Eneo la Jangwani ni tishio kwa usalama kuanzia mida ya saa 5 usiku na kuendelea

Eneo la Jangwani ni tishio kwa usalama kuanzia mida ya saa 5 usiku na kuendelea

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Kama ilivyokuaga Salenda pale darajani sasa uhalifu umehamia Jangwani ikifika usiku saa 5 na kuendelea si eneo salama kupita hasa ukiwa na pikipiki, kuna wezi na vibaka wenye silaha na wasio na huruma.

Eneo lile pana giza zito na hakuna ulinzi wa aina yoyote mida hiyo hali inayopelekea wahalifu kujitawala kwa masaa mpaka asubuhi na bila kupata upinzani wowote kutoka vyombo vya Ulinzi.

Tayari matukio kadhaa yameripotiwa lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa mpaka sasa
 
Kama ilivyokuaga Salenda pale darajani sasa uhalifu umehamia Jangwani ikifika usiku saa 5 na kuendelea si eneo salama kupita hasa ukiwa na pikipiki, kuna wezi na vibaka wenye silaha na wasio na huruma.

Eneo lile pana giza zito na hakuna ulinzi wa aina yoyote mida hiyo hali inayopelekea wahalifu kujitawala kwa masaa mpaka asubuhi na bila kupata upinzani wowote kutoka vyombo vya Ulinzi.

Tayari matukio kadhaa yameripotiwa lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa mpaka sasa
Du hatari sn
 
Hapo polisi inabidi waweke Doris kama pale salender

Tatizo linakuja mpaka afanywe kitu mbaya mtoto, mke, ndugu wa kigogo ndiyo wTaweka Doris

Wengi wanaoporwa ni raia wa kawaida tu hawana chochote

Ova
Nilikuwa natoka kwa macheni enzi hizo usiku mkali, natembea kurudi chuoni DIT alafu alone tu 😃😃..
 
Kama ilivyokuaga Salenda pale darajani sasa uhalifu umehamia Jangwani ikifika usiku saa 5 na kuendelea si eneo salama kupita hasa ukiwa na pikipiki, kuna wezi na vibaka wenye silaha na wasio na huruma.

Eneo lile pana giza zito na hakuna ulinzi wa aina yoyote mida hiyo hali inayopelekea wahalifu kujitawala kwa masaa mpaka asubuhi na bila kupata upinzani wowote kutoka vyombo vya Ulinzi.

Tayari matukio kadhaa yameripotiwa lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa mpaka sasa
SubhanAllah!😎
 
Kama ilivyokuaga Salenda pale darajani sasa uhalifu umehamia Jangwani ikifika usiku saa 5 na kuendelea si eneo salama kupita hasa ukiwa na pikipiki, kuna wezi na vibaka wenye silaha na wasio na huruma.

Eneo lile pana giza zito na hakuna ulinzi wa aina yoyote mida hiyo hali inayopelekea wahalifu kujitawala kwa masaa mpaka asubuhi na bila kupata upinzani wowote kutoka vyombo vya Ulinzi.

Tayari matukio kadhaa yameripotiwa lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa mpaka sasa
Jangwani ipi bosi??? Wengine sisi ni wa Mtwara. Pia usema eneo lipi hasa hiyo jangwani maana jangwani ni kubwa.
 
Back
Top Bottom