Eneo hatari kwa ajali Mbeya latafutiwa ufumbuzi

Eneo hatari kwa ajali Mbeya latafutiwa ufumbuzi

Kuna kitu kinaitwa Emergency Procurement hahaahhaahaa dah hainaga negotiations, ni mpunga tu, nadhani hii nayo imeangukia kwenye category hio
 
Afu mtu mmoja amevimbiwa makande utamsikia anaropoka et binadam wote ni Sawa.

Ni sahihi, binadamu wote ni sawa kwa mahitaji maalum kama vile maji, hewa, chakula lakini mambo mengine siyo lazima muwe sawa! Upo hapo wewe unayejiita mbwa?
 
Wapumbavu hao asipokufa mkurugenzi au mbunge yanakaa kimya limeguswa kundi la walamba asali mara moja tu chini ya masaa 72 wanakuja na suluhisho.

Kabla ya hili tukio miezi minne nyuma walikufa watu 19 eneo hilo hilo majuzi tena wakafa nane mlikaa kimya hao hawakuwa binadamu?leo kidogo tu mnafunguka masikio,jueni hamuwezi kukikimbia kifo kitawafata hata vitandani mwenu kwa dhulma mnazowafanyia Watanzania.

Hata wewe kifo kitakufuata tu hata ukijificha kwenye matendegu ya kitanda! Huwezi pia kukikwepa kifo!
 
Duuuh! isije ikaanza kufanyika hujuma,na baadhi ya watu,wakiona kiongozi kaenda sehemu flani,wanafanya manouver,ajali inatokea, emergency construction, inafanyika,kama ilivyofanyika sasa.
 
Nilijua tu akifa mtu wao watachukua hatua, kufa wewe mbwa sasa! Hata mfe Watu mia itaishia kutumwa barua ya pole kwenye media.....
Mkuu kabla ya kifo Mpango alishatoa maagizo majuzi hivyo kabla ya ajali kazi ilishaanza
 
Siku moja baada ya kifo cha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Igunga, Fatma Omary na watu wengine wawili kwa ajali ya gari, tayari eneo la Inyala mkoani Mbeya sehemu hiyo imeanza kutafutiwa ufumbuzi.

Leo Alhamis, Septemba 15, 2022, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC), Juma Homera amezindua barabara ya mchepuko eneo hilo yenye urefu wa kilometa 2.8.

Jana Septemba 14,2022 eneo hilo lilisababisha kifo cha Mkurugenzi wa Igunga, Fatma Omary dereva wake, Alex Mtabika (48) pamoja na Shafih Said.

Homera amesema eneo hilo limekuwa na changamoto kubwa na kusababisha ajali kila wakati jambo ambalo kwa sasa limepatiwa ufumbuzi.

Kwa upande wake, Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Matari Masige amesema kwa sasa barabara hiyo itatumika kwaajili ya magari madogo pamoja na yale ya abiria.

"Tutaendelea kuboresha zaidi eneo hili kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama kuhakikisha sehemu hii inakuwa salama zaidi kwa wananchi hasa waendesha vyombo vya moto," amesema Masige.

Mwananchi
kumbe ajali hutokea sana hapo ila sa wameona umuhimu wa mbadala baada ya kiongozi mwenzao kufariki.Mungu atufumbuwe mapema kabla.
 
I wish panya road wafanye yao kwa mmoja wa walamba asli ndio watachukua hatua.

Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Siku moja baada ya kifo cha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Igunga, Fatma Omary na watu wengine wawili kwa ajali ya gari, tayari eneo la Inyala mkoani Mbeya sehemu hiyo imeanza kutafutiwa ufumbuzi.

Leo Alhamis, Septemba 15, 2022, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC), Juma Homera amezindua barabara ya mchepuko eneo hilo yenye urefu wa kilometa 2.8.

Jana Septemba 14,2022 eneo hilo lilisababisha kifo cha Mkurugenzi wa Igunga, Fatma Omary dereva wake, Alex Mtabika (48) pamoja na Shafih Said.

Homera amesema eneo hilo limekuwa na changamoto kubwa na kusababisha ajali kila wakati jambo ambalo kwa sasa limepatiwa ufumbuzi.

Kwa upande wake, Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Matari Masige amesema kwa sasa barabara hiyo itatumika kwaajili ya magari madogo pamoja na yale ya abiria.

"Tutaendelea kuboresha zaidi eneo hili kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama kuhakikisha sehemu hii inakuwa salama zaidi kwa wananchi hasa waendesha vyombo vya moto," amesema Masige.

Mwananchi
Hawakuliona hilo kabla au walipuuza kwakuwa waliokuwa wanakufa ni raia wa kawaida sasa amekufa kiongozo wanaona huenda wao wanafuata maana tabia za kulazimisha mambo zinawahusu
 
Hata wewe kifo kitakufuata tu hata ukijificha kwenye matendegu ya kitanda! Huwezi pia kukikwepa kifo!
Aliyekwambia nakikwepa kifo nani?

Huo ujumbe ulikuwa ni kwa hao wanaokumbuka shuka asubuhi kwa kujifanya kuchukua tahadhari kwa sababu amekufa mwenzao.
 
Ufumbuzi mpaka watu fulani wangoke

Ova
 
Back
Top Bottom