Eneo kama hili lipo wapi Tanzania ili nikaishi?

Eneo kama hili lipo wapi Tanzania ili nikaishi?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
20220814_081840.jpg


••••••••••

NB. Mdau unataja maeneo ya huko kwenu kuwa yanafanana na hapo juu, tatizo hautupii na kapicha kwa kumwaminisha Tomaso.

• Usiseme Marangu, Lushoto, Bukoba, Kyera au sijui wapi huko, please tuwekee na picha wengine tupo serious tukaishi eneo hilo.
 
Ukienda uko utaanzisha kibanda cha Mpesa, mara uanze kuuza mkaa hapo nje, uende na san lg yako uanze kupiga boda, ufungue kijiwe cha kahawa, ubandike matangazo ya dalali na freemason.. kwisha kamji ka watu umeshakaharibu.

We tubaki manzese hapa hapa.
 
Back
Top Bottom