf Manji. Ulaghai anaoufanya ni wa kiwango cha lami au phd kabisa.
Tuseme ukweli. Ni mafanikio gani Manji kayaleta Yanga? Ohh msimu uliopita imeifunga Simba mara Mbili. Moja ya mafanikio makubwa. Mengine ni kupanda ndege kwenye kushiriki makombe mawili baran afrika.
Nachelea tutasikia yanga wamepewa na coco beach wajenge hotel.
Sasa hapo we unatakaje man?????
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] heeeee let's wait & See labda mambo yatakua fit. All we hope good things to happen over thereumeuliza swali la maana. ndugu yangu. manji kile kiwanja ana tatizo nacho na ndo maana ameona ni bora awasukumie yanga ili asije nyang'anywa kile kiwanja na serikali ya magufuli kwa sababu ya kushindwa kukiendeleza na pia kina mgogoro na NAFCO hivyo amefanya usanii tu.
pia angalia mkataba alioingia wa kujikodisha yanga. ni uhuni mkubwa sana amefanya ndugu yangu. ni aibu hata kusema . lakini sisi wanayanga na simba huwa hatufikirii kabisa katika mambo haya.
Hasa, .Halafu wanadaiwa bil 11 ndani ya uongozi wake wa miaka isiyozidi 6 sijui ndiyo anazotumia kuwanunua akina Saanya na Mpenzu...
Unazid kuthibitsha alicho kisema, we inakuwaje unaumia kuliko wana chama walio amua wampe timu!!?kma wanachama wenyewe ndo wewe....ndo maana manji anawashika makalio yenu wadada na mambo ya mpira wapi na wapi zaidi ya kushangilia tu ushindi dada yangu wewe? yaani umekuja na matusi hivi sababu manji kasemwa na hapo hata si mumeo ...je angekuwa mumeo?
Ila umeandika jaziba ikiwa imekupanda, inaonyesha kiasi gani unaipenda Yanga yenu, ila tulia urudi urekibishe maneno kidogo, ili ujumbe wako ueleweke vizuri.Unazud kuthibitsha alicho kisema, we inakuwaje unaumia kuliko wana chama walio amua wamoe timu!!?
Yanga sio watoto hata kama wakiamua kugawa timu kwa Manji bure wewe tatizo lako liko wap!!?
HahahahaIla umeandika jaziba ikiwa imekupanda, inaonyesha kiasi gani unaipenda Yanga yenu, ila tulia urudi urekibishe maneno kidogo, ili ujumbe wako ueleweke vizuri.
Mleta mada unachekesha sana! Eti unajifanya uyajui mafanikio ya Klabu ya Young Africans SC kwa kipindi Manji akiwa kama kiongozi.
Ngoja nikusaidie kwa maswali. Ukiweza kupata majibu yake utajua mafanikio ya Manji tangu awe kiongozi pale Yanga.
1. Manji amekuwapo pale Yanga kwa muda wa Misimu mingapi?
2. Yanga amebeba Ubingwa mara ngapi ukilinganisha na Simba? (Kwa kipindi ambacho Amekuwapo pale)
3. Yanga imeshiriki mara ngapi kwenye michuano ya Kimataifa ukilinganisha na Simba? (Kwa kipindi ambacho amekuwapo pale)
Ukijibu haya kwa usahihi kabisa, utakuwa unefahamu mafanikio yake kwa kipindi hiko.
Mleta mada unachekesha sana! Eti unajifanya uyajui mafanikio ya Klabu ya Young Africans SC kwa kipindi Manji akiwa kama kiongozi.
Ngoja nikusaidie kwa maswali. Ukiweza kupata majibu yake utajua mafanikio ya Manji tangu awe kiongozi pale Yanga.
1. Manji amekuwapo pale Yanga kwa muda wa Misimu mingapi?
2. Yanga amebeba Ubingwa mara ngapi ukilinganisha na Simba? (Kwa kipindi ambacho Amekuwapo pale)
3. Yanga imeshiriki mara ngapi kwenye michuano ya Kimataifa ukilinganisha na Simba? (Kwa kipindi ambacho amekuwapo pale)
Ukijibu haya kwa usahihi kabisa, utakuwa unefahamu mafanikio yake kwa kipindi hiko.