Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kuna kitu kinaitwa Emergency Procurement hahaahhaahaa dah hainaga negotiations, ni mpunga tu, nadhani hii nayo imeangukia kwenye category hio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu mtu mmoja amevimbiwa makande utamsikia anaropoka et binadam wote ni Sawa.
Wapumbavu hao asipokufa mkurugenzi au mbunge yanakaa kimya limeguswa kundi la walamba asali mara moja tu chini ya masaa 72 wanakuja na suluhisho.
Kabla ya hili tukio miezi minne nyuma walikufa watu 19 eneo hilo hilo majuzi tena wakafa nane mlikaa kimya hao hawakuwa binadamu?leo kidogo tu mnafunguka masikio,jueni hamuwezi kukikimbia kifo kitawafata hata vitandani mwenu kwa dhulma mnazowafanyia Watanzania.
Mkuu kabla ya kifo Mpango alishatoa maagizo majuzi hivyo kabla ya ajali kazi ilishaanzaNilijua tu akifa mtu wao watachukua hatua, kufa wewe mbwa sasa! Hata mfe Watu mia itaishia kutumwa barua ya pole kwenye media.....
Mistake is a chance for improvementNilijua tu akifa mtu wao watachukua hatua, kufa wewe mbwa sasa! Hata mfe Watu mia itaishia kutumwa barua ya pole kwenye media.....
Agreed 💯Mistake is a chance for improvement
Shukrani saaana. Nafuta kauliMkuu kabla ya kifo Mpango alishatoa maagizo majuzi hivyo kabla ya ajali kazi ilishaanza
Mlima nyoka na ule wa uyole kuelekea Tukuyu ni balaa.Mbalizi na Mlima Nyoka
Kilio cha wenye mamlakaNilijua tu akifa mtu wao watachukua hatua, kufa wewe mbwa sasa! Hata mfe Watu mia itaishia kutumwa barua ya pole kwenye media.....
Mbalizi na Mlima Nyoka
kumbe ajali hutokea sana hapo ila sa wameona umuhimu wa mbadala baada ya kiongozi mwenzao kufariki.Mungu atufumbuwe mapema kabla.Siku moja baada ya kifo cha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Igunga, Fatma Omary na watu wengine wawili kwa ajali ya gari, tayari eneo la Inyala mkoani Mbeya sehemu hiyo imeanza kutafutiwa ufumbuzi.
Leo Alhamis, Septemba 15, 2022, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC), Juma Homera amezindua barabara ya mchepuko eneo hilo yenye urefu wa kilometa 2.8.
Jana Septemba 14,2022 eneo hilo lilisababisha kifo cha Mkurugenzi wa Igunga, Fatma Omary dereva wake, Alex Mtabika (48) pamoja na Shafih Said.
Homera amesema eneo hilo limekuwa na changamoto kubwa na kusababisha ajali kila wakati jambo ambalo kwa sasa limepatiwa ufumbuzi.
Kwa upande wake, Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Matari Masige amesema kwa sasa barabara hiyo itatumika kwaajili ya magari madogo pamoja na yale ya abiria.
"Tutaendelea kuboresha zaidi eneo hili kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama kuhakikisha sehemu hii inakuwa salama zaidi kwa wananchi hasa waendesha vyombo vya moto," amesema Masige.
Mwananchi
Binadam wote ni sawa ila sio sawa sawa,Afu mtu mmoja amevimbiwa makande utamsikia anaropoka et binadam wote ni Sawa.
Hawakuliona hilo kabla au walipuuza kwakuwa waliokuwa wanakufa ni raia wa kawaida sasa amekufa kiongozo wanaona huenda wao wanafuata maana tabia za kulazimisha mambo zinawahusuSiku moja baada ya kifo cha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Igunga, Fatma Omary na watu wengine wawili kwa ajali ya gari, tayari eneo la Inyala mkoani Mbeya sehemu hiyo imeanza kutafutiwa ufumbuzi.
Leo Alhamis, Septemba 15, 2022, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC), Juma Homera amezindua barabara ya mchepuko eneo hilo yenye urefu wa kilometa 2.8.
Jana Septemba 14,2022 eneo hilo lilisababisha kifo cha Mkurugenzi wa Igunga, Fatma Omary dereva wake, Alex Mtabika (48) pamoja na Shafih Said.
Homera amesema eneo hilo limekuwa na changamoto kubwa na kusababisha ajali kila wakati jambo ambalo kwa sasa limepatiwa ufumbuzi.
Kwa upande wake, Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Matari Masige amesema kwa sasa barabara hiyo itatumika kwaajili ya magari madogo pamoja na yale ya abiria.
"Tutaendelea kuboresha zaidi eneo hili kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama kuhakikisha sehemu hii inakuwa salama zaidi kwa wananchi hasa waendesha vyombo vya moto," amesema Masige.
Mwananchi
Huyu tutasubiri apite barabara ya Iringa - Mtera, pale mbuga za Migori tutawaswagia Punda baranarani V8 lake liwapalamie "Kudadeki"Yule wa mabasi sitini
Aliyekwambia nakikwepa kifo nani?Hata wewe kifo kitakufuata tu hata ukijificha kwenye matendegu ya kitanda! Huwezi pia kukikwepa kifo!
Dawa ya kitaalamu kwenye barabara hizo, ni kuweka 'climbing lanes' sehemu hizo za milima.......Mlima nyoka na ule wa uyole kuelekea Tukuyu ni balaa.